Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,118
Kumbe mnanipiga madongo huku....Utamweza Lizzy? nilisema husninyo atakimbilia huko tuuu...bucha, sijui nini...aaahhh nimeshindwa hata kuelezea...
Kumbe mnanipiga madongo huku....Utamweza Lizzy? nilisema husninyo atakimbilia huko tuuu...bucha, sijui nini...aaahhh nimeshindwa hata kuelezea...
Hahahaha....kweli leo siku yangu.Enhe wanipikia nini niandae meno...?!Nyie napita bana sina ubavu wa kusogea hapo napita huku kw aakina Lizzy kuna nyama na viungo na bucha na wapishi hata silewi ila leo nataka nikampikie Lizzy mpaka ajing'ate ulimi . Nyie endeleeni tuu kuongea wala siwasikiii
Kumbe mnanipiga madongo huku....
Hahahaha....kweli leo siku yangu.Enhe wanipikia nini niandae meno...?!
Wakati wewe ndo uliyeanzisha puropaganda...?!Bora umtafute mwenyewe mie nilimkataza kukusema wewe...eti kuhusu Siredi yako ya BUCHA...hahahah
Kwa Liizzy ni balaa maana unafundishw anamna ya kupika na kuonja nyama na unahikishiwa kuwa nyama yako itakuwa tamu tuu hata kama imekonda. Nenda kule uje umpikie wa ubani hatakuacha kamwe
Wakati wewe ndo uliyeanzisha puropaganda...?!
kama haijakukuta katika familia yako au mtu wa karibu nawe kuondoka na hii kitu utaona kuna ukweli lkn yakikukuta...
Mkuu yamenikuta., tena kwa close person mno..!!
Pamoja mkuu na pole kwa sana tu...
nilidhani mapenzi yamezaliwa INDIA.Kumbe hata Tanzania yapo.Magulu unatisha! Janeti ni jina la shemu wangu anatabia nzuri.Nadhan mungu atakuletea jane wako!
Asante sana mkuu...! pamoja..!