Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) mnawambia nini waumini wenu kuhusu maandamano yaliyopangwa siku ya Christmas?

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) mnawambia nini waumini wenu kuhusu maandamano yaliyopangwa siku ya Christmas?

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
54,015
Reaction score
43,157
Wanaukumbi.

Mtu anaewaminisha mkaandamane siku ya X-Mass anawaita anadhihaki Jeshi

Mnadhani Jeshi halioni hizo post za wanaharakati

Nendeni mkaliwe vichwa muje muitwe mashujaa huku maiti zenu zikipostiwa na Mange na Maria Sarungi, cha kufurahisha haya maandamano yote TEC wameyapa baraka hawajawahi kukumea na wakitaka waachwe waandamane sasa wanataka kuandamana siku ya X-Mass.

Waumini wa Kikitisto siku ya X-Mass mmetangaziwa maandamano bar zote zitafungwa na Makanisa yatafungwa pombe

Juzi ilikuwa ni ushuhuda wa ukomavu. Vijana walikataa kauli za kejeli na kuchagua utulivu badala ya vurugu, wakithibitisha kuwa hawatachukua nafasi ya zana za kisiasa zisizo na faida kwa taifa.

Tunawachia TEC na Mangekimbambi.

Uzuri Rais Samia kaweka wazi siku yoyote njoone na maandamano yenu ya vurugu serikali imejipanga.
 
Wanaukumbi.

Mtu anaewaminisha mkaandamane siku ya X-Mass anawaita Jeshi wasenge sijui sungu sungu

Mnadhani Jeshi halioni hizo post za wanaharakati

Nendeni mkaliwe vichwa muje muitwe mashujaa huku maiti zenu zikipostiwa na Mange na Maria Sarungi, cha kufurahisha haya maandamano yote TEC wameyapa baraka hawajawahi kukumea na wakitaka waachwe waandamane sasa wanataka kuandamana siku ya X-Mass. TEC Wanashikiwa akili na Mange Kimambi, waumini wa Kikitisto siku ya X-Mass mmetangaziwa maandamano bar zote zitafungwa na Makanisa yatafungwa pombe mtanyea ndani na ibada mtafanyia ndani suburni TEC watawapa maelekezo.

Juzi ilikuwa ni ushuhuda wa ukomavu. Vijana walikataa kauli za kejeli na kuchagua utulivu badala ya vurugu, wakithibitisha kuwa hawatachukua nafasi ya zana za kisiasa zisizo na faida kwa taifa.

Tunawachia TEC na Mangekimbambi.

Uzuri Rais Samia kaweka wazi siku yoyote njoone na maandamano yenu ya vurugu serikali imejipanga.
Acha kuendekeza UDINI wewe ,nchi yetu haina DINI.
 
Wanaukumbi.

Mtu anaewaminisha mkaandamane siku ya X-Mass anawaita Jeshi wasenge sijui sungu sungu

Mnadhani Jeshi halioni hizo post za wanaharakati

Nendeni mkaliwe vichwa muje muitwe mashujaa huku maiti zenu zikipostiwa na Mange na Maria Sarungi, cha kufurahisha haya maandamano yote TEC wameyapa baraka hawajawahi kukumea na wakitaka waachwe waandamane sasa wanataka kuandamana siku ya X-Mass. TEC Wanashikiwa akili na Mange Kimambi, waumini wa Kikitisto siku ya X-Mass mmetangaziwa maandamano bar zote zitafungwa na Makanisa yatafungwa pombe mtanyea ndani na ibada mtafanyia ndani suburni TEC watawapa maelekezo.

Juzi ilikuwa ni ushuhuda wa ukomavu. Vijana walikataa kauli za kejeli na kuchagua utulivu badala ya vurugu, wakithibitisha kuwa hawatachukua nafasi ya zana za kisiasa zisizo na faida kwa taifa.

Tunawachia TEC na Mangekimbambi.

Uzuri Rais Samia kaweka wazi siku yoyote njoone na maandamano yenu ya vurugu serikali imejipanga.
Sasa kama serekali imejipanga unataka TEC waseme nini? TEC hawahusiki na maandamano, wao wako upande wa haki, sio sherehe ya siku moja. Kama watu wanatekwa na kuuwawa kinyama, sherehe ya siku moja ikisimama kwa ajili ya haki kupatikana wana shida gani. Juzi watu walidhbitiwa na wala hawakuacha kuandamana kwa kuchagua amani ya kuduwanzi.
 
Wanaukumbi.

Mtu anaewaminisha mkaandamane siku ya X-Mass anawaita Jeshi wasenge sijui sungu sungu

Mnadhani Jeshi halioni hizo post za wanaharakati

Nendeni mkaliwe vichwa muje muitwe mashujaa huku maiti zenu zikipostiwa na Mange na Maria Sarungi, cha kufurahisha haya maandamano yote TEC wameyapa baraka hawajawahi kukumea na wakitaka waachwe waandamane sasa wanataka kuandamana siku ya X-Mass. TEC Wanashikiwa akili na Mange Kimambi, waumini wa Kikitisto siku ya X-Mass mmetangaziwa maandamano bar zote zitafungwa na Makanisa yatafungwa pombe mtanyea ndani na ibada mtafanyia ndani suburni TEC watawapa maelekezo.

Juzi ilikuwa ni ushuhuda wa ukomavu. Vijana walikataa kauli za kejeli na kuchagua utulivu badala ya vurugu, wakithibitisha kuwa hawatachukua nafasi ya zana za kisiasa zisizo na faida kwa taifa.

Tunawachia TEC na Mangekimbambi.

Uzuri Rais Samia kaweka wazi siku yoyote njoone na maandamano yenu ya vurugu serikali imejipanga.
TEC na maandamano wapi na wapi? Uzuri umesema serikali imejiandaa

Acha porojo na subiri serikali ifanye kazi yake.
 
Ila we mjuba sijui kwa nini unakuwaga mdini kiasi hiki!. Sasa hapa TEC inaingiaje kwenye maandamano ya vijana? Vijana wenyewe ni mchanganyiko wa dini na wengine hawana dini kabisa. Usiwanange nange TEC aisee
 
Wanaukumbi.

Mtu anaewaminisha mkaandamane siku ya X-Mass anawaita Jeshi wasenge sijui sungu sungu

Mnadhani Jeshi halioni hizo post za wanaharakati

Nendeni mkaliwe vichwa muje muitwe mashujaa huku maiti zenu zikipostiwa na Mange na Maria Sarungi, cha kufurahisha haya maandamano yote TEC wameyapa baraka hawajawahi kukumea na wakitaka waachwe waandamane sasa wanataka kuandamana siku ya X-Mass. TEC Wanashikiwa akili na Mange Kimambi, waumini wa Kikitisto siku ya X-Mass mmetangaziwa maandamano bar zote zitafungwa na Makanisa yatafungwa pombe mtanyea ndani na ibada mtafanyia ndani suburni TEC watawapa maelekezo.

Juzi ilikuwa ni ushuhuda wa ukomavu. Vijana walikataa kauli za kejeli na kuchagua utulivu badala ya vurugu, wakithibitisha kuwa hawatachukua nafasi ya zana za kisiasa zisizo na faida kwa taifa.

Tunawachia TEC na Mangekimbambi.

Uzuri Rais Samia kaweka wazi siku yoyote njoone na maandamano yenu ya vurugu serikali imejipanga.
Unawadhalilisha waislamu wenye akili na upeo mkubwa.

Wewe Tukifa na maiti zetu zikapostiwa na mange kimambi utapungukiwa Nini?

Tukiandamana siku ya Xmass shida Yako itakuwa ipi au utafirisika?

Tukisema wewe ni msennge tutakuwa tumekuonea.
 
Wanaukumbi.

Mtu anaewaminisha mkaandamane siku ya X-Mass anawaita Jeshi wasenge sijui sungu sungu

Mnadhani Jeshi halioni hizo post za wanaharakati

Nendeni mkaliwe vichwa muje muitwe mashujaa huku maiti zenu zikipostiwa na Mange na Maria Sarungi, cha kufurahisha haya maandamano yote TEC wameyapa baraka hawajawahi kukumea na wakitaka waachwe waandamane sasa wanataka kuandamana siku ya X-Mass. TEC Wanashikiwa akili na Mange Kimambi, waumini wa Kikitisto siku ya X-Mass mmetangaziwa maandamano bar zote zitafungwa na Makanisa yatafungwa pombe mtanyea ndani na ibada mtafanyia ndani suburni TEC watawapa maelekezo.

Juzi ilikuwa ni ushuhuda wa ukomavu. Vijana walikataa kauli za kejeli na kuchagua utulivu badala ya vurugu, wakithibitisha kuwa hawatachukua nafasi ya zana za kisiasa zisizo na faida kwa taifa.

Tunawachia TEC na Mangekimbambi.

Uzuri Rais Samia kaweka wazi siku yoyote njoone na maandamano yenu ya vurugu serikali imejipanga.

Waaache
Wao ni watanzania ni haki yao kama wameamua kufa kwa wanachokiamini

Na ww Ishi kwa unachokiamini

Life is too simple
 
Ritz ni mdini na anajulikana hivyo. Kuna tofauti kati ya mshika dini na mdini.

Huyuhuyu Ritz anawatetea Hamas dhidi ya Israel lakini anaitetea CCM dhidi ya waliouawa 29 Oktoba. Ajabu kabisa!
 
Wanaukumbi.

Mtu anaewaminisha mkaandamane siku ya X-Mass anawaita Jeshi wasenge sijui sungu sungu

Mnadhani Jeshi halioni hizo post za wanaharakati

Nendeni mkaliwe vichwa muje muitwe mashujaa huku maiti zenu zikipostiwa na Mange na Maria Sarungi, cha kufurahisha haya maandamano yote TEC wameyapa baraka hawajawahi kukumea na wakitaka waachwe waandamane sasa wanataka kuandamana siku ya X-Mass. TEC Wanashikiwa akili na Mange Kimambi, waumini wa Kikitisto siku ya X-Mass mmetangaziwa maandamano bar zote zitafungwa na Makanisa yatafungwa pombe mtanyea ndani na ibada mtafanyia ndani suburni TEC watawapa maelekezo.

Juzi ilikuwa ni ushuhuda wa ukomavu. Vijana walikataa kauli za kejeli na kuchagua utulivu badala ya vurugu, wakithibitisha kuwa hawatachukua nafasi ya zana za kisiasa zisizo na faida kwa taifa.

Tunawachia TEC na Mangekimbambi.

Uzuri Rais Samia kaweka wazi siku yoyote njoone na maandamano yenu ya vurugu serikali imejipanga.
Mbona mimi sijasikia hilo tangazo la TEC na ni muumini wa RC vizuri tu. Kwani siasa za CCM zina faida kwa taifa au kwa wana familia na marafiki zao?
 
Wanaukumbi.

Mtu anaewaminisha mkaandamane siku ya X-Mass anawaita Jeshi wasenge sijui sungu sungu

Mnadhani Jeshi halioni hizo post za wanaharakati

Nendeni mkaliwe vichwa muje muitwe mashujaa huku maiti zenu zikipostiwa na Mange na Maria Sarungi, cha kufurahisha haya maandamano yote TEC wameyapa baraka hawajawahi kukumea na wakitaka waachwe waandamane sasa wanataka kuandamana siku ya X-Mass. TEC Wanashikiwa akili na Mange Kimambi, waumini wa Kikitisto siku ya X-Mass mmetangaziwa maandamano bar zote zitafungwa na Makanisa yatafungwa pombe mtanyea ndani na ibada mtafanyia ndani suburni TEC watawapa maelekezo.

Juzi ilikuwa ni ushuhuda wa ukomavu. Vijana walikataa kauli za kejeli na kuchagua utulivu badala ya vurugu, wakithibitisha kuwa hawatachukua nafasi ya zana za kisiasa zisizo na faida kwa taifa.

Tunawachia TEC na Mangekimbambi.

Uzuri Rais Samia kaweka wazi siku yoyote njoone na maandamano yenu ya vurugu serikali imejipanga.
TEC inahusika vipi na huu uharo wako hapa! Hivi huwa hamuwezi kuendesha maisha yenu pasipo kuihusisha TEC kwenye mambo yenu ya kipuuzi?
 
TEC inahusika vipi hapo,unataka TEC iingilie hisia za watanzania,kwani wanapoandamana ni wakatoliki?
Hivi huko misikitini nani anawatoa ubongo?
Wewe punguani kweli unajitoa ufahmu vujo zote hizi zipo nyuma ya TEC.
 
TEC inahusika vipi na huu uharo wako hapa! Hivi huwa hamuwezi kuendesha maisha yenu pasipo kuihusisha TEC kwenye mambo yenu ya kipuuzi?
Bwege sana wewe Yaani TEC mchochee vurugu na kuchoma mali za watu halafu mtegemee mbembelezwe? Nyie ni magaidi na perpetrators wa machafuko uliyoita maandamano

Mmepewa salamu kuwa kama mnaweza andamaneni tu hiyo siku ya Krismasi halafu muone!..
 
Acha kuendekeza UDINI wewe ,nchi yetu haina DINI.
Waambie TEC kipindi cha Rais Samia wameishatoa matamko 8 nani mdini hapo wewe uwezi kuona huu udini sababu ni mateka wa Maskofu njaa.
 
Back
Top Bottom