Bara la Afrika na maajabu yake

Bara la Afrika na maajabu yake

Unakufa kukosa drip ya maji ya elf 20, kwenye msiba wako ndugu wanakoga bia, mapilau mabiriani, kukuzika kwa heshima zote
Ni hatari sana. Watu watakula, watavimbiwa. Ukishafukiwa kama kuna mke machali wataangalia namna ya kuruka naye chapu.

Alafu watoto wako wanaendelea kubaki kuwa omba-omba.....😑😑
 
Kweli kabisa. Afrika tumekuzwa na ukatili, ulimbukeni, maonyesho ya hovyo, kutaka kundi fulani liabudu wenye nacho. Ukitaka kujiinua unapigwa mawe hadi unabakia kuwa omba-omba. Bara la laana hili.
Hili ni bala la laana kweli
Chukulia mfano unafanya kazi sehemu fulani na kila siku bosi wako
Ana kuchukulia mbugila mbugila
Sasa itokee siku aje agundue kumbe umejiwekeza kwa jambo fulani pengine umefungua hata ka biashara kako aloooo atakuchukia atahisi umemuibia
Na kazi unaweza kufukuzwa

Na hii na kwasababu anahisi hupaswi
Kufanana nae wala kua juu yake
 
siyo afrika tu bali ni all non-Christian world kuna mambo ya kishetani, ukienda india ndio utashangaa ya kina ambani ambaye anafanya harusi ya mamilioni usd harusi (harusi peke yake 400 million usd vs mgodi wote wa dhahabu buzwagi thamani yake ilikuwa ni 300 million usd )huku kazungukwa na slums na mafukara wasio weza hata kupata mlo mmoja, tena mbaya zaidi ni watoto.

ukiondoa Christian world sehemu yote ya dunia iliyobakia ni ushetani, mateso na vilio kila mahali, ndiyo maana all poor muslims wanakimbilia Christian world kuishi kwa maana wanajua angalau they will be treated with respect na human dignity hata kama ni masikini lkn hawaendi kwa ummah wenzao saudi arabia ...
 
siyo afrika tu bali ni all non-Christian world kuna mambo ya ajabu ajabu sana, ukienda india ndio utashangaa ya kina ambani ambaye anafanya harusi ya mamilioni usd huku kazungukwa na slums na mafukara wasio weza hata kupata mlo mmoja, ten mabaya zaidi ni watoto.

ukiondoa Christian world sehemu yote ya dunia iliyobakia ni satanism, mateso na vilio kila mahali ...
Dunia haina usawa hii 😢
 
MAAJABU YA BARA LA AFRIKA.

"Tajiri yuko tayari kutoa mamilioni kufadhili sherehe yako ya kijinga, lakini ukimwomba TZS 500,000 ya mtaji, anapata 'stroke' ya ghafla.

Ni hapa pekee ambapo unaweza kuwa 'Most Wanted' (unatafutwa sana), si kwa sababu wewe ni jambazi, bali kwa sababu CV zako zimejaa kila ofisi hadi walinzi wanakujua kwa jina. Unasubiri 'fursa' kwa miaka 20 mpaka mvi zinaanza kuandika CV kichwani mwako, huku bado ukiwa umebeba bahasha ya kaki!"— Alloyce, P.R.​
Tajiri usimuombe pesa bali mpelekee fursa ya kutengeneza pesa, peleka wazo lako la mradi share naye faida utaona kama hujatoboa, roho mbaya kwanza inaanza na sisi wenye shida wengi wanakopa kisha hawalipi na halafu tena kwanini sisi tunajiona kuwa tuna haki ya kusaidiwa?
 
siyo afrika tu bali ni all non-Christian world kuna mambo ya kishetani, ukienda india ndio utashangaa ya kina ambani ambaye anafanya harusi ya mamilioni usd harusi (harusi peke yake 400 million usd vs mgodi wote wa dhahabu buzwagi thamani yake ilikuwa ni 300 million usd )huku kazungukwa na slums na mafukara wasio weza hata kupata mlo mmoja, tena mbaya zaidi ni watoto.

ukiondoa Christian world sehemu yote ya dunia iliyobakia ni ushetani, mateso na vilio kila mahali, ndiyo maana all poor muslims wanakimbilia Christian world kuishi kwa maana wanajua