Kuna Prof. Maji marefu aliyeshinda Ubunge jimbo la Korogwe vijijini. Kikwete alimnadi kuwa ni Prof.safi watu wamchague.
CV yake:
- Darasa la 7.
- Mganga wa kienyeji.
Hakika CCM ina majuha watupu. Sijui kwanini Watanzania wengi hawalioni hili na wanaendelea kuchagua mijitu ambayo haijaenda hata shule.
Kazi kwelikweli.