Barua: Zitto akataa posho za vikao

Barua: Zitto akataa posho za vikao

Katika mpango wa miaka 15 uliozinduliwa na Kikwete pale Dodoma, moija ya mpango ni kuzipitia upya posho zote na kuziondoa au kuzipunguza inapobidi. Nawashangaa magwanda kuidakia hiyo hoja na kuipiga zumari kama vile ni hoja yao. Hii ni plagiarism at its best. Mnawazuga majuha wenzenu, wengine saa sita kamili.
<br />
<br />
ustadhat,hakuna mpango wa miaka 15 sijawahi kuusikia na haujawah kuzinduliwa,,,,,,,
 
Acheni kisingizio cha kutenganisha fomu kuwa kigezo cha kuendelea kupokea hizo posho.<br /> <br /> Kwani akiisha saini mahudhurio ni lazima achukue pesa yote? Si achukue ile anayoona ni halali yake na kuacha ile anayoiona ni haramu???<br /> <br /> CDM ni Unafiki mtupu!
<br /> <br /bila kutenganisha karatasi ya mahudhurio na yaposho wataendelea kuwashinikiza wazichukue kwani posho zinawekwa direct kwenye acount zao hawapewi mkononi, ccm ni wasaliti tn majambazi sugu
 
Hoja iliyopo ni ngumu kwani kwa mfano nikiuliza hivi itakuwaje Mbunge ambaye hakusaini mahudhurio na yupo Bungeni wakati wa kupiga kura je?Kura yake itakuwa halali ama laa na kama sio halali wakati wa kusema ndio na hapana sauti yake huwa inahesabiwa?
 
Katika mpango wa miaka 15 uliozinduliwa na Kikwete pale Dodoma, moija ya mpango ni kuzipitia upya posho zote na kuziondoa au kuzipunguza inapobidi. Nawashangaa magwanda kuidakia hiyo hoja na kuipiga zumari kama vile ni hoja yao. Hii ni plagiarism at its best. Mnawazuga majuha wenzenu, wengine saa sita kamili.
Pale Dodoma wachambuzi wa mambo walishadadabua kwamba, lengo lilikuwa siyo huo Mpango wa miaka 15, isipokuwa ilikuwa ni kuwaweka sawa Mawaziri na Wabunge wenu wa CCM ili Bunge litakapoanza wawe kitu kimoja kwani kulianza kutokea hali ya sintofahamu miongoni mwao baada ya kuingiwa na hofu ya Wabunge wa Chadema. Kilichofuatia walianza kutengua kanuni za Bunge ili kuwakomoa Chadema lakini ngoma bado ilikuwa nzito. Pale Bungeni walianza kununuliana chai ili wapitishe Budget kwa ndiyo ya nguvu sana. Wabunge wenu wakashituka kwani wasingeweza kurudi Mjengoni 2015 wakafanya kuchachamaa, lakini walipozwa na Bahasha ya JAIRO wakaanza kupitisha Budget kwa kuafiki NDIYO. Sasa hivi jua limeshawawakia.
 
<br />
<br />
Suala hili ni utekelezaji wa ilani ya chama ya mwaka 2010. Kabla ya hapo hatukuwa na suala hili na hivyo halikuhitaji utekelezaji. Kuniuliza zamani ilikuwaje nakuwa sina jibu. Toka mwaka 2005 mpaka April 2011 nilikuwa nachukua posho hizi. Sasa kwa kuwa tunatekeleza ilani ya chama sichukui.
Lakini, hivi ukiwa mlevi kwa miaka kumi. Ukaacha ulevi mwaka wa 11, utaulizwa kwa nini umeacha mwaka huu na sio mwaka jana?

Ndiyo, unaweza ukaulizwa kwa faida ya wale wanaoendelea na ulevi ili nao waone umuhimu wa kuacha ulevi. Ila tu kuelekea mbio za uraisi 2015 ( hii ni conclusion yangu) tutayaona na kushuhudia mambo mengi si ndani ya ccm pekee hata ndani ya cdm na vyama vingine. Nakushukuru muheshimiwa tuko pamoja.
 
Kuna watu mnapenda kulinda status quo ya umasikini wa walio wengi na utajiri wa walio wachache...siku itakapofika wenye nchi yao wakaanza kuidai..sijui mtakimbilia Algeria kama familia ya Ghadafi au mtahukumiwa kwa kunyongwa na wananchi wenye hasira! (sorry for these words-mnauzi sana..mnaposhindwa ku-appreciate umasikini wa watanzania wenzetu simply because you got vested interests in the ruling clique!). Kila kitu kitu mnakifanya politics za simba na yanga! <br />
<br />
And for your information, kuna tuliopanga foleni tukampa kura Kikwete....and regretably he has simply become a spectacular failure and disappointment. So usione wote tunamponda, Yes, Tunaomponda JK kwamba tunamchukia..its simply because the man HAS become a baggage he got no clue on what he should do as the Commander Inchief of our United Republic. <br />
<br />
Masanja
<br />
<br />
salute masanja,,,,,iman ya watz kwa rais imeshuka,walichohis watakipata hakipo tena ndio maan hata kwenye kampen aliahidi kama rais wa DARUSO
 
