Baraka Da Prince akasirishwa na utani wa Stan Bakora

Mweuzi akiitwa [HASHTAG]#Mweusi[/HASHTAG] bwana! Haya cheupe mtarajiwa [HASHTAG]#Baraka[/HASHTAG] [HASHTAG]#Munguanakuona[/HASHTAG]
 
Ingekuwa stan ni kumindiwa mbona nay angesha muua maana jamaa anamwiga nay kila kukicha na clip za vtuko akijfanya nay wa mitego?? Baraka asilete wazimu wake wa mkoa wa mata
 
lkn stan bakora anaboa unajua...watu wanapenda sanaa lkn c kwa kudhalilishana.....kama angeona hawez vaa uhusika angeachana na video.....maswala ya kutafuta kiki kwa kazi za wenzako...hope akizid baraka anaweza akamscorpion mchana kweupe...stan afanye kaz aache kupenda kutelezea nyota za wenzake
Ukitaka kuuvaa uhusika wa Mzungu, wigi linahusu; vipi jombaa!!!

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom