Barabara za mitaa katika jiji la Mwanza

Mpk sasa tumeshajua kumbe cdm jeuri yao ni kwenye majukwaa tu na maandamano coz jiji lote la mwanza kuanzia madiwani meya mpk wabunge wote ni cdm lakin hamna cha maana kila idara,mwanza iliyokua inachukua namba moja kwa usafi nasikia eti mwaka huu ndo jiji la kwanza kwa uchafu,wenje yeye amekalia kuwajali machinga tu baaasi!
fikiri kabla ya kuandika
 
Back
Top Bottom