Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,095
- 4,059
Kwa nn ichukue mda mrefu hivi?Ingekuwa rafu ya uwanjani isingekuwa tatizo,muathilika kaamua kulishughulikia kama jinai.Lugha chafu siyo swala la mpira.Ni sawa na kumchima na kisu mchezaji mwenzio useme ni swala la mpira.