Mkuu, si wakuu wetu tu wajifunze kutokana na picha hizi, hata sisi...kwa maana na wewe pia, kama kuna la kujifunza basi ni vema tujifunze...usijiengue kama vile hufai kujifunza.
Hii nimeipenda sana,Kuna wakati mambo yanagomaau yanatakiwa yaende haraka bila kukosewa, Unahitaji Ukae mahali kwenye utulivu ili kufikiri kwa usahihi na kuamua.
Kwa timbwili timbwili alizao nazo huyu jamaa (mazoezi na michezo mingine), si rahisi sana kupata kitambi. Viongozi wetu wengi wa Kiafrika hawapendi fun moments, kila muda wako serious.
Kwa jinsi huyu jamaa alivyo Simple nilishasikia huwa sometime hata kubrush viatu vyake na hata chakula anataka kujihudumia yeye mwenyewe sema ni Protocal ndio inamzuia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.