Barabara za mitaa katika jiji la Mwanza

Barabara za mitaa katika jiji la Mwanza

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,014
Reaction score
6,832
Mwaka huu tumejaliwa kupata mvua zakutosha angalau mpaka kipindi hiki sijui huko mbele. lakini kila jambo zuri lina ubaya wake kwani mvua hizi zimeharibu miundo mbinu hasa barabara. hali hii inawaweka wawakilishi wetu katika mtihani wa kuwapima umakini wao. wambunge wetu mko wapi?

Madiwani wetu mko wapi? bunge tunajua limesimama na hivi karibuni hatujasikia mpango wa kuwepo kwa maandamano kokote. tuhamasishane tukarabati barabara zetu, au kwa vile nyinyi mlisema mkiwa wabunge matatizo yetu yote yataisha tutengenezeeni hizo barabara.
 
Nadhani sehemu nzuri kuanzia ni pale kwa Mkurugenza Wilson Kabwe, yeye ndio ana kasma ya ujenzi wa barabara. Wabunge na madiwani watatupiga kiswahili na siasa tu, labda watuhamasishe tushiriki nguvu kazi kama enzi zetu wakati mzee mchonga yupo.
 
Wabunge na madiwani hawawezi kuzuia mvua zishinyeshe
 
Mwanza hatuna madiwani unategemea diwani kama joseph kando mkama wa ccm atafanya nini maana tunasikia yeye kazi yake ni kuchukua kwa nguvu nyumba za watu kwa kuwa yy ni bilionea na analindwa na mahakama
 
Mpk sasa tumeshajua kumbe cdm jeuri yao ni kwenye majukwaa tu na maandamano coz jiji lote la mwanza kuanzia madiwani meya mpk wabunge wote ni cdm lakin hamna cha maana kila idara,mwanza iliyokua inachukua namba moja kwa usafi nasikia eti mwaka huu ndo jiji la kwanza kwa uchafu,wenje yeye amekalia kuwajali machinga tu baaasi!
 
wabungena madiwani wakiwa kama viongozi wandamizi siyo hadi wapate fungu toka kwa KABWE nilitegemea watuhamasishe ili tutumie nguvu zetu wenyewe kukarabati barabara hizo wenyewe kama wakazi wa mitaa hiyo kwa maendeleo ya kweli yataletwa na wananchi wenyewe wakiwa na ushirikiano mzuri na viongozi wao.
 
pumbavu..we mbwa kabisa kwani una utashi wa kufikiri....unadhani mvua zinaletwa na cdm?kalale umngoje cameroon
 
Mwaka huu tumejaliwa kupata mvua zakutosha angalau mpaka kipindi hiki sijui huko mbele. lakini kila jambo zuri lina ubaya wake kwani mvua hizi zimeharibu miundo mbinu hasa barabara. hali hii inawaweka wawakilishi wetu katika mtihani wa kuwapima umakini wao. wambunge wetu mko wapi?

Madiwani wetu mko wapi? bunge tunajua limesimama na hivi karibuni hatujasikia mpango wa kuwepo kwa maandamano kokote. tuhamasishane tukarabati barabara zetu, au kwa vile nyinyi mlisema mkiwa wabunge matatizo yetu yote yataisha tutengenezeeni hizo barabara.

Ama kweli kilio cha wengi kinanoga, huku Makambako mambo ni hayahaya ya mvua kuharibu barabara! Jamani madiwani muwe wabunifu sio muda wote siasa.
 
Mkuu barabara zinatengenezwa na maandamano?
 
Mpk sasa tumeshajua kumbe cdm jeuri yao ni kwenye majukwaa tu na maandamano coz jiji lote la mwanza kuanzia madiwani meya mpk wabunge wote ni cdm lakin hamna cha maana kila idara,mwanza iliyokua inachukua namba moja kwa usafi nasikia eti mwaka huu ndo jiji la kwanza kwa uchafu,wenje yeye amekalia kuwajali machinga tu baaasi!

Madiwani wote ni cdm huo ni uongo ccm ina madiwani halafu tupe hali ya barabara ambako madiwani wa ccm wanatoka ndo tujue unachomaanisha vinginevyo umetumwa
 
Back
Top Bottom