Barrick Gold kuuzwa...

Barrick Gold kuuzwa...

wimbi la mbele

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
647
Reaction score
269
Kama wazungu wanafunga virago kwa sababu ya Umeme na wanasema hawawezi kulipia wafanyakazi wao michango ya NSSF je hawa wachina walivyo mabahili umeme watatoa wapi na pia wanajulikana kuwa huwa hawalipi michango ya mafao.

Katika hali ya kawaida ingekuwa nchi zilizoendelea au zenye nia ya kuendelea waziri wa uwezekaji kama Mary Nagu angekuwa anaenda mbio ili hawa jamaa wasiondoke lakini kama sikosei Mary Nagu atakuwa bize kutafuta misafara ya mikutano ya nje ya nchi ili apate per diem.

Ripple effect ya hawa jamaa kuondoka ni kubwa mno...imagine watu wangapi watakosa ajira, tazama supply chain yao locally ikoje, serikali pia itakosa mapato

Lakini kwa sababu sisi hayo sio muhim kwetu HILI NALO LITAPITA

Wachina mpaka leo hawajaleta ripoti ya mgodi waliopewa wa Kiwira.

kazi kwenu

From: http://www.ft.com/cms/s/0/883785b8-e6f6-11e1-8a74-00144feab49a.html

Barrick Gold explores sale of Africa stake



Canadian miner Barrick Gold has been exploring a sale of its 74 per cent stake in African Barrick, the London-listed gold producer, in a move that could prompt a full takeover.

According to people familiar with the matter, Barrick has been working with UBS to consider its options for African Barrick, which the Canadian miner, the largest gold producer globally, partially floated in 2010.

One person with knowledge of the discussions suggested that Zijin Mining Group, the Chinese copper and gold miner, had indicated a preliminary interest in African Barrick.

But a second person familiar with the situation added that Barrick's team had abruptly halted work on a possible sale this week, throwing into doubt whether the Canadian company will proceed.

African Barrick, Tanzania's largest gold producer,
has performed poorly since being spun off from its Canadian parent in 2010, with its shares slumping about 30 per cent since listing.


An offer for Barrick's stake in African Barrick could trigger an offer for the whole of the London-listed company, people familiar with the matter said, putting the onus on its independent directors to safeguard minority owners' interests.

The UK-listed miner's shares fell 0.7 per cent to 397.2p on Wednesday. African Barrick, Barrick and UBS declined to comment. Zijin could not be reached for comment.

Barrick Gold recently signalled it was reining in its expansion plans and introducing a renewed focus on disciplined spending, as it announced a big cost over-run at its key development project in South America.

Jamie Sokalsky, the new Barrick chief executive, pledged that "returns will drive production; production will not drive returns" as he unveiled a review of the miner's sprawling portfolio of assets.

Since its listing in London, African Barrick has struggled to hit its production targets, as interruptions to its power supply from Tanzania's national grid disrupted work. Reliance on expensive diesel generation has also pushed costs higher.

The African miner in July said production had fallen 14 per cent in the first half of the year, as lower grades in its mines weighed on output and increased costs.

Zijin's interest in African Barrick could prompt other gold miners to consider a tilt at the group, which has a market value of £1.6bn. Randgold, the London-listed miner with operations in Mali, and AngloGold Ashanti, the South African miner, have previously been named as possible buyers of African Barrick.

State-controlled Zijin, which is listed in Hong Kong, is the largest gold producer and second largest copper producer in China, and also has operations in zinc, tungsten and iron ore.

The Chinese group has, thus far, had a limited profile on the world stage. In August, Zijin said it had bought more than 50 per cent of Norton Gold Fields, an Australian company, calling the move "the first successful example for Chinese enterprise to take over large-sized gold mine in production
 
Kwani matatizo ya umeme Bongo yameanza leo au jana? Mbona tangu walipoingia nchini tangu mwaka 2000 hawakuona kama ni tatizo hadi miaka 12 baadaye!? Hawa naona wamestukia agizo la kulipa kodi ya 30% lililotolewa na Waziri mpya wa Madini na Nishati Sospeter Muhongo.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ng-companies-to-pay-30-pct-corporate-tax.html
Mkuu Nakubaliana na wewe lakini kwa kuongezea huenda mawe yameanza kuisha wanawuzia wachina hayo mapango na hiyo mivifaa Yao tu
 
Mkuu Wachina hawa wa leo si sawa na wale wa mwaka 47, ninaamini lazima watafanya tathmini ya kina kuhakikisha hawauziwi mapango.

Mkuu Nakubaliana na wewe lakini kwa kuongezea huenda mawe yameanza kuisha wanawuzia wachina hayo mapango na hiyo mivifaa Yao tu
 
Au huko chini ya ardhi wamekwisha maliza hazina!?
 
Mary Nagu jimboni kwake wanaoga mara moja kwa wiki, ndoo moja ya maji ni 1500 halafu kuyapata mbinde sijui wamefanya nini yeye na Sumaye.
 
Kwani matatizo ya umeme Bongo yameanza leo au jana? Mbona tangu walipoingia nchini tangu mwaka 2000 hawakuona kama ni tatizo hadi miaka 12 baadaye!? Hawa naona wamestukia agizo la kulipa kodi ya 30% lililotolewa na Waziri mpya wa Madini na Nishati Sospeter Muhongo.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ng-companies-to-pay-30-pct-corporate-tax.html
Lilipotokea agizo hilo (kutokana na kuwa walikuwa wanasamehewa kodi kwa miaka mitano) niliwahi kutoa hoja kuwa wawekezaji waliopo watakuwa wanauziana rasilimali zetu au kubadilisha majina ya kampuni muda mchache kabla ya kumaliza hiyo miaka ya msamaha wa kodi.

Hivi ndivyo wanavyotaka kufanya hawa Barrick na usishangae kuona bado wakiwa na hisa kwenye kampuni mpya itakayowarithi.

Hata hivyo ningefurahi kama wangefunga virago na kuondoka kabisa bila kuuza migodi.

Faida toka kwa wawekezaji wa madini nchini ni sawa sawa na 100-100x100= kwa upande wetu au 100x100-100 kwa upande wao.
 
Kama Watauza TRA wawe macho kuhakikisha kodi ya mauzo inalipwa isije ikawa kama mchezo uliochezwa kampuni ya Wahindi Airtel iliponunua Zain Africa

Government Loses U.S.$308 Million in Airtel Deal | Latest News Stories | Your Online African Community | Portal To Africa

TRA hawawezi kufanya kitu kama hakuna sheria inayotaka wakusanye kodi, sheria zetu ni dhaifu sana (kama ilivyo serikali) na mara nyingi wawekezaji wamezitumia kupiga madili ya kuzimu na kuondoka bila kulipa kodi yoyote

SAMAX walitengeneza mamilioni kwa kuuza mgodi wa Golden Pride kwa RESOLUTE miaka ya 90 na hata waliouuza mgodi wa Buli walipiga mihela ya kufa mtu na hawakulipa hata senti kwa serikali isipokuwa kifuta jasho kwa watendaji wa serikali waliokuwa wanawasaidia kupitisha sheria zinazowalinda
 
Kwani matatizo ya umeme Bongo yameanza leo au jana? Mbona tangu walipoingia nchini tangu mwaka 2000 hawakuona kama ni tatizo hadi miaka 12 baadaye!? Hawa naona wamestukia agizo la kulipa kodi ya 30% lililotolewa na Waziri mpya wa Madini na Nishati Sospeter Muhongo.
Hilo ndio neno! Hawa CCM wanatuibia kiuuwazi. Mhongo ni CDM huyooo!
 
watakuwa wamemaliza kila kitu ardhini wanataka kuuza mitambo yao tu,wanatudanganya eti umeme,au walikuwa hawalipii bili zao,tanesco wameshaanza mchakato wanahofia? tanesco wakagueni hao jamaa kabla hawajaondoka inawezekana walikuwa wanachakachua.
 
Back
Top Bottom