Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Nice story Mentor!!ni somo zuri kwa watu wanaoendekeza uzinzi na kutoka nje ya ndoa hata kwa sisi ambao hatujaingia kwenye ndoa,majaribu na misukosuko wanayopitia wanandoa ni foundation nzuri ya kujenga uhusiano madhubuti na imara kwasababu unachallenge subira na uvumilivu wao,pamoja na kujiifunza mapungufu ya wenza hao!
- Ustahamilivu na kusameheana ni mambo muhimu sana kwenye mahusiano yoyote. mwallu has a big heart and true love it takes a lot of courage to go through what she did and still hold on and stay strong...ijapokuwa Mentor alinogewa na kusahau hata kwanini alimuoa yule alomuoa na si huyo mlimbwende mwengine!TAMAA MBELE MAUTI NYUMA!!Ni vyema tukajifunza jinsi ya kudhibiti tamaa zetu za kimwili!
- Ndugu sio watu wakutegemea 100% ukiwa na matatizo ndio unaona utu wa watu.. Ndio maana wazungu wanasema familiy ni wife,husband and children hao wengine ni relatives.
- Ulifanya jambo la maana kuandika ile barua ya wosia..cause you can never predict the future so we should always be prepared for anything..like having enough savings now while we flourishh..
- Felix is a true friend,sio sifa kuwa na marafiki chungu nzima,binafsi bora niwe na rafiki mmoja tu ambae namuamini na najua ni rafiki wa kweli AKUFAAYE KWA DHIKI NDIO RAFIKI