Nimepata taarifa sasa, barabara hiyo imefunga kabisa, na police wote wapo mbagara stand wanagombana na madaladala tu..
Pls watu wa breakdown nendeni kilima cha mzinga, mkasaidie kutoa magari na kupata pesa kidogo.
CHANZO; Dereva wa mabus.
Nimepata taarifa sasa, barabara hiyo imefunga kabisa, na police wote wapo mbagara stand wanagombana na madaladala tu..
Pls watu wa breakdown nendeni kilima cha mzinga, mkasaidie kutoa magari na kupata pesa kidogo.
CHANZO; Dereva wa mabus.
Wapo Zakhiem wanasubiri maandamano ya cuf!