Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,329
Hakika picha hizi nimezitoa kwenye Issamichuzi.blogspot.com.
Hapo mwenzetu HM Hafif alipokuwa likizoni akielekea Mtwara.
Pole Sana Hafif na nafikiri Serikali ya huko Tanzania wataliona hilo na kulifanyia kazi haraka sana kuondoa hadha za wananchi wa kusini.
Hapo mwenzetu HM Hafif alipokuwa likizoni akielekea Mtwara.
Pole Sana Hafif na nafikiri Serikali ya huko Tanzania wataliona hilo na kulifanyia kazi haraka sana kuondoa hadha za wananchi wa kusini.