Nsiande
JF-Expert Member
- Jul 27, 2009
- 1,649
- 872
Sio janja bali pesa inaelekezwa kunakohitajika zaidi...ameonyesha njia ...tena kwa vitendo...big up sana !! Kila mbunge angeielekeza posho yake kwenye maeneo ya msingi ya jimboni kwake life would be a bit easierZitto aache janja yake! Anatupiga tu wananchi changa la macho. Hii Kigoma Development Initiative(KDI) ni NGO yake mwenyewe! So hizo allowance zinamrudia yeye mwenyewe!