Barbara Gonzalez aliwekwa lock-up polisi masaa 8 tar 20/01/2022

C.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.

Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?

Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=

Nini mawazo yako mdau wa michezo.
Hayo sio mambo ya uwanjani bali mambo binafsi...

Matusi na mambo ya soka wapi na wapi?!

Ndo maana, hata kwenye Customer Service tunakoambiwa "The Customer Is Always Right" huo u-right wako unaishia kwa taasisi na products zake na sio kwa staff!!

Ukinikuta pale Kaunta ya CRDB, toa lugha zote za ovyo dhidi products, services, n.k lakini ukifikia kusema "Na wewe Teller ni mpumbavu sana, mshenzi mkubwa".... HELL NO, the Customer Is Always Right hapo haikulindi!!

Na hata taasisi yenyewe inaweza kukufungulia mashtaka kwa kum-harass mfanyakazi wake!!
 
GSM ametumwa kuja kuua mpira Tanzania. Najiulizaga tu hivi Malawi ametuacha wapi? Kumbe toka aje GSM kila kitu hakiendi hata Yanga huko hakuna kitu zaidi ya kuua viwango vya wazawa tu.
Jiesiemu anaingiaje hapa au ndiyo Yale maneno ya Rage yanajidhihilisha?
 
Jiesiemu anaingiaje hapa au ndiyo Yale maneno ya Rage yanajidhihilisha?
Kwani haya yote yanawezeshwa na nani? Juesiemu ameungana na TFF kuikandamiza Simba tunakoenda tutakosa timu ya ushindani ya Taifa na hatutakuwa na uwakilushi bora CAF. Simba ni mpira wa Tanzania hao wengine 2B tayari TFF anekuwa submissive sana kwa GSM
 
Ogopa matapeli, Simba ambaye hana mkia hayupo na kamwe hajawahi kuwepo na hatakuwepo kabisa duniani kaka.
Screenshot_20220124-191857.jpg
 
Umekuwa sio mpira tena, kwa sasa ni kuwindana na kukomoana. Sidhani kama mwenendo huu ni afya kwa Taifa. Limeanza kwa viongozi litaenda kwa mashabiki.

Kuna moto utawaka sijui utazimika vipi.
Wewe kampige shabiki wa Mtibwa uwanjani akupeleke peleke ukajitetee tilikuwa uwanjani kama watakuachia. Shabiki Unafanya jinai uwanjani halafu unataka upewe Kadi na refa?
 
Ndio maana FIFA wameweka kipengere cha Serikali kutokuwa na mikono kwenye Football. Mpira wa miguu upo na kanuni na sheria zake. Ndio maana barbra alitozwa faini na TFF. Waliompeleka police ni jiesiemu
We nae jaribu kufikiria kwa kutumia ubongo bac hata mara moja tu. Unaonekana una chuki zako binafsi na GSM tu huna lolote. Kwahiyo GSM ndo kafungua hiyo kesi?
 
Next time ajifunze lugha za staha walimwengu wanajua shari na wanazipenda shari kweri-kweri.

Yeye alikua anatukana tu kumbe mwenzake anamrekodi.
 
Umekuwa sio mpira tena, kwa sasa ni kuwindana na kukomoana. Sidhani kama mwenendo huu ni afya kwa Taifa. Limeanza kwa viongozi litaenda kwa mashabiki.

Kuna moto utawaka sijui utazimika vipi.
Yes matusi aliyomtukana huyo dada wa TFF ilikua sio mpira tena bali ni jinai.

Babra alikua anatukana tu kumbe mwenzake anamrekodi.
 
Mfano wako Ni irrelevant mkuu, Kwani shabiki wa mpira akifanya fujo uwanjani hiyo Ni jinai au si jinai kisheria, The same happened to so called CEO. Mchezaji akifanya Lisa akiwa mchezoni anaadhibiwa kikanuni. Ila mshabiki ufanye kosa la kijinai kiwanjani, hapo mkondo wa Sheria za nchi unachukua nafasi yake. Nadhani umeelewa Hadi hapo.
Mkumbushe mchezaji wa CDA DODOMA "aliekula mvua moja"(Nadhani ni marehemu kwa sasa pamoja na timu yake), baada ya kumpiga mchezaji wa timu pinzani nje ya pitch lakini ndani ya kiwanja, baada ya mpira kuwa ulishaisha.
 
Kwani haya yote yanawezeshwa na nani? Juesiemu ameungana na TFF kuikandamiza Simba tunakoenda tutakosa timu ya ushindani ya Taifa na hatutakuwa na uwakilushi bora CAF. Simba ni mpira wa Tanzania hao wengine 2B tayari TFF anekuwa submissive sana kwa GSM
Kwani lini tulikua nayo hio timu ya ushindani?
 
Back
Top Bottom