idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
Mbona Zitto tu? Wako wapi makamanda wengine? Mtema, Mnyika, Lissu, Lema, Weche, Shibuda, Kamanda Mkuu Mbowe, n.k jitokezeni basi mzikatae hizo posho. Au inawezekana Zitto amendika barua kwa niaba ya Chama kama Naibu Katibu Mkuu. Kama ni barua binafsi basi Chama kikae kione msimamo wa Chama kama Taasisi isiwe suala la mtu binafsi.
Mkuu je walijitokeza kuungana za Zito, iweje leo.?