Barua ya Papii Kocha kwa JK

Barua ya Papii Kocha kwa JK

Katiba inamruhusu RAIS wa nchi kumpunguzia au kumfutia MTU yoyote adhabu aliyopwea na mahakama......
Makosa ya ubakaji na madawa ya kulevya rightfully IMHO hayapo ktk hiyo provision ya msamaha Rais wa JMT. Hata hivo sioni hasa mantiki ya sheria hii, kwa maana kwamba kodi ya wananchi inaeza kuendesha kesi ktk mahakama halali halafu mtu anaamka tu kwa sababu yeye ni Rais basi anafuta ile adhabu, hii ni aina nyingine ya ujuha. My assumption ni kua body za parole ndio zinamshauri Rais ni nani apewe msamaha, na sio huu mfumo wa top-down ambao hawa wacongoman wanajaribu kucheza na dola. Kama wanajua zaidi ya yale tunayoambiwa ni kheri wayaseme upenuni ili dunia ijue badala ya hizi sarakasi. Tz ni ya watz sio JK.
 
kama haya ni kweli, ata kuwafunga maisha ni kama wameonewa huruma, ilipaswa wawe historia tu.dah

Babu seya akishirikiana na watoto wake wa kiume walikuwa wanawashawishi wale watoto wakati huo wako primary school kwa kuwapa vihela vidogo vya chipsi kisha kufanya nao mapenzi kwa njia zote yaani mbele na haja kubwa na kila aina ya uchafu yaani kwa lugha rahisi walikuwa kama wanacheza sinema za x . Na ilikuwa ni siri kubwa ndio maana hawakumshirikisha mtu yeyote wa nje. Walikuwa wanafanya wao wenyewe familia. Na kisha kuchukua au kurekodi na video camera na kwenda kuuza ulaya hasa ufaransa n kujipatia hela . As ilivyo babu seya ni mkongo na hana uchungu wowote na watoto wa hao. Na video hizo zilikutwa sokoni ufaransa na haikuwa ngumu kumtambua babu seya na wanae. Na video hizo ziliwaingizia hela nyingi sana . Na hata hao watoto walitambulika na walipopimwa hospital walikutwa wameshaharibiwa vibaya sehemu zao za siri na haja kubwa. Nalikumbuka hili tukio pale sinza baada ya kina babu seya walipokamatwa watu hasa wakina mama walilia sana kwa hasira walitaka wakichome moto kituo cha polisi. Washukuru polisi kutumia mabomu kwani wangeshauwawa na ingebaki historia sasa.
 
all in all hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.... and siku zote haki ya mtu haipotei ila huweza kucheleweshwa tuu

Kweli na siku zaja ambapo ukweli utakuwa wazi na aliyehusika ktk hicho kitendo atatamini ardi ifunguke ili ajifiche ila haitowezekana! Mungu awe mfariji wa papii ktk kindi hiki kigumu.
 
Huko jera ndio mahali panapo mfaa, anataka kurudi uraiani azidi kuwaharibu watoto.
Yeye anadhani wale wazazi wawatoto waliathirika na tabia yake na baba yake watamchekea?
Kwa usalama wake bora aendelee kuishi huko huko!
 
Wana jamvi hii ishu ilikua inautata kuna watanzania mpk leo wanaamini hawa jamaa wameonewa na wengine wanasema nikweli walibaka, kwavile wale watoto waliobakwa baadhi yao wametimiza 18yrs hawawezi kuja hapa JF kutoa ushuhuda kama hiyo ishu ilikua kweli au sikweli, Kwa sababu uendeshaji wa kesi hiyo ulikuwa wa siri (wahanga wa kubakwa huwa hawatangazwi au kupigwa picha). Kwa sasa wanawake wengi duniani ikiwemo Tanzania wamejitangaza kuwa walishawahi kubakwa kwahiyo sio kitu cha ajabu ni kitu cha kawaida!
 
paulo na Sila waliomba mpaka gereza lika funguka na wa shauri wazidi kumwomba Mungu na kumlilia jk atashawishiwa na Mungu wetu aliye hai nasi tuko nyuma yao kwa maombi.
 
[h=6][/h] [h=6]MF/NA: 836'04 Johnson Nguza
(Papii Kocha) Gereza Kuu Ukonga
S.L.P 9091
Dar es Salaam
[/h] [h=6]Mh. Rais Jamuhuri ya Muungano Tanzania:help::help::help::help:[/h] [h=6]YAH: MAOMBI YA KUPEWA MSAADA (MSAMAHA) WA KUFUTIWA ADHABU YA KIFUNGO NILIYOPEWA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU.[/h] [h=6]Husika na somo hilo hapo juu. Mimi ni mfungwa katika gereza kuu Ukonga. Kwa heshma na taadhima na kwa kutambua utu na huruma yako ya kiMUNGU ulionayo dhidi ya binadamu wenzako pamoja na mamlaka uliokabidhiwa na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Naanguka na kushika miguu yako mitukufu muheshimiwa rais.[/h] [h=6]Nakuomba msaada (msamaha) kwako muheshimiwa rais, kwa njia hii ya maandishi kusudi niweze kuondolewa adhabu ya kifungo cha maisha gerezani, niliyohukumiwa na mahakama tajwa hapo juu. Mh.Rais mimi nimefungwa nikiwa bado kijana mwenye umri mdogo, na ukweli kutoka moyoni sikufanya kosa hilo. [/h] [h=6]Si mimi, baba yangu Nguza wala ndugu yangu yeyote aliyefanya kitendo kile. Lakini wenye mamlaka wakatuona tuna hatia na kuamua kuteketeza kizazi chetu gerezani.[/h] [h=6]Natamani kiama ifike ili mwenyezi Mungu aweke wazi ukweli wote
uliojificha nyuma ya pazia. Mpaka sasa natambua wazi hatima pamoja na dhamana ya maisha yangu ipo katika mikono yako mitukufu Mh. Rais Naomba huruma yako muheshimiwa Rais maana mimi ni mtoto wako ninaehitaji huruma yako wewe mzazi. Lakini pia sisi ni binadamu wenye nafsi na miili kama wengine. Waliotumia mamlaka yao kutuweka gerezani nao ni binadamu pia, wenye miili na nafsi.
[/h] [h=6]Ipo siku nafsi zetu zitapaswa kutoa hesabu ya tuliyoyafanya hapa duniani. wakati huo miili yetu tunayoitumia kunyanyasa wanyonge itakuwa imeoza mavumbini.[/h] [h=6]Natumaini kauli yako ya mwisho ndio itakayoleta pumzi ya uhai nafsini mwangu. Nakutakia kazi njema, afya njema na maisha marefu. Mungu akubariki. Wako mtiifu
Mfungwa NO:836'04 JOHNSON NGUZA (PAPII KOCHA)
:help::help:[/h]
 
Hii barua ni nyingine au ile ile ya siku zote ambayo imetanda mitandaoni??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Maneno mazito kwa mzazi, kweli kesi hii inatakiwa kuangaliwa upya, Kweli Baba na watoto wanaweza kufanya unyama kwa ushirikiano? Mh JK please naumba uiangalie hii kesi upya au wape msamaha hii familia.
 
Hatusahau nyundo na ngao pamoja na ubabe vinavyo tumika kunyanyasa laia chini ya utawala wa kifalme wa CCM...
 
maneno mazito kwa mzazi, kweli kesi hii inatakiwa kuangaliwa upya, kweli baba na watoto wanaweza kufanya unyama kwa ushirikiano? Mh jk please naumba uiangalie hii kesi upya au wape msamaha hii familia.

....laana kama hizi haziwezi kukuacha hasa kama kunaukweli ndani yake lazima zitamfuata na hazina baraka katika utendaji wake anapaswa kukumbuka wale ni binadamu pia maneno yanauchungu sana mbona mwanae alikwenda kumkomboa china? Uchungu alioupata ndio wazazi wengine huupata kwa watoto wao..
 
hawa jamaa waliwakosea nini maCCM?

Waliwarubuni watoto wa chini ya miaka sita na kuwaingilia kimwili.. uchunguzi wa ki sayansi ukatoa positive answers ikiwa pamoja na manii yao kukutwa sehemu za siri ZA HAo watoto.

They belong there.. msamaha hauwahusu watu wa aina hii
 
Aaa!!!, mmenikumbusha mbali sana, hayayote yalisababishwa na uzinzi,Papii Kocha jikabidhi kwa Mungu, muliyekuwa mnamgombea wewe na JK. Amina Chifupa, alisha uawa, tena na mmewake nae wakamuua, inatia uchungu, ninachokuomba, wekamambo hadhalani
 
Dah!!Mungu ampiganie..ingawa hatma yake haupo mikononi pa rais..Ipo mikononi mwa Mungu.
 
Waliwarubuni watoto wa chini ya miaka sita na kuwaingilia kimwili.. uchunguzi wa ki sayansi ukatoa positive answers ikiwa pamoja na manii yao kukutwa sehemu za siri ZA HAo watoto.

They belong there.. msamaha hauwahusu watu wa aina hii

Haa..sikuwa naua kuwa CCM wapo concerned kihivyo na watoto ..hata kule arusha waliuwa kwa mabomu na risasi, wanawapa unga haswa nchi nzima, ccm wamewapa kinga wale maustaadhi wa madrassata zenj ,hata pale Unicef walipoitaka serikali kuchukua hatua,mwisho wakaishia kukubali kimoja tuu kuweka sheria za kulinda watoto.Ingawa sijui km nazo zitafuatiliwa kwani akiwepo jaji uzao wa binamu nyama ya hamu na vibau vyenye vibusha lazima wabariki kulala na vito.
 
Duh. Kweli wachawi wanapendana. Wanawake wangapi wanabakwa na hizo manii za kupimwa hazipatikani?

Too bad for these guys hamna parole hata waombeje.
Waliwarubuni watoto wa chini ya miaka sita na kuwaingilia kimwili.. uchunguzi wa ki sayansi ukatoa positive answers ikiwa pamoja na manii yao kukutwa sehemu za siri ZA HAo watoto.

They belong there.. msamaha hauwahusu watu wa aina hii
 
Waliwarubuni watoto wa chini ya miaka sita na kuwaingilia kimwili.. uchunguzi wa ki sayansi ukatoa positive answers ikiwa pamoja na manii yao kukutwa sehemu za siri ZA HAo watoto.

They belong there.. msamaha hauwahusu watu wa aina hii
Mkuu mengi huwa napishana na wewe ila kwa hili naungana na wewe mkono. mahakama ilithibitisha pasipo shaka yoyote kuwa hawa jamaa waliwalawiti watoto. Sijajua kwanini watu wanalichukulia hili jambo kisiasa?? Isitoshe hii makitu ilitokea hata kabla JK hajaingia madarakani.....

Swali kwa wanaopingana na hii hukumu... Ingekuwa ni watoto wao wamefanyiwa hivyo bado wangesema hii makitu ni ya kisiasa?? Tuache ushabiki kwenye mabo ya dhahiri.

Wanastahili kuwa hapo walipo kama kweli walifanya huo uhayawani!!
 
Back
Top Bottom