Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,320
- 33,125
Mkuu Mbuzi Mzee Barabara ipo hivyo je Kiwanja kitakuwaje? si ndio matope ya kumwaga?Tengenezeeni Barabara kwanza kisha ndio upate kiwanja.Maalim Mzizi, I need to buy the land in this area. PM me, I am serious
Mkuu Mbuzi Mzee Barabara ipo hivyo je Kiwanja kitakuwaje? si ndio matope ya kumwaga?Tengenezeeni Barabara kwanza kisha ndio upate kiwanja.
Mkuu Mbuzi Mzee mtafute Mkuu.qBoflo atakupatia kiwanja mimi sipo huko bongo...................The land looks fertile, I am in-loving it. Please please help me Maalim MziziMkavu.
Mkuu BAK maisha ya Vijinini ni magumu kiasi hata ya barabara hakuna sijuwi akina mkuu boflo wanaishije huko vijijini?Boflooooooo usipende kwenda porini wakati wa mvua bana...angalia sasa jinsi ulivyoadhirika!!! uko meng'emeng'e.
Mkuu Father of All atakosaje kuliona hilo tatizo lakini analifumbia macho.......Mkuu Mzizimkavu umeniacha hoi! Hii kasheshe kweli kweli. Sijui kama Kikwete analiona hili kama maisha bora kwa wote.
Maalim Mzizi, I need to buy the land in this area. PM me, I am serious