kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,694
- 2,132
Si lazima kumuandikia barua msanii? Huu ni utendajikazi mpya wa serekali. Hiyo mahakama yenyewe tu inaandika samaz itakua basata!!?
Sikutaka kugusia hiyo ndio maana nimeishia nilipo ishia mkuu, muda ndio hakimu. Uwezekano wa hilo ni mdogo saaana.Wenzenu wanawatengenezea muvi kuwatoa kwenye maandamano
Tumieni akili ninyi mampunga