Barazani Kwa Ahmed Rajab: Muungano wa Mkataba utaleta Umoja wa Afrika

Ahali yangu.

Ninaposema uoga ndio huo inaobainisha na wewe umeweka wazi.

Kwa mujibu wa Maandiko yako Znz wanataka Serikali tatu. Je Tanganyika mna msimamo gani? mbona mumekuwa mabubu kwa hili? Na hilo ndilo ninalosema kuwa ni waoga sana katika maamuzi kwani muna manufaa mengi mnayopata kutokana na kujivika jho la muungano kiasi cha kufikia kuacha jina lenu la asli.

Poleni sana

Barubaru, nani ni bubu? Umeamua kuwa na selective amnesia? Unakumbuka Tundu Lissu alisema nini wakati wa mjadala wa mswada wa katiba mpya? Sisi hatutaki huo muungano wa mkataba au serikali tatu, muungano wa aina hiyo ni wa ccm na hatuoni faida yake zaidi ya kusikia malalamiko tuu na yasiyoisha toka kwa watu tunaowabeba. Ama serikali moja au Zanzibar iende itakako kwenda.
 
Barubaru, nani ni bubu? Umeamua kuwa na selective amnesia? Unakumbuka Tundu Lissu alisema nini wakati wa mjadala wa mswada wa katiba mpya? Sisi hatutaki huo muungano wa mkataba au serikali tatu, muungano wa aina hiyo ni wa ccm na hatuoni faida yake zaidi ya kusikia malalamiko tuu na yasiyoisha toka kwa watu tunaowabeba. Ama serikali moja au Zanzibar iende itakako kwenda.

Nafikiri waZnz wapo wazi zaidi mpaka kufikia kuichana hadharani rasimu ya katiKwa upande wa Tanganyika mwenye uthubutu huo ni Tundu lissu pekee. sasa wengine wa Tanganyika mko wapi. Je najuwa katika Bunge la Muungano kuna wa Tanganyika asilimia Ngapi? Hivi wote wa Tanganyika Bungeni wakisema NO. Je kutakuwa na Muungano hapo?


Punguzeni uoga na acheni unafiki. Muwe wawazi kama waZnz

 
Nafikiri waZnz wapo wazi zaidi mpaka kufikia kuichana hadharani rasimu ya katiKwa upande wa Tanganyika mwenye uthubutu huo ni Tundu lissu pekee. sasa wengine wa Tanganyika mko wapi. Je najuwa katika Bunge la Muungano kuna wa Tanganyika asilimia Ngapi? Hivi wote wa Tanganyika Bungeni wakisema NO. Je kutakuwa na Muungano hapo?
Punguzeni uoga na acheni unafiki. Muwe wawazi kama waZnz

Huo utafiti wako uliufanyia wapi na lini hadi ukathibitisha kuwa na Lissu pekee mwenye uthubutu huo? Ushawahi kumsikia mtu anatiwa Mtikila? Una habari kuwa alishafungwa kwa kukosoa muungano - na ilikuwa enzi ya Mwinyi? Ulishawahi kumsikia Mabere Marando? Ulisikia alichokisema kuhusu hoja yako?
 
Ahali yangu.

Ninaposema uoga ndio huo inaobainisha na wewe umeweka wazi.

Kwa mujibu wa Maandiko yako Znz wanataka Serikali tatu. Je Tanganyika mna msimamo gani? mbona mumekuwa mabubu kwa hili? Na hilo ndilo ninalosema kuwa ni waoga sana katika maamuzi kwani muna manufaa mengi mnayopata kutokana na kujivika jho la muungano kiasi cha kufikia kuacha jina lenu la asli Poleni sana
Ahalan wahsalam Baru baru. Kwa mujibu wa maandiko yangu ZNZ haijui inataka nini. Nimewahi kuonyesha jinsi serikali 3 ilivyokataliwa na kiongozi wa fikra za WZNZ walio wengi. Baru baru utakuwa nyuma kidogo kihabari, sasa hivi hata mkataba hawataki wanataka EU. Wamejaribu kila jambo kwabahati mbaya hawawezi kulitetea imefikia mahali tunashauriwa tuwe na muungano kama wa Senegambia! sasa hapo kuna fikra au upuuzi tu! mtu anapokushauri ufuate jambo lilo feli ni kuwa yeye kafeli kimawazo kwanza, huyu ndiye yule mtaalamu na msomi wa Unguja Ahmed R.

