Bashe ajibu mashambulizi ya Nape Nnauye

Bashe ajibu mashambulizi ya Nape Nnauye

Kada wa CCM Hussein Bashe ameshauri Nape Nnauye aachie ngazi ya Katibu wa Uenezi Taifa kwa vile anatumika kumshambulia Lowassa kwa maslahi ya mgombea mwingine ambaye amemwahidi kumuachia jimbo lake na tayari ameshakwenda kumnadi Nape kuwa ndiyo mrithi wake.

Akihojiwa redioni Bashe kasema Nape amekuwa akitumia nafasi yake nje ya utaratibu kumhujumu Lowassa mara kadhaa ili kumnufaisha mtu wake ili aweze kuteuliwa na chama kupeperusha bendera naye aweze kupata nafasi itakayo achwa wazi na huyo mtu kugombea Ubunge.

Kwa maelezo ya Bashe ni kuwa Nape amesha kosa maadili ya kuendelea kuwa mjumbe wa secretarieti ya chama ambaye alipaswa kuwa anafanya kazi zake kwa uadilifu na neutral.

Chanzo; Mahojiano redioni asubuhi hii.


Huyu BASHE ni mjinga gaidi toka somalia asitake kutuharibia nchi yetu. Amuache Nape afanye kazi,mwambieni kwamba huyo Lowasa atazaa naye. Na kigangwala Hamis ana kazi naye ya kufanya.
 
Nepi ana karata mbili kubwa kwa muda uliobaikia kwa maisha yake nazo ni, Lowasa na Mwigulu wasiende magogoni
 
Huyu BASHE ni mjinga gaidi toka somalia asitake kutuharibia nchi yetu. Amuache Nape afanye kazi,mwambieni kwamba huyo Lowasa atazaa naye. Na kigangwala Hamis ana kazi naye ya kufanya.
Wewe ndo utazaa na nyoka heri ya bashe una akili kama tumbili
 
Hichi ndicho alichokisema Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM Taifa na mjumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Nzega, HUSSEIN BASHE kuhusiana na kauli za Nape Nnauye leo asubuhi katika Power Breakfast..."Ukirudi katika Historia 2005 Nape Nnauye aliwahi kusema Jakaya akishinda atahama Nchi kwa kuwa alikuwa kambi ya Mzee MALECELA na baadae alihamia kambi ya mzee Mwandosya wakati wa tatu bora lakini hakuhama na akaja akateuliwa na Raisi JAKAYA MRISHO KIKWETE kuwa Mkuu wa Wilaya, na leo ni Katibu Mwenezi wa Chama, Vile Vile ni huyu huyu NAPE aliibuka na kusema jengo la makao makuu ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) ni ufisadi mtupu leo ndo yumo mule mule kwenye lile jengo anafanyia kazi na lile jengo linakipatia Chama fedha, na wale wanaokwenda Nyumbnani kwa Mhe. LOWASSA ni wale walioitikia wito wa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais JAKAYA MRISHO KIKWETE wakati wa maadhimisho ya miaka 38 ya kuazaliwa kwa CCM kule Songea, .alisema tukimuona mtu ana uwezo na ana faa tumshawishi,.

Imefika time NAPE aondoke kwenye ukatibu uenezi aje hadharani afanye kampeni ya Mgombea wake kwa sababu anafahamika amesimamia maslahi ya nani yeye na kambi yake ni muda muafaka waje hadharani twende kwa wana CCM, twende kwa watanzania.
Watanzania na wana CCM wataamua mgombea wanaemtaka kuliko kutumia mwamvuli wa CCM na ukatibu uenezi kutisha wana CCM, Nape na Kundi lake hatutawaruhusu kutunga uongo, uongo ambao wa uamini wao, wautangaze wao na wautumie uongo huo kumuhukumuEDWARD LOWASSA. Imetosha ndani ya CCM kumfanya EDWARD LOWASSA punching Box, Mara nyingi wamemgeuza punching Box na amekuwa mvumilivu huu ni ujumbe kwa Nape na Kundi lake, kwani inajulikana.

