The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,909
Kuna matusi mengi mno kwenye singeli..
Why BASATA hawagusi hizi nyimbo?
'kalia chupa..kasema kalia chupa'
'mke wangu nenda kadange'
'ntafutie madanga'
'nikipata mzungu nampeleka kwa mpalange'
Mimi sio sio msikilizaji wa singeli lakini hayo matusi nimeweza sikia few times nikisikia hizo nyimbo hata kwa mbali
Kibaya zaidi watoto wanaimba hizo nyimbo..
Why BASATA hawazigusi?Only Wakiimba Bongofleva?
Why BASATA hawagusi hizi nyimbo?
'kalia chupa..kasema kalia chupa'
'mke wangu nenda kadange'
'ntafutie madanga'
'nikipata mzungu nampeleka kwa mpalange'
Mimi sio sio msikilizaji wa singeli lakini hayo matusi nimeweza sikia few times nikisikia hizo nyimbo hata kwa mbali
Kibaya zaidi watoto wanaimba hizo nyimbo..
Why BASATA hawazigusi?Only Wakiimba Bongofleva?