Kweri kweriNext time ajifunze lugha za staha walimwengu wanajua shari na wanazipenda shari kweri-kweri.
Yeye alikua anatukana tu kumbe mwenzake anamrekodi.
Kweri kweriNext time ajifunze lugha za staha walimwengu wanajua shari na wanazipenda shari kweri-kweri.
Yeye alikua anatukana tu kumbe mwenzake anamrekodi.
Kesi imepelekwa na mtu binafsi sio tffC.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.
Kule yanga wenye akili ni wawili tu.Mkuu mshana kumbe na wewe ni mtu wa hovyo kiasi hiki???
makolo walikua wanajiona nani sijui nchi hii,sasa hivi full kulalamika!Senzo Mbatha anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kulenga kuihujumu Simba
Bw. Senzo Mbatha anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwenye kituo cha Oysterbay. Inaelezwa sababu ya Senzo kushikiliwa na jeshi la polisi ni kuhusiana na tuhuma za mawasiliano yake na Hashim Mbaga yanayodhaniwa yalilenga kuihujumu Simba (kupanga matokeo na rushwa) kwenye michezo kadhaa. Hivi...www.jamiiforums.com
Tena baada ya kumtoa remanded ilitakiwa apelekwe guest, asuguliwe hadi @mbususu itoe cheche. Kana dharau sana hako kakimbaumbauC.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.
We fala ipo siku utagongewa mkeo utailaumu GSM,punguzeni ujinga nyie,yule dada ana clip inayomuonyesha babra akimtukana na ndicho kinachomfanya babra awe mpole na akiri kama ameshikwa pabayaNdio maana FIFA wameweka kipengere cha Serikali kutokuwa na mikono kwenye Football. Mpira wa miguu upo na kanuni na sheria zake. Ndio maana barbra alitozwa faini na TFF. Waliompeleka police ni jiesiemu
Aha... kumbeWe fala ipo siku utagongewa mkeo utailaumu GSM,punguzeni ujinga nyie,yule dada ana clip inayomuonyesha babra akimtukana na ndicho kinachomfanya babra awe mpole na akiri kama ameshikwa pabaya
Hiii.Gsm ni wanawake?
kama amefanya makosa yeye ni nani asilale polisi ? Kalala Manji na utajiri wake ishindikane vipi ka huyo kibaraka wa MoC.E.O WA SIMBA NDUGU ALALE POLISI?????
C.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.
Hahahahahajaa hatari saaana!!!!Tena baada ya kumtoa remanded ilitakiwa apelekwe guest, asuguliwe hadi @mbususu itoe cheche. Kana dharau sana hako kakimbaumbau
Ha haaaa..... Mayele atakuwa anakuangalia tu?Bado Simba atakuwa SIMBA tuu pamoja na figisu zote hizi
Ameshitakiwa Babra na huyo dada sio CEO na TFFBado Simba atakuwa SIMBA tuu pamoja na figisu zote hizi
C.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Mwalimu wako alikuwa anapata tabu.Unataka nikujibu au nisikujibu!? Kumpiga mtu ni kosa au siyo kosa according to katiba unayoisema!?
Je, Djuma Shabban akashitakiwa kwa kutenda kosa la jinai na ushahidi wake
View attachment 2094160
Acha uongo jamaa yangu. Ni kwa namna gani hiyo GSM inaua viwango vya wazawa pale Yanga?GSM ametumwa kuja kuua mpira Tanzania. Najiulizaga tu hivi Malawi ametuacha wapi? Kumbe toka aje GSM kila kitu hakiendi hata Yanga huko hakuna kitu zaidi ya kuua viwango vya wazawa tu.
Nadhani busara haikutumika vizuri katika hili ........ halikupaswa kufika huku lilipofikaKumtolea mtu lugha chafu ni kosa kisheria za nchi na unampeleka mtu mahakamani vizuri kabisa haijalishi matusi hayo kayatoa uwanjani au sokoni...
Ikumbukwe kuwa wakati Barbara anatoa lugha chafu (kama kweli alitoa), hakuwa akifanya hivyo kwa niaba ya Simba SC, au kama CEO bali alifanya hivyo kama yeye...
Kama kuna faini iliyotoka TFF, hiyo ilitolewa kutokana na kukiukwa kwa miongozo yake na si vinginevyo...
Kumbuka hakuna sheria kubwa zaidi ya ile iliyopo kwenye katiba, na hakuna kilicho juu ya mahakama
Kosa la kimtandao. Kurusha picha ya mtu mitandaoni bila ridhaa yake.C.E.O wa Simba aliitwa katika kituo cha polisi jijini hapa dsm kwa makosa ya kumtolea lugha chafu afisa wa TFFsiku ya mechi ya simba na yanga 11/12/2021.
Je, mambo ya uwanjani yanaenda polisi?
Mimi nilifikiri jambo limeisha baada ya bodi ya ligi kutoa faini ya 500,000/=
Nini mawazo yako mdau wa michezo.
Kane, Msheri, Ambundo, Job sio wazawa?GSM ametumwa kuja kuua mpira Tanzania. Najiulizaga tu hivi Malawi ametuacha wapi? Kumbe toka aje GSM kila kitu hakiendi hata Yanga huko hakuna kitu zaidi ya kuua viwango vya wazawa tu.
Kwani Yanga hadi saizi inawachezaji wangapi kuchezea Taifa Stars? Pale Simba mchezaji kama Dilunga hawezi kumweka nje Morison ila anacheza kwa faida ya Taifa tu?.Acha uongo jamaa yangu. Ni kwa namna gani hiyo GSM inaua viwango vya wazawa pale Yanga?
Halafu hiyo GSM imetumwa na nani kuja kuua mpira wa Tanzania, na wakati ni Kampuni ya ndani? GSM ni mmoja wa wadhamini wa ligi kuu, ni mdhamini wa Yanga, ni mdhamini wa Namungo, Coastal Union, nk. Sasa anahusikaje tena kuua mpira wa Tanzania?
Yaani simba ikifungwa na Mbeya City, lawama zinaenda GSM! Ikitoa sare na Biashara United, lawama kwa GSM! Ikishinda, hongera na sifa zote zinaenda kwa akina Kibu Dennis na yule Kicha wa Madrid! 🤔
Kuna viumbe wagumu kuelewa imagine huo mfano anao toaMwalimu wako alikuwa anapata tabu.