Msimamo wa Tanganyika ni lolote lile, lakini kwa siku za karibuni ni LET ZNZ GO!
Kuhusu manufaa tunayopata hili sheikh umejiunga na kundi la WZNZ haswaa! kuamini wasichoweza kukitetea.
Mara nyingi sana tunapofikia hapa huwa unakimbia na kuibukia thread yingine. Nadhani wewe unaelewa mkubwa na exposure nzuri kuliko average ZNZ anyesubiri Ahmed Rajab anafikiria nini chumbani kwake.

Maswali unayokimbia kila siku ni haya
Katika mambo 11 yaliyoongezwa hadi 32 nitajie yale Tanganyika inayofaidika nayo.
Pili, Kwa vile ZNZ inasema imekuwa ni koloni, wapi dunia Mkoloni amewahi kushauriana na koloni kuhusu utawala? nina maana serikali 3,mkataba n.k. Ni nani kati ya Tanganyika na ZNZ anayedai uonevu?
Tatu, kwanini ZNZ inayotaka kuwa huru, wakati huo huo idai Mkataba, serikali 3, EU, Senegambia, Uswiss, California na Cuba?

Hayo mawili matati tu na nina uhakika utapotea hadi thread nyingine
 
Nafikiri waZnz wapo wazi zaidi mpaka kufikia kuichana hadharani rasimu ya katiKwa upande wa Tanganyika mwenye uthubutu huo ni Tundu lissu pekee. sasa wengine wa Tanganyika mko wapi. Je najuwa katika Bunge la Muungano kuna wa Tanganyika asilimia Ngapi? Hivi wote wa Tanganyika Bungeni wakisema NO. Je kutakuwa na Muungano hapo?

Punguzeni uoga na acheni unafiki. Muwe wawazi kama waZnz


Barubaru, kama mtu unakuwa abused, na unajua kabisa umekuwa abused, huwezi kukaa chini na kusema unataka 'huyo' anayeku-abuse aachane na wewe! Madai ya Zanzibar kuwa Tanganyika ni koloni nilitegemea yangefuatiwa na hatua moja tu - Zanzibar kupeleka muswada BLW na kuandaa mchakato wa 'divorce'. Lakini kuendelea kupiga kelele kwamba mnataka 'uhuru' huku mnaendelea kupokea mishahara, posho etc ni unafiki wa viwango vya hali ya juu.

Ni kitu gani kinawashinda kuachana na unyonyaji? Kwanini mnakubali kunyonywa na Tanganyika? Kama umefuatilia kwa karibu, Tanganyika hawaongei sana kuhusu Muungano, because it is not an issue. Sasa hivi kuna wajumbe wa BWL wako India, unaweza kusema nani amelipia hiyo safari?
 
Huo utafiti wako uliufanyia wapi na lini hadi ukathibitisha kuwa na Lissu pekee mwenye uthubutu huo? Ushawahi kumsikia mtu anatiwa Mtikila? Una habari kuwa alishafungwa kwa kukosoa muungano - na ilikuwa enzi ya Mwinyi? Ulishawahi kumsikia Mabere Marando? Ulisikia alichokisema kuhusu hoja yako?

Nafikiri ni vizuri ujiulize kama wote hao wakiamua kuacha kuzungumzia kwenyemagazeti na jikoni mtafika kweli. Kwanini wasijitoe kama anavyojitoa Tundu Lissu kuzungumzia hadharaani Muungano wenu tena kwenye chombo cha kutunga sharia zenu lakin hapati support zozote kutoka kwa watanganyika wengine Bungeni zaidi ya wale wa vichochoroni na jikoni.

Mimi nasema tena kifua wazi zaidi kama waTanganyika kwa umoja wenu mkisema HATUTAKI MUUNGANO Bungeni kama walivyodai wale wa Serikali ya Tanganyika marufu kama G57 basi hapo ndio utakuwa mwisho wa Muungano.

