Captain Phillip
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 894
- 538
Wadau,
Nimetumiwa meseji na rafiki kuwa Bashe anahojiwa Clouds FM kujibu mashambulizi ya Nape juzi...Mwenye access na hiyo redio tafadhali tuambie amejadili kitu gani.Hii redio wengine tulishaipa ban kwenye redio za Vebebiwoka vyetu.
Natanguliza shukran
Nimetumiwa meseji na rafiki kuwa Bashe anahojiwa Clouds FM kujibu mashambulizi ya Nape juzi...Mwenye access na hiyo redio tafadhali tuambie amejadili kitu gani.Hii redio wengine tulishaipa ban kwenye redio za Vebebiwoka vyetu.
Natanguliza shukran
Kada wa CCM Hussein Bashe ameshauri Nape Nnauye aachie ngazi ya Katibu wa Uenezi Taifa kwa vile anatumika kumshambulia Lowassa kwa maslahi ya mgombea mwingine ambaye amemwahidi kumuachia jimbo lake na tayari ameshakwenda kumnadi Nape kuwa ndiyo mrithi wake.
Akihojiwa redioni Bashe kasema Nape amekuwa akitumia nafasi yake nje ya utaratibu kumhujumu Lowassa mara kadhaa ili kumnufaisha mtu wake ili aweze kuteuliwa na chama kupeperusha bendera naye aweze kupata nafasi itakayo achwa wazi na huyo mtu kugombea Ubunge.
Kwa maelezo ya Bashe ni kuwa Nape amesha kosa maadili ya kuendelea kuwa mjumbe wa secretarieti ya chama ambaye alipaswa kuwa anafanya kazi zake kwa uadilifu na neutral.
Chanzo; Mahojiano redioni asubuhi hii.