Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
kwani Boflo ni mwanaume//mtu?
Mkuu Kituko Umeshatupeleka Kongo Democrat ? kwani hakuna Sehemu nyingi katika Tanzania zipo kama hivyo?Umeshawahi kutembelea Vijijini nje ya mji wa Dares-Salaam? au umezoea kukaa mijini habari za vijijini huna?Waulize watu wanaaoishi vijijini watakupa feedback.Hiyo itakuwa ni DRC
Unashanga hizo barabara za porini, ebu angalia hii katika mtaa wa Kilimahewa jijini Mwanza:
View attachment 69572
Hii mbona ina lami!!Unashanga hizo barabara za porini, ebu angalia hii katika mtaa wa Kilimahewa jijini Mwanza:
View attachment 69572
The land looks fertile, I am in-loving it. Please please help me Maalim MziziMkavu.