kiunzi
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 515
- 367
Yaani Kinana na Makamba kama vile hawajuwi katiba,sheria,kanuni na utaratibu wa chama walivyojiwekea kwa mujibu wa jibu LA barua ya Mhe
P Msekwa.
P Msekwa.
Msome vizuri tena.
Hakuna mahali ametoa hitimisho au majibu ya mwisho.
Yeye kama katibu anao wajibu wa kuwajulisha wahusika kuwa amepokea barua yao, na kisha kutoa maoni yake au kukumbusha taratibu, kanuni, sheria na katiba vinasema nini na nani wa kutolea mahamuzi ya madai ya kwenye barua.