Msije mkamfanya mtoto wa mkulima akaporomosha michozi tena bungeni japo kiukweli anapaswa kujiuzulu, pia rais wetu amekuwa busy mno na safari za nje huenda hatukuchagua rais isipokuwa tumechagua mtalii, wewe mtu gani kila leo anatembeza bakuli kuomba, mimi nilifikiri wagogo ndo wanatabia hiyo kumbe wakwere ni funga kazi aisee!
rais wetu ni mgonjwa,kwa hyo ni haki yake kwenda kupata matibabu nje maana hospitali zetu kitanda kimoja watu wanne