Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,816
Samahani mzee
Kwa hio na hio radio na Tv ya wasafi atapata vibali vya kuanzisha na atarushia matangazo huko huko nchi za nje sio?Mond alisema ana uwezo wa kufanya kazi zake hata kama siyo tz
Busara ilikosekana mwanzo acha iendeleeHata kama Diamondi ameonewa lakini kitendo cha kujibizana na Naibu Waziri kiudaku namna ile ni utomvu wa nidhamu kabisa.
Hata kama Mungu mtu ndio mlezi wake, angetumia busara kumjibu.
Wao mbona awatumii kauli za kiungwana kwa wasanii au mwananchi kiujumla ifikie kipindi lazima tukubariane hii nchi yetu sote wote tuna haki sawa wasilete hbr za kikaburu hapa...Hata kama Diamondi ameonewa lakini kitendo cha kujibizana na Naibu Waziri kiudaku namna ile ni utomvu wa nidhamu kabisa.
Hata kama Mungu mtu ndio mlezi wake, angetumia busara kumjibu.