Baraza la Mawaziri Kutangazwa Leo...Tetesi za Wanaotajwa Sura Mpya...

ujue kutofautisha kauli kuna kuvunja na kupangua.so na waziri mkuu naye anaondolewa.sisi waheshimiwa ndo tutamwondoa hata akipanga upya tunataka tumwondoe mkulima.
 
Kama walivyopata ujasiri wa kubinafsisha viwanda nawaomba ccm watumie ujasiri huo huo kubinafsisha serikali kwa manufaa ya umma.Naamini chama kubwa CHADEMA wako tayari kuwasaidia.''Nia tunayo,sababu tunayo........''
 
Akiwepo Sitta, Mwakyembe, Maige, Nyalando , Ngeleja, Mkulo,Malima basi hamna jipya na miaka 3 ya mwisho ya Kikwete maumivu yataendelea tu!
 
wenzetu mna moyo kweli; wanaondolewa wana CCM wanarudishwa wana CCM, sera zile zile, chama kile kile, ilani ile ile, watu wale wale! Kama Kigoda akirudishwa si alishakuwemo humo? I'm really indifferent kwa vyovyote watakavyofanya!

Tuwavumilie mkuu,there's no other way tutafanya zaidi ya 2015. Au tuna option gani Nnyampala?
 
Katika Bunge la Sasa, Kikwete ana kama watu 70 tu anaoweza kuwachagua kwenye baraza lake la mawaziri iwapo utawatoa

1. Wabunge wa kuteulia na Rais, viti maalum vya wanwake na wa Baraza la Wawakilishi

2. Wabunge CCM kutoka Zanzibar

3. Wabunge wa vyama vya Upinzani

3. Wabunge waliopo kwenye baraza la Mawaziri la Sasa

4. Wabunge waliokuwemo kwenye Mabaraza yaliyopita na

5. Wabunge aina ya Professa Maji Marefu na Lusinde


Kikwete hana choice, maana wabunge tuliowachaguwa wananchi kuwaingiza bungeni hawakidhi sifa za kuwa mawaziri

*Katiba mpya impe madaraka Rais ya kuchagua watu nje ya Bunge kushika nyadhifa hizo

nimeipenda sana hii.
 
Hoja yetu ilikuwa kutotewa kwa mawaziri wabadhirifu na kuwachukulia hatua za kisheria watuhumiwa, moja linaelekea kutekelezwa laoili bado kabisa.

Swala la kuchagua nani ni lakwako lenyewe kwakuwa wote ni walewale hakutakuwa na jipya cause ubovu unaanzia kwa yeye mwenyewe anaewateua, muhimu na hukumu yao 2015, sasa hivi kuna maswali wanapuuza kuyajibu but 2015 watalazimika kuyajibu tena kwa ufasaha.
 
hakuna jipya litakalofanyika zaidi ya wale wale mtashangaa zakhia meghi nae akawemo
mzee anamalizia ngwe yake kwa hivo litakuwa baraza la kishkaji zaidi na sio uwezo
 
kazi ipo penye miti hapana wajenzi,kwa hiyo hao ndo amewaona ni bora kuliko wote?:nono:
 
Fedha.....Mwigulu
Uchukuzi.....Mwakyembe
Nishati......Makamba, (Kafumu...Naibu); means Malima OUT!
Tawala za Mikoa....Mwanri
Biashara....Nyarandu (Mhagama....Naibu)
Zakhia Meghji....Utalii
Afya.....(To be adervitised)
Kilimo......Kilango

Hutaki, unaacha....kama ngumu kumeza, unashushia na kiroba!!

Hahahahahaaaaaaaaaa jf nakupenda mchana kutwa usiku shemeji yako
 
katika tanznaia kila kitu kinawezekana, maana tetesi zinasema kuwa Prof. maji marefu atateuliwa kushika wadhifa wa Sayansi na teknolojia huku John Komba akiteuliwa kuwa waziri wa vijana, habari na michezo
 
Tuwavumilie mkuu,there's no other way tutafanya zaidi ya 2015. Au tuna option gani Nnyampala?

Hata tuvumilie vipi,kama haitafika mahali tukasema CCM NO na kuwa tayari kwa lolote,hata ikibidi kufa,hawa jamaa hatutawatoa madarakani..Jinsi wanavyochota mihela wao na familia zao,watakubali kuachia hivi hivi mnafikiri?maana wanaona kelele za watanzania ni kama kelele za chura,ambazo haziwezi kumzuia tembo kunywa maji..We tumetoka kwenye rada,kagoda,richmond,meremeta lakini bado hadi leo hii miwaziri inakuwa mijizi..TZ !!
 
Waziri wa Afya ni Professa Maji Marefu na naibu wake ni Livingstone Lusinde...confimed.

Nasikia anakuja na mkakati wa kinga kwa ajili ya afya.....kila mtz pete kuuubwa kama ya Pinda.
 
Waziri wa Afya ni Professa Maji Marefu na naibu wake ni Livingstone Lusinde...confimed.

Nasikia anakuja na mkakati wa kinga wa ajili ya afya

hii nzuri maana hatutachezewa hovyohovyo na matumizi ya ungo,fisi yatapitishwa bungeni, kwa upande wa usafiri tutpeta
 
Mimi nina mbunge wangu kichwa ngumu kweli kweli haelewi wala haambiliki anajiita Deogratias Ntukamazina,wakati wa kampeni 2010 (ambazo hakupiga yeye actually maana muda wote wa kampeni alikuwa hoi kitandani na kampeni alipiga mke wake,lakini bado akashinda-hiyo ndo CCM banah,they do all possible ways,wizi mtupu) katika sera zake moja ilikuwa ni kwamba akipata ubunge tu atapewa uwaziri kwa vile anadai alifanya kazi kwa ukaribu sana na Baba Mwanaasha before,hiyo 2010 huo uwaziri hakulamba,hata leo hafikiriwi kwenye list!!!!!!!!Namhurumia sana hajameet expectations,hapa tu najipanga 2015 akanikabidhi hilo jimbo la Ngara liingie kwenye ngome ya CHADEMA
 
Back
Top Bottom