Mwalimu wa mbeya daybaraka ndo nani?
LAKINI KWA NINI AKASIRIKE KWANI WEUSI NI DHAMBIUkimtania mtu afu akimaindi, ujue kuwa huo utani umemuingia sawasawa!
Wellsaid...me binafsi nlikuwa sijui hii nyimbo kbs,baada ya Stan kuicover ndio nimeichek YouTube,nyimbo nzuri...Baraka anashindwa kuhandle ustaa, ukishakua staa vitu kama hivyo ni vya kawaida, kwanza vinaongeza thamani ya brand yako wewe kama msanii. Kwa cover ile ilitakiwa amshukuru Stan maana ameipa kiki video yake maana wengine walikua hawana habari ya kuingia YouTube, but baada ya hiyo cover wameicheki