Barabara ya Nyamwage- Somanga hali si Shwari

Barabara ya Nyamwage- Somanga hali si Shwari

Barubaru

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2009
Posts
7,161
Reaction score
2,329
Hakika picha hizi nimezitoa kwenye Issamichuzi.blogspot.com.

Hapo mwenzetu HM Hafif alipokuwa likizoni akielekea Mtwara.

Pole Sana Hafif na nafikiri Serikali ya huko Tanzania wataliona hilo na kulifanyia kazi haraka sana kuondoa hadha za wananchi wa kusini.
 

Attachments

  • _MG_0087.JPG
    _MG_0087.JPG
    585.1 KB · Views: 148
  • _MG_0086.JPG
    _MG_0086.JPG
    371.2 KB · Views: 146
John Pombe magufuli amesema mkandarasi anaendelea na kazi!
 
Poleni watu wa kusini inaonekana kazi aliyoianza Ben Mkapa mpaka leo haijaisha ila ile ya Segera Chalinze imeisha na sasa inajengwa kutoka Bwagamoyo - Mkata na kuna ingine ya Handeni - Mvomero hadi Dumila inaonekana mcheza kwao hutuzwa.
 
Tafadhali sana serikali malizeni hiyo barabara yetu, nimepita kwa mara ya mwisho 2009 hali ilikuwa hivyo hivyo Mwaka wa 3 sasa hali iko hivyo hivyo. Ina maana isingetokea Raisi wa awamu ya 3 kutokea kusini ndo ingekuwa basi kabisa. Maana tangu Mkapa atoke madarakani hakuna kilichofanywa na awamu ya hii ya nne ya kikwete na hii ni sawa na awamu ya kwanza ya Baba wa taifa, na awamu ya pili ya Mwinyi hakuna walichokifanya kusini. Kikwete amefunika hata plan ya Mtwara corridol ambayo kimsingi ingesaidia hata uchumi wa nchi. Mimi nadhani akitokea mwanasiasa akahubiri kujitenga ni afadhali kumuunga mkono tujitenge na hili jinamizi linaloitwa Tanzania.
 
kama mambo yenyewe ni hayo basi Kazi kweli kweli.
 
Tuliambiwa gari dogo litatoka Mtwara hadi mwanza by year 2006 leo ni 2011 hali bado ni tete halafu kuna wajinga fulani wansema tuwape muda watakamilisha. sh***i zao!
 
Back
Top Bottom