Tatizo ni uoga na unafiki kwa kupenda kujipendekeza japo wenyewe mnajidai kuwa munaumizwa na huo mvungano.

 
Barubaru, kama mtu unakuwa abused, na unajua kabisa umekuwa abused, huwezi kukaa chini na kusema unataka 'huyo' anayeku-abuse aachane na wewe! Madai ya Zanzibar kuwa Tanganyika ni koloni nilitegemea yangefuatiwa na hatua moja tu - Zanzibar kupeleka muswada BLW na kuandaa mchakato wa 'divorce'. Lakini kuendelea kupiga kelele kwamba mnataka 'uhuru' huku mnaendelea kupokea mishahara, posho etc ni unafiki wa viwango vya hali ya juu.

Ni kitu gani kinawashinda kuachana na unyonyaji? Kwanini mnakubali kunyonywa na Tanganyika? Kama umefuatilia kwa karibu, Tanganyika hawaongei sana kuhusu Muungano, because it is not an issue. Sasa hivi kuna wajumbe wa BWL wako India, unaweza kusema nani amelipia hiyo safari?

FJM.

Ahali yangu ungetazama na mara nyingi sana nimefafanua kwa kina sana NAMNA YA MUUNGANO WENU KIsharia. Labda kwa kukusaidia ni kuwa Muungano wenu ni wa kiMKATABA na sio KIKATIBA. Lakin vile vile Muungano wenu ulipitishwa na Bunge la Muungano na mpaka leo hii haujafikishwa kwenye BLW ili kuridhiwa na kuwa sharia kwa upande wa Znz. Japo wawakilishi wameomba mara kadhaa lakin hawajapata kufikishwa barazani hapo.

Kwa msingi huo utaona wazi wenye mamlaka ya Kuuhuisha au Kuuvunja ni Bunge la Muungano ambalo lina watanganyika zaidi ya 80%.

ndio maana nasema kama waTanganyika wakiamua basi muungano huo unavunja mara moja. Mfano walipodai serikali ya Tanganyika unajuwa kama si Nyerere basi sasa hivi nanyi mngekuwa na Serikali yenu.

Tatizo la waTanganyika ni uonga. Na kupenda kuonekana wema kwa jamaa na wananchi.

Tazamana muundo wa muungano wenu kisha angalia kisharia wapi wenye mamlaka ya kuuvunja na sio kuingia katika ushabiki

 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ahalan wahsalam Baru baru. Kwa mujibu wa maandiko yangu ZNZ haijui inataka nini. Nimewahi kuonyesha jinsi serikali 3 ilivyokataliwa na kiongozi wa fikra za WZNZ walio wengi. Baru baru utakuwa nyuma kidogo kihabari, sasa hivi hata mkataba hawataki wanataka EU. Wamejaribu kila jambo kwabahati mbaya hawawezi kulitetea imefikia mahali tunashauriwa tuwe na muungano kama wa Senegambia! sasa hapo kuna fikra au upuuzi tu! mtu anapokushauri ufuate jambo lilo feli ni kuwa yeye kafeli kimawazo kwanza, huyu ndiye yule mtaalamu na msomi wa Unguja Ahmed R.

Msimamo wa Tanganyika ni lolote lile, lakini kwa siku za karibuni ni LET ZNZ GO!
Kuhusu manufaa tunayopata hili sheikh umejiunga na kundi la WZNZ haswaa! kuamini wasichoweza kukitetea.
Mara nyingi sana tunapofikia hapa huwa unakimbia na kuibukia thread yingine. Nadhani wewe unaelewa mkubwa na exposure nzuri kuliko average ZNZ anyesubiri Ahmed Rajab anafikiria nini chumbani kwake.

Maswali unayokimbia kila siku ni haya
Katika mambo 11 yaliyoongezwa hadi 32 nitajie yale Tanganyika inayofaidika nayo.
Pili, Kwa vile ZNZ inasema imekuwa ni koloni, wapi dunia Mkoloni amewahi kushauriana na koloni kuhusu utawala? nina maana serikali 3,mkataba n.k. Ni nani kati ya Tanganyika na ZNZ anayedai uonevu?
Tatu, kwanini ZNZ inayotaka kuwa huru, wakati huo huo idai Mkataba, serikali 3, EU, Senegambia, Uswiss, California na Cuba?

Hayo mawili matati tu na nina uhakika utapotea hadi thread nyingine


Kama unavyodai ZNZ haijui inataka nini. Na nyie msimamo wenu LET ZNZ GO. Kwanini msiwafurusheKwanini mnazidikuwakumbatia? je huoni kuwa kuna kitu hapo ambacho Tanganyika wananufaika nacho.

Acheni uonga kuweni wawazi na simamieni kila mnachokiona kina maslaahi na nyi

 
FJM.

Ahali yangu ungetazama na mara nyingi sana nimefafanua kwa kina sana NAMNA YA MUUNGANO WENU KIsharia. Labda kwa kukusaidia ni kuwa Muungano wenu ni wa kiMKATABA na sio KIKATIBA. Lakin vile vile Muungano wenu ulipitishwa na Bunge la Muungano na mpaka leo hii haujafikishwa kwenye BLW ili kuridhiwa na kuwa sharia kwa upande wa Znz. Japo wawakilishi wameomba mara kadhaa lakin hawajapata kufikishwa barazani hapo.

Kwa msingi huo utaona wazi wenye mamlaka ya Kuuhuisha au Kuuvunja ni Bunge la Muungano ambalo lina watanganyika zaidi ya 80%.

ndio maana nasema kama waTanganyika wakiamua basi muungano huo unavunja mara moja. Mfano walipodai serikali ya Tanganyika unajuwa kama si Nyerere basi sasa hivi nanyi mngekuwa na Serikali yenu.

Tatizo la waTanganyika ni uonga. Na kupenda kuonekana wema kwa jamaa na wananchi.

Tazamana muundo wa muungano wenu kisha angalia kisharia wapi wenye mamlaka ya kuuvunja na sio kuingia katika ushabiki


Hivyo ndivyo visingizio vyenyewe, kusema kuwa wenye mamlaka ya kuvunja muungano ni Bunge la Muungano. Labda nikukumbushe tu kuwa baadhi ya mabadiliko yaliyofanywa na BLW yamekiuka Katiba mama (Katiba ya Jamhuri ya Muungano) na hayakuwahi kuridhiwa na bunge la Muungano. Mfano Katiba ya Jamhuri ya Muungano inamtambua Chief Minister, lakini katiba ya Zanzibar imefanyiwa marekebisho na sasa kuna Vice President, tena wawili!

Huo ni mfano mmoja halisi kukuonesha kuwa ni jinsi gani ambavyo katiba au bunge la muungano halijawahi kuwa kikwazo huko Zanzibar. Na kama mliweza kukiuka hizo taratibu za kesheria inakuje kwenye hili la muungano, especially kama kweli mnanyonywa? Unafiki wa wanasiasa wakatia mwingine unashangaza!
 
Bandari ya Zanazibar wote ni wezi, ila kwaq makusudi ili kuinyima TRA ya Muungano mapato, (yaani kama nikiingiza mzigo toka Dubai na kodi ni milioni 7, basi nalipa moja tu kihalali, na mbili natoa zawadi mlango wa nyuma au hata nje nje kwani wote lao moja, kuwa bora pesa tuachiane sisi Zanzibar kuliko wezi wa Bara) ni mfano Airport Visa haziuzwi, kinachouzwa ni muhuri ulioandikwa Zanzibar tu hugongewa mgeni kwenye pasipoti ili pesa isiende bara. kweli hapa pana usawa?
 
Kama unavyodai ZNZ haijui inataka nini. Na nyie msimamo wenu LET ZNZ GO. Kwanini msiwafurusheKwanini mnazidikuwakumbatia? je huoni kuwa kuna kitu hapo ambacho Tanganyika wananufaika nacho.
Acheni uonga kuweni wawazi na simamieni kila mnachokiona kina maslaahi na nyi[/FONT]
Hivi kuna 'mkoloni' anayeweza kuwafurusha 'koloni' lake? Si mnadai ninyi mmekuwa koloni?

Bado hujajibu kuhusu manufaa inayopata Tanganyika. Tena nimerahisha kazi na kusema katika yale 11 yaliyoongezwa na kuwa 32 yapi Tanganyika inafaidika nayo?

Kama unadhani kuna kitu tunafaidi, ni kipi hicho hata kama hakipo katika yale 32

Baru baru, Wazanzibar tatizo lao kubwa ni uelewa. Huwezi kuwa koloni halafu udai mkataba au EU, Uswiss, serikali 3, Senegambia, Madagascar na Morocco n.k.

Ukweli usio na kificho ni kuwa ZNZ INAIHITAJI TANGANYIKA kwa vyovyote vile.
Tunavyowafahamu WZNZ kwa jazba, hamaki, wasingeihitaji Tanganyika wangeshaondoka miaka 30 iliyopita, lakini wapi.

Ushahidi wa kuwa wanaihitaji Tanganyika ni simple, hakuna nchi nyingine duniani iliyobeba Wznz kama Tanganyika.
Sasa hivi WZN wamefunga midomo na hata kauli zao zina heshima, wanjua Tanganyika haina masilahi nao, wao wana masilahi na Tanganyika
Mbona hamdai PASSPORT!
 
Barubaru said:
Ahali yangu ungetazama na mara nyingi sana nimefafanua kwa kina sana NAMNA YA MUUNGANO WENU KIsharia.
Barubaru said:
Labda kwa kukusaidia ni kuwa Muungano wenu ni wa kiMKATABA na sio KIKATIBA. Lakin vile vile Muungano wenu ulipitishwa na Bunge la Muungano na mpaka leo hii haujafikishwa kwenye BLW ili kuridhiwa na kuwa sharia kwa upande wa Znz. Japo wawakilishi wameomba mara kadhaa lakin hawajapata kufikishwa barazani hapo.


Barubaru,

..hapo kwenye RED.

..maelezo hayo ulipaswa kuwapa Maalim Seif, Ahmed Rajab, na wana Uamsho.

..hawa hawana habari, wala uelewa, kama ulivyo wewe kwamba muungano tulionao ni muungano wa mkataba.

..au labda wameamua kuwalaghai wazanzibari kuhusu aina ya muungano tulionao.

NB:

. @Nguruvi3 unaona jamaa wanavyojichanganya!! LOL!!
 


Barubaru,

..hapo kwenye RED.

..maelezo hayo ulipaswa kuwapa Maalim Seif, Ahmed Rajab, na wana Uamsho.

..hawa hawana habari, wala uelewa, kama ulivyo wewe kwamba muungano tulionao ni muungano wa mkataba.

..au labda wameamua kuwalaghai wazanzibari kuhusu aina ya muungano tulionao.
NB: @Nguruvi3 unaona jamaa wanavyojichanganya!! LOL!!
Joka Kuu, ha ha ha ha ! unajua kuna kujichanganya na kuchanganyikiwa. Nadhani wamechanganyikiwa.

Ahmed na Maalim Seif walianza kuzungumzia mkataba siku za mwanzo. Ghafla wakaondoka huko, wakaja na Mkataba tena. Shivji akawaambia kama wanataka mkataba na Tanganyika, basi wavunje mkataba uliopo kwanza, wakamjia juu sana kwa kuwaeleza ukweli.
Wakabadili na kusema muungano! Wakaja na modal ya EU, halafu zikafuata tusizoweza kuziandika ili kuwasetiri kama wasomi wa ZNZ.

Unajua kwanini serikali 3 waliua hoja! Tuliwaeleza kuwa uwepo wa serikali 3 tayari hakuna muungano maana Tanganyika haitatoa uchochoro wa aina yoyote ile. Wakalitambua na kuchomoa kwa hoja za urojo eti umepitwa na wakati!

Hebu jiulize lini uliwahi kusikia MZN anaadai Passport? Wanakila kitu isipokuwa Passport. Wanajua kuwa kudai Passport ni hatari kama kudai Tanganyika. Laki tatu watakwenda wapi wakiwa na Passort za kigeni, wataishi wapi!

Ninatembea kifua mbele sana nikiwa na hoja kuwa ZNZ wanaihitaji Tanganyika, Tanganyika haihitaji ZNZ kwa lolote na kwa chochote, na kama wanadhani wanaonewa funga mabegi panda meli enendeni mkakabiliane na Ukweli, ukweli mchungu kwa wengi na mtamau kwa wachache!

LET THEM GO! LET ZNZ GO!
 
Hivyo ndivyo visingizio vyenyewe, kusema kuwa wenye mamlaka ya kuvunja muungano ni Bunge la Muungano. Labda nikukumbushe tu kuwa baadhi ya mabadiliko yaliyofanywa na BLW yamekiuka Katiba mama (Katiba ya Jamhuri ya Muungano) na hayakuwahi kuridhiwa na bunge la Muungano. Mfano Katiba ya Jamhuri ya Muungano inamtambua Chief Minister, lakini katiba ya Zanzibar imefanyiwa marekebisho na sasa kuna Vice President, tena wawili!

Huo ni mfano mmoja halisi kukuonesha kuwa ni jinsi gani ambavyo katiba au bunge la muungano halijawahi kuwa kikwazo huko Zanzibar. Na kama mliweza kukiuka hizo taratibu za kesheria inakuje kwenye hili la muungano, especially kama kweli mnanyonywa? Unafiki wa wanasiasa wakatia mwingine unashangaza!

Acha kujichanganya mwenyewe.

Suala la Katiba ya Znz lipo chini ya mamlaka ya Znz yenyewe na hili alipaswi kabisa kuingiliwaa na Muungano kwani ni kwa ajili ya wananchi wa nchi ya Znz.

Suala la Muungano ni suala linalohusu pande mbili yaani Tanganyika na Znz. Kila pande ina haki kamili na nimekubainishia kuwa Muungano huo ulipitishwa na Bunge la Muungano na mpaka leo haujaridhiwa na BLW.

sasa kimamlaka itakuwa kichekesho kikubwa BLM kuuzungumzia hilo bali Bnge la Muungano ndipo haswa wanapaswa kuzungumzia. Na ukitazama zaidi ya 80% ya wabungr wa Muungano ni watanganyika. Hivyo wwana nafasi kubwa kuuvunja au kuuhuwisha muungano wenu.

Kwa BLM kuuzungumzia Muungano ni sawa mimi na wewe tunavyojadili hapa na uishia hewani pahala sahihi ni Bungeni.

Sasa ndipo ninaporudia kusema waTanganyika kama wataacha UOGA na kuondoa UNAFIKI ana nafasi kubwa sana katika HATMA ya muungano wenu.

Funguka uyaone hayo.

 


Barubaru,

..hapo kwenye RED.

..maelezo hayo ulipaswa kuwapa Maalim Seif, Ahmed Rajab, na wana Uamsho.

..hawa hawana habari, wala uelewa, kama ulivyo wewe kwamba muungano tulionao ni muungano wa mkataba.

..au labda wameamua kuwalaghai wazanzibari kuhusu aina ya muungano tulionao.

NB:

. @Nguruvi3 unaona jamaa wanavyojichanganya!! LOL!!


Joka kuu.

Unajuwa ni rahisi sana kuwadanganya watu kuhusu Muungano wenu kuliko kuwafahamisha kuwa wamedanganywa. Na hilo ndilo Nyerere alijikita kulifanya na mpaka Leo waTanganyika wanajiona ni bora lakin wanakuwa hawajiamini kuwa wanaweza kusimama wenyewe bila Znz.

Kwani kwa mtu makini kama anajiona ananyanyanswa na kumbeba mwenzake huku raia wake wakizidi kunuka umasikini ni lazima atachukua hatua za kuutua huo mzigo. Sasa WaTanganyika kama mnajiona mnaibeba Znz na huku wananchi wenu wakiwa wananuka umasikini kwanini msiwatose waZnz?


hapa keli panataka mtu mwenye kutafakur.

Poleni sana.

 
Hivi kuna 'mkoloni' anayeweza kuwafurusha 'koloni' lake? Si mnadai ninyi mmekuwa koloni?

Bado hujajibu kuhusu manufaa inayopata Tanganyika. Tena nimerahisha kazi na kusema katika yale 11 yaliyoongezwa na kuwa 32 yapi Tanganyika inafaidika nayo?

Kama unadhani kuna kitu tunafaidi, ni kipi hicho hata kama hakipo katika yale 32

Baru baru, Wazanzibar tatizo lao kubwa ni uelewa. Huwezi kuwa koloni halafu udai mkataba au EU, Uswiss, serikali 3, Senegambia, Madagascar na Morocco n.k.

Ukweli usio na kificho ni kuwa ZNZ INAIHITAJI TANGANYIKA kwa vyovyote vile.
Tunavyowafahamu WZNZ kwa jazba, hamaki, wasingeihitaji Tanganyika wangeshaondoka miaka 30 iliyopita, lakini wapi.

Ushahidi wa kuwa wanaihitaji Tanganyika ni simple, hakuna nchi nyingine duniani iliyobeba Wznz kama Tanganyika.
Sasa hivi WZN wamefunga midomo na hata kauli zao zina heshima, wanjua Tanganyika haina masilahi nao, wao wana masilahi na Tanganyika
Mbona hamdai PASSPORT!


Nguruvi.

Mimi nakumbuka sana nilibainisha sana kuhusu Znz katika uzi mmpja uliokuwa na Anuani ya NINI FAIDA ZA MUUNGANO KWA TANGANYIKA. na nakumbuka wewe pamoja na MKandara niliwapeni kila kitu kwani niliepembua zaidi kiuchumi. sasa nakuona unataka turejee hapa tena somo lile lile.

Nilipo RED. Hebu mention kwa LIPI ZNZ INAIHITAJI TANGANYIKA zaidi ya UJIRANI. Kwani kuna msemo unaosema kuwa Ni rahisi sana kuchagua marafiki lakin sio Jirrani.

Pole sana
 
Nguruvi.

Mimi nakumbuka sana nilibainisha sana kuhusu Znz katika uzi mmpja uliokuwa na Anuani ya NINI FAIDA ZA MUUNGANO KWA TANGANYIKA. na nakumbuka wewe pamoja na MKandara niliwapeni kila kitu kwani niliepembua zaidi kiuchumi. sasa nakuona unataka turejee hapa tena somo lile lile.

Nilipo RED. Hebu mention kwa LIPI ZNZ INAIHITAJI TANGANYIKA zaidi ya UJIRANI. Kwani kuna msemo unaosema kuwa Ni rahisi sana kuchagua marafiki lakin sio Jirrani.Pole sana
Batu baru Mzanzibar roho mbaya hana cha ujirani wala undugu.
Umimi, ubora, ubinafsi,fitna, majungu, uzuzshi, uelewa, ubwana ndiyo hulka yao.
Waliposikia kuna dalili za mafuta wote wakakimbilia kusema tunavunja muungano, wakakimbilia kusema mafuta si ya muungano. Wakati wakisema hayo wanachukua 7%, mishahara ya bure, umeme wa bure n.k.

Wao wanasema si wabantu ni waarabu, sasa hapo unaona! unaweza kuwa na jirani asiyejitambua.
Kama si utegemezi kwa Tanganyika, Mzanzibar angeshampiga marufu Mtanganyika kukanyaga zanzibar.
Hivi unaweza kuwa na jirani unayemchoma moto!

Zanzibar haihitaji ujirani, inaiihitaji Tanganyika. Ujirani wanaosema ni watu laki 4 kuishi na kuhemea kwa jirani.
Ujirani ndio wanaita mkataba hata kama mkataba upo tayari.

Mzanzibar hakupendi mpaka aelewe anafaidika nini na wewe!
 
Joka kuu.

Unajuwa ni rahisi sana kuwadanganya watu kuhusu Muungano wenu kuliko kuwafahamisha kuwa wamedanganywa. Na hilo ndilo Nyerere alijikita kulifanya na mpaka Leo waTanganyika wanajiona ni bora lakin wanakuwa hawajiamini kuwa wanaweza kusimama wenyewe bila Znz.

Kwani kwa mtu makini kama anajiona ananyanyanswa na kumbeba mwenzake huku raia wake wakizidi kunuka umasikini ni lazima atachukua hatua za kuutua huo mzigo. Sasa WaTanganyika kama mnajiona mnaibeba Znz na huku wananchi wenu wakiwa wananuka umasikini kwanini msiwatose waZnz?


hapa keli panataka mtu mwenye kutafakur.

Poleni sana.

Barubaru,

..hujajibu maswali niliyokuuliza.

..wakati wenzako kama Maalim Seif,Ismail Jussa,na Ahmed Rajab, wakipigia upatu muungano wa mkataba, wewe umekuja hapa na kudai kwamba muungano huu tulionao tayari ni muungano wa mkataba, siyo wa kikatiba!!

..ni kutokana na hoja kama hizo ndipo wachangiaji kama Nguruvi3, na FJM, wanaona kama wa-ZNZ ni watu wanaotapatapa, wasiojitambua, na wasiokuwa na clue of what they want.

..umeuliza kwanini wa-Tanganyika hawapingi muungano. jibu ni kwamba muungano siyo priority kwa Mtanganyika wa kawaida. Mtanganyika wa kawaida anataka bei nzuri ya mazao yake, miundombinu ya uhakika, pamoja na huduma za elimu, afya, na maji, karibu na makazi yake.

..Mtanganyika wa kawaida anaamini kwamba chanzo cha hali mbaya ya uchumi, na ukosefu wa huduma mbalimbali za kijamii ni utawala mbovu wa CCM.

..Hii ni tofauti na upande wa Zanzibar ambapo wanasiasa walaghai wameweza kuwaaminisha wananchi kwamba hali mbaya ya uchumi ya Zanzibar, uhaba wa nafasi za ajira, pamoja na ukosefu wa huduma za kijamii, zimesababishwa na muungano.

..Jambo lingine wa-Tanganyika hatuna roho ya kibaguzi na chuki-chuki. Tembelea forums za wa-Zanzibar kama Mzalendo.net, uone chuki walizonazo wa-Zanzibar wenzako. Ninaamini kwa dhati kwamba ustaarabu wa Watanganyika ndiyo uliowezesha muungano huu kudumu kwa miaka 48 sasa.
 
Last edited by a moderator:
Acha kujichanganya mwenyewe.

Suala la Katiba ya Znz lipo chini ya mamlaka ya Znz yenyewe na hili alipaswi kabisa kuingiliwaa na Muungano kwani ni kwa ajili ya wananchi wa nchi ya Znz.

Suala la Muungano ni suala linalohusu pande mbili yaani Tanganyika na Znz. Kila pande ina haki kamili na nimekubainishia kuwa Muungano huo ulipitishwa na Bunge la Muungano na mpaka leo haujaridhiwa na BLW.

sasa kimamlaka itakuwa kichekesho kikubwa BLM kuuzungumzia hilo bali Bnge la Muungano ndipo haswa wanapaswa kuzungumzia. Na ukitazama zaidi ya 80% ya wabungr wa Muungano ni watanganyika. Hivyo wwana nafasi kubwa kuuvunja au kuuhuwisha muungano wenu.

Kwa BLM kuuzungumzia Muungano ni sawa mimi na wewe tunavyojadili hapa na uishia hewani pahala sahihi ni Bungeni.

Sasa ndipo ninaporudia kusema waTanganyika kama wataacha UOGA na kuondoa UNAFIKI ana nafasi kubwa sana katika HATMA ya muungano wenu.

Funguka uyaone hayo.


It is obvious hujasoma katiba ya Jamhuri ya Muungano vinginevyo usingeandika hayo maneno kwenye red. Na pia inawezekana mijadala ya muungano hujafuatilia kwa makini huko nyuma hasa pale wanasheria walipoanza kutaja ikiukwaji wa katiba mama (katiba ya muungano).

Lets do the basics, Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ndiyo zanzibar ina mamlaka kwa mambo ambayo si ya muungano ile afya, kilimo etc, na pia yapo mengi ambayo ni ya muungano. Katiba hizi mbili (Zanzibar na Muungano) hazitakiwi zikinzane, na inapotekea hivyo, sheria mama inasimama (yaani katiba ya muungano).
 
Kwani wazanzibar wana akili ? Hawaishagi kulalama ni kama majike tu nawambia ondokeni muone kama Wabara wana cha kupoteza. Naiombea hiyo siku tutajitenga na zanzibar kiduka cha mpemba hapa uswazi mali yangu yakhe !!!!
 
Back
Top Bottom