Android 00
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 774
- 221
Hapa ikitangazwa tenda kutakuwa na Pacent ya mtoaji leseni, utategemea nini? Kweli utaipata haki uliyokua unaitegemea? Barabara ambayo ulitegemea upite kwa buku kila gari utaambiwa itapitwa kwa 5000. Tuna safari ndefu sana