Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,183
- 56,699
Barua ya mzee Makamba na Kinana anaipeleka Nape?Angekuwa mnafiki angepeleka barua kwa mkono? Ama kwenye lugha yenu hii ina maana gani? Au ulitaka aipeleke kwa Musiba? Ameipeleka kwa Katibu kwa Baraza kwa mkono. Sasa hapo unafiki uko wapi? Huyo unayetaka am-face una uhakika gani kuwa hajawahi kum-face. Ama ulitaka afanye hivyo kwenye TV?