<br />
<br />
Suala hili ni utekelezaji wa ilani ya chama ya mwaka 2010. Kabla ya hapo hatukuwa na suala hili na hivyo halikuhitaji utekelezaji. Kuniuliza zamani ilikuwaje nakuwa sina jibu. Toka mwaka 2005 mpaka April 2011 nilikuwa nachukua posho hizi. Sasa kwa kuwa tunatekeleza ilani ya chama sichukui.
Lakini, hivi ukiwa mlevi kwa miaka kumi. Ukaacha ulevi mwaka wa 11, utaulizwa kwa nini umeacha mwaka huu na sio mwaka jana?


asante kwaufafanuzi.
 
Hawa nao wanaweza jitapa eti niwasomi mbele za watu,duh kazi hipo kweli walimu tunakazi kwani elimu bado,wengi waitimu kujua kusoma na kuandika mfano mtu ambaye mpaka leo anashabikia ufisadi na nimfuasi wa MAGAMBA CCYEM.
 
Mmmm,kuhesabu sauti!!!!!!how they count
Hoja iliyopo ni ngumu kwani kwa mfano nikiuliza hivi itakuwaje Mbunge ambaye hakusaini mahudhurio na yupo Bungeni wakati wa kupiga kura je?Kura yake itakuwa halali ama laa na kama sio halali wakati wa kusema ndio na hapana sauti yake huwa inahesabiwa?
<br />
<br />
 
Hawa nao wanaweza jitapa eti niwasomi mbele za watu,duh kazi hipo kweli walimu tunakazi kwani elimu bado,wengi waitimu kujua kusoma na kuandika mfano mtu ambaye mpaka leo anashabikia ufisadi na nimfuasi wa MAGAMBA CCYEM.
<br />
<br />
unapokuwa darasan waambie ukweli wanafunz
 
Nimependa sana ufafanuzi wako kuhusu hili.Kwenye mdahalo wa juzi mh.Marando baada ya kuulizwa swali alijibu kuwa ofisi ya bunge ndo ina uwezo wa kusema nani anachukua na nani hachukui.Naamini hata mwananchi wameenda mbele zaidi baada ya kauli hii ya mh.marando.Naona kama jibu lake lilikubali propaganda ya kuwafanya cdm mkubali kufanywa objects wa posho kinyume na subjective aproach yenu.
 
Katika mpango wa miaka 15 uliozinduliwa na Kikwete pale Dodoma, moija ya mpango ni kuzipitia upya posho zote na kuziondoa au kuzipunguza inapobidi. Nawashangaa magwanda kuidakia hiyo hoja na kuipiga zumari kama vile ni hoja yao. Hii ni plagiarism at its best. Mnawazuga majuha wenzenu, wengine saa sita kamili.
<br />
<br />
mbona CCM wamechukua hoja nyng za chadema. Mfano swala katiba mpya.
 
Hongera Zitto. Katika mapambano si lazima wote muanza kwa wakati mmoja wengne watajiunga baadae. Naamini huo ni mwanzo mzur kwa Zito, muda si mrefu wengne wataunga mkono kwa vitendo isipokuwa Shibuda. Kila la kher kamanda Zito.
 
Wakuu hoja iliopo hapa ni kuhusu nini?ni nini nia hasa?mimi ninachoelewa ni kuwa sheria irekebishwe ili baadhi ya posho ziondolewe.Hivyo basi hatuna sababu ya kuanza kuangalia ni nani amepokea posho na ni nani hajapokea ukiambiwa wabunge wote hawajapokea hiyo posho na sheria ipo palepale itakua na tija gani,kinachohitajika hapa ni marekebisho,wabunge wameliona hilo na linatakiwa lifanyiwe marekebisho,ukianza kutafuta ni nani amepokea posho na nan hajapokea watakuambia wamepokea kwa mujibu wa sheria.Wewe unasema asipokee unataka nani azichukue hivyo zitto itabid achukue posho yake akaitumie hadi hapo sheria itakaporekebishwa.
 
kazeni boot maana ukombozi hauji kwa siku moja ni muda na uvumlivu tuko pamoja tunawaombea tuna wa takia kila laheri
 
Ndio maana Spika huwa anasema waliosema ndio wameshinda so labda wananjia ya jinsi ya kuhesabu hizo sauti.
<br />
<br />
ukimuendekeza yule mama na naibu wake pamoja na wenyeviti wao unaweza ukaugua magonjwa sugu,,,,,,ukimsikiliza mwenyekiti wa chama chao ndio utakuwa unalala mochwali si icu
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mbona CCM wamechukua hoja nyng za chadema. Mfano swala katiba mpya.
<br />
<br />
kuichukua si tatizo mradi ni kwa ajil ya ustawi wa kataifa ketu,,,,ndo maana mr msoga alichukua ilan ya wadogo zake CUF
 
Back
Top Bottom