NAPE hasimamii maslahi ya chama linapokuja suala la Uraisi bali ana simamia maslahi ya kundi lake kwani wamefanya trade off na Mgombea Mmoja wa Uraisi kuwa ataachiwa jimbo na anataka Ubunge na ili hoja yake ya Ubunge ifanikiwe lazima amsaidie huyo Mgombea kufanikisha malengo yake anayoyataka.
Tuna fahamau ndani ya CCM kuna aina nne ya wagombea wa uraisi
(1) Kuna ambao wana dhamira ya kuongoza nchi
(2) Kuna ambao wana tarajia kuupata Uraisi mezani hawa ndo wale wanataka demokrasia ifinywe ndani ya Chama
(3) kuna wale wanaowekeza kutafuta Uongozi wa baadae
(4) na kuna wale wanaitwa Wajasiriamali wa Uraisi wao wanatafuta umaarufu kwa kutengeneza majina ili wafanye biashara ya Uraisi kwa kukusanya fedha ndani na nje ya Nchi. NAPE akae pembeni ya ukatibu uenezi aachie uenezi watu wengine kwa sababu ni mjumbe wa Sekretarieti ya chama ana wajibu wa kuwa fair kutokuwa na mgombea.

Sasa aje afanye kampeni ya Mgombea wake hadharani aache kujificha kwenye kichaka cha ukatibu uenezi wa CCM. Inafahamika kaachiwa jimbo gani na anapelekwa na nani Jimboni kutembezwa na kunadiwa kuwa yeye ndo mrithi ni mda muafaka sasa apishe uenezi aje barabarani kumpigia kampeni Mgombea wake".
 
Hivi bashe ni tofauti na basha? Hivi siku hizi basha amekuwa mtz?
 
Ww mbona ndio hauna akili...Bashe is very brilliant.."!

CCM haina tatizo, tatizo ni Nape.....ulitaka Bashe aseme CCM ina matatizo..!? Wakati Nape ndio anasema hovyo hovyo na kutoa matamko YA SIYO YA vikao vya chama ..na anatoa for his personal interests...!!! Wala sio kauli ya CCM...ni kauli ya Nape...!!!

So Bashe anajua anachosema vema kabisa...ww hujui kitu...Nape ni team Membe...so umeona wapi refa ana timu yake huku anachezesha mpira...!!?????
Nyie watu akili zenu ndogo sana!
Mmekaa ki-coconut tu bila kutumia akili katika kila hatua.
Sasa umesikia Nape akipewa karipio lolote toka CCM?
Na kama hakuna karipio basi akili ikutume kuelewa kuwa Nape ana baraka zote kusema alilosema.
Ndio maana nasema Bashe aanze na nuikaripia CCM badala ya kukaripia kidagaa kama Nape.
Nape ni mtuma ujumbe tu , mwenye ujumbe ni mwenyewe CCM.
 
hawa baadae watakuja kukubaliana na kucheka kama ile hakuna kilichotokea


wote ni professional politicians
 
Mtu anapakaa carolite ninwa kumjadili kweli? Nape hivi umeshaachana na yule demu wako sheila wa kule kimara anayetangaza hapo uhuru fm maana simuoni kuja hapo kwenye appartment iliyopo kwenye magorofa uliyoyapinga kuwa ninya kifisadi halafu umeoewa nyumba unakaa hapo hapo
 
Kama Magogoni ni Mali ya Umma,basi EL haingii pale.Lakini kama ni New Habari corporations basi ataingia.
 
sasa huyu al shabab naye kawa mtanzania hadi atoe ushauri?
 
aisee angalau nmejua kwa nini? kila mahojiano ya nape lazima EL ahusike.kumbe hata jimbo linahongwa nildhan wilaya tu
 
Huyu BASHE ni mjinga gaidi toka somalia asitake kutuharibia nchi yetu. Amuache Nape afanye kazi,mwambieni kwamba huyo Lowasa atazaa naye. Na kigangwala Hamis ana kazi naye ya kufanya.

Siku ukiwa na umri na akili za kiutu uzima utaionea aibu nafsi yako kwa hiki ulichokiandika.

Je huwezi jenga hoja yako na kueleweka bila kusukumwa na mihemko, matusi na sharau kwa wengine?
 
NEPAL KAZI IMESHAKUSHINDA GO! GO GO GO GO GO GO O GO GO TO HELL/ WE DONT WANT YOU
Leo hii CCM chama kinachoheshimiwa kimegeuka cha hofyo because of YOU!-
 
Back
Top Bottom