Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
fikiri kabla ya kuandikaMpk sasa tumeshajua kumbe cdm jeuri yao ni kwenye majukwaa tu na maandamano coz jiji lote la mwanza kuanzia madiwani meya mpk wabunge wote ni cdm lakin hamna cha maana kila idara,mwanza iliyokua inachukua namba moja kwa usafi nasikia eti mwaka huu ndo jiji la kwanza kwa uchafu,wenje yeye amekalia kuwajali machinga tu baaasi!