Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

Bunge ndo litaamua....sheria za Tanzania zina gaps nyingi. Hapo Tulia Mwansasu ashapata kipengele cha kuwalinda kabla hata ya hilo Baraza lao kukaa
Na awalinde tu, mbowe anasema alimtafutia mdee kazi, Je vipi hao wengine 18 nao aliwatafutia kazi?
Chama cha kibaguzi Sana!
 
Yaani walivyofukuzwa Membe na Sophia hizi insha hamkuandika kabisa, nchi hii ni ccm pekee mwenye haki ya kufukuza wanachama wake lakini sio vyama vingine
 
Wabaki na kuomba uanachama upya, Watanzania na hususani Wana CDM watawaelewa wakiomba radhi kufuatia siasa za chuki visasi Mwendazake.
Nyinyi chuki mmeshatengeneza juu Yao, hamna namna mtawasamehe, mwenzenu yeriko pamoja na malisa walianza kwa kuwananga hata kabla ya kikao kuitishwa Leo anawalaumu kwa kutoomba msamaha walipipewa nafasi ( luckily they are all so intelligent, wanajua huwezi gonga hodi sememu ambayo unajua watu hawapo ).
Unafiki unaanzia hapo,
 
Bila shaka wewe ni mume wa Halima
 
Sikutegemea kama hili linaweza kuwa andiko lako, Paskali hivi ni kweli hujui viti maalum cdm vinapatikanaje? Kuhusu ndugu au wapenzi kuwa bungeni ni cdm ndio waanzilishi? Ccm haikuwahi kutokea familia kuwa bungeni? Zito alikuwa anatembea na mtoto wa bulembo mbona hamkuandika haya? Bulembo na mwanae walikuwa bungeni mbona ulikaa kimya? Acha unafiki kaka ukweli unaujua nafsini kwako
 
Jikite kwenye hoja, mbowe amekiri kumuita mdee na bulaya na kumuahidi kumtafutia kazi mdee, vipi hao wengine 18?
Wapi iliandikwa lazima awatafutie kazi wote? Kama hizo kazi wenye sifa walikuwa hao tu kwanini aite wengine?
 
Ukitaka kwenda vizuri na wanafki na mandumilakuwili unakwenda nao taraatiibuu, mpaka wanaingia king wenyewe, usiwe na haraka niachie mimi huyu.
 
Nataka twende taratibu ili tuelewane, sitoandika magazeti hapa ila maswali machache tu naomba majibu.

Je ni kweli vijana hawa Zitto Kabwe, John Mnyika, Halima Mdee na Joseph Mbilinyi Sugu ni product za Mbowe?

Wakati unanijibu swali hilo hapo juu naomba unijibu Nusrat Hanje alikuwa jela ana kesi isiyokuwa na dhamana alitoka vipi jela straight kwenda kwenye garage ya bunge kuapishwa?

Na wakati unajibu hayo maswali mawili hapo juu nakukumbusha tu Halima mdee alikuwa mgombea wa jimbo na mwenyekiti wa Bawacha alikuwa lazima apate uteuzi asingetumika.

Kama huelewi nakukumbusha viti maalum chadema walikuwa wakisubiri mrejesho wa majimbo uko vipi ili waliogombea majimboni na kushindwa pia wapewe kipaumbele.

Mimi nilianza kuwa na mashaka na wewe na hiden ajenda zako tangu siku ya msiba wa Regia Mtema R.I.P, nadhani unakumbuka au tuseme yule alikuwa Pasco?
 
Nataka twende taratibu ili tuelewane, sitoandika magazeti hapa ila maswali machache tu naomba majibu.
Mdogo mdogo ndio mwendo, tutafika kiuhakika zaidi.
Je ni kweli vijana hawa Zitto Kabwe, John Mnyika, Halima Mdee na Joseph Mbilinyi Sugu ni product za Mbowe?
Hao watatu ukimuondoa Sugu, wote walikuwa UDSM pamoja, hivyo it's true, wamejiunga Chadema enzi za Mbowe, Zitto toka mama yake ni Chadema, Zitto na Halima Mdee ni madenti wa chuo, mambo ya madenti utakuwa unayajua. Sugu alivutiwa na Zitto.
Wakati unanijibu swali hilo hapo juu naomba unijibu Nusrat Hanje alikuwa jela ana kesi isiyokuwa na dhamana alitoka vipi jela straight kwenda kwenye garage ya bunge kuapishwa?
Aliachiwa kwa nolle, akatoka akaapishwa. Mtu kuwa mahabusu hakuzuii uteuzi.
Na wakati unajibu hayo maswali mawili hapo juu nakukumbusha tu Halima mdee alikuwa mgombea wa jimbo na mwenyekiti wa Bawacha alikuwa lazima apate uteuzi asingetumika.
Uteuzi gani tena wakati barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC iliyopitisha majina yao ipo!.
Kama huelewi nakukumbusha viti maalum chadema walikuwa wakisubiri mrejesho wa majimbo uko vipi ili waliogombea majimboni na kushindwa pia wapewe kipaumbele.
Wakisubiri kwa Nani?!. Barua yao ya uteuzi ni legit, bonafide genuine!.
Mimi nilianza kuwa na mashaka na wewe na hiden ajenda zako tangu siku ya msiba wa Regia Mtema R.I.P, nadhani unakumbuka au tuseme yule alikuwa Pasco?
Pasco wa JF, ni jina la enzi zile za ujana, sasa ni Mzee Paskali. Pasco ana hidden agenda gani na Chadema, mimi masikini wa Mungu?!.
Na mimi naomba nikuulize swali moja.
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka ya nidhamu ya M/Kiti wa Bawacha na NKM ni Baraza Kuu, CC ya Chadema, ilipowafuta uanachama, imewafuta kwa mamlaka gani?!.
P
P
 
Kila Nikiwafikiria WABUNGE 19 walivyokuwa na MAPENZI Makubwa na CHADEMA Nashindwa kuelewa nini kiliwapata mpaka wakafikia hayo MAAMUZI.Nikifikiria MATESO waliyoyapata wakati Wakienda Kumtoa MBOWE Gerezani ya Kupigwa na ASKARI wa MAGUFULI na kupelekea kuvunja Mikono na pia Kupora UBUNGE wao SIKUTARAJIA kama Wangeweza kukaa Meza moja na MAGUFULI na kukubali KUKISALITI CHAMA CHAO kwa MALIPO ya UBUNGE
Ndio maana NAULIZA ni NANI ALIWAROGA hawa WADADA?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…