Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,375
- 33,021
Last edited by a moderator:
Mtikila, Msigwa, mama Rwakatare ni wanasiasa
wewe angalia ----- hili kundi lina wafuasi kalibia robo ya watanzania wote tanzania,
wana haki ya kupata hata mtu mmoja wa kuwawakilisha.
sasa ni dhahili kikwetu ni mdini .............................. .
hii ni hatari
wadungu ni vyema tukajadili jambo hili kwa uadilifu sana , huwezi kuacha kundi lenye watu wengi ,robo ya watanzania ukaliacha,
habari ya udini ilikuwa walao imeisha, kwa hali hii?, hili ni fukuto jipya
na ni hatari sana, tuwe makini.
haiwezekani watu million kumi wakakosa hata mwakilishi mmoja?.
haiwezekani, haiwezekani...................................................????????????????????????????
Nasikia kesho Umoja wa Mafundi Mwashi wakiongozwa Yericko Nyerere watatoa tamko nao wanalalamika hawana muwakilishi.Hivi hawa wahuni wametoka wapi wanao taka kuchafua mchakato wa kupatikana katiba?
Hivi kama kila mtu anataka kuwa na muwa kilishi kwenye bunge husika kweli patatosha?
Hivi hawa wapentekoste si wakristo? Mbona wana leta vurugu?
Hivi hawajui kuwa na waislamu nao wapo makundi mengine lakini wamekubali walio chaguliwa wawa wakilishe?
Kwa mpango huu hata makonda, wapiga debe watataka wawe na wawakilishi.
Hawa wana lao jambo si bure.
Wahuni wakubwa hawa.
Nasikia kesho Umoja wa Mafundi Mwashi wakiongozwa Yericko Nyerere watatoa tamko nao wanalalamika hawana muwakilishi.
Na sisi mashahidi wa jehova tutakutana kesho.
Nasikia Wabahai, wahindu, wasabato, zion church na jeshi la wokovu nao wanakutana
Bila kusahau chama cha maseremala, mafundi bomba, umoja wa wakwezi, umoja wa wauza ulanzi nk... mwisho wake kila mtu atataka awemo
Watakaokuchagua kuwa mwakilishi wao mimi nawaonea huruma, ni bora wachague mtu mwingine.Asante kwa kunikumbusha, mimi nitawakilisha wachangishaji wa rambi rambi
shida ni posho ya tsh 70000 nitawawakilisha mimi bila hata posho
mkuu sio hiyo ni 70000x 10!shida ni posho ya tsh 70000 nitawawakilisha mimi bila hata posho
Kwa huko kwenu tu sio kwingine.Sisemi kishabiki, hawa jamaa wako kila kijiji Tanzania, tembea uone, waliokuwa wapagani wote wamehamia huko, uislam ni dini ya town tu