Barabara ya Juu (Flyover) Ubungo yaanza kutumika

Barabara ya Juu (Flyover) Ubungo yaanza kutumika

Jamaa wamepoteza dira kabisa hahahaa
Hii itaitwa Mbowe au Mnyika flyover ili mfurahi. Maana mnajifanya kuchukia halafu foleni zikiisha mnawahi ufipa kwenu kufuata malipo. So what, dont you see what is happening there to save people time and fuel
 
Haters tutaisoma number mbona? Kesho naenda kuishangaa wallah maana bado siamini.. Inaweza kuwa Photoshop hii

Jr[emoji769]
Hii live mkuu niamini mimi kwa macho yangu hadi lori kabisa la kampuni ya bia limepita sijaamoni asee
 
Back
Top Bottom