Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Yani we Mentor wewe. Yani mi na wewe tunahitaji kuwa na serıous talks.
BTW huyo dokta kama mkeo angekuwa Heaven on earth sidhani kama angetoka salama. LOL
Siku zote nlijua mwallu ni sista wa Paroko.... kumbe kijana hatare sana weye
mtake radhi mke wa Mentor ina maana hana ....................................
kuna sehem nakuhitaji..........
mwallu na mie namshangaa anasema ni mtawa kumbe kaolewa kabisaaaaaaa....
Last edited by a moderator: