mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
kweli mkuu hizi kelele zinatuchosha tu ...mkataba wa nini apa kila mtu afe kivyakeWenzangu mna moyo.. mimi nawaona tuwaunge mkono muungano wa mkataba kwa masharti kwanza Zanzibar wajiondoe kwenye Muungano huu wa sasa. Wakishatoka ndio Tanganyika tuamue kama tunataka muungano wa kimkataba. Kwa hiyo tuwashauri Zanzibar wajitoe kwanza kwenye muungano huu.. Let ZNZ Go!