NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,331
- 47,073
KUNA BARABARA KUU KADHAA ZINAZOINGIZA NA KUTOA WATU KATIKA MAENEO MENGI YA JIJI LA DAR IKIWEMO KATIKATI YA JIJI, MOROGORO ROAD, NYERERE ROAD, KILWA ROAD NA BAGAMOYO ROAD ALI HASSANI MWINYI ROAD ZOTE HIZI ZINAHITAJI BARABARA ZINGINE ILI ZISIDIWE NA MINYORORO(FOLENI) KWANI KILA MTU NI LAZIMA APITE PALE, JE KWA KUANGALIA TUU HIZI PICHA UNGELIKUA MEYA AU MTU YEYOTE MWENYE MAMLAKA YA USAFIRI NA UCHUKUZI KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM UNGAFANYA NINI? UNAWEZA KUELEZEA IDEAL PLAN YAKO YA JIJI HILI KATIKA SWALA LA MIUNDOMBINU YA BARABARA VYOVYOTE UNAVYOFIKIRIA, KARIBUNI WOTE
PICHA ZOTE KWA HISANI YA TANZAN (http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=1350433&page=3)
BARABARA YA MOROGORO
barabara ya kawawa na ile ya uhuru inayotokea buguruni
]
barabara mpya yenye udongo pale jangwani kuelekea ubungo
barabara ya nyerere kulia pamoja na reli ya kati
PICHA ZOTE KWA HISANI YA TANZAN (http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=1350433&page=3)
BARABARA YA MOROGORO
barabara ya kawawa na ile ya uhuru inayotokea buguruni
]
barabara mpya yenye udongo pale jangwani kuelekea ubungo
barabara ya nyerere kulia pamoja na reli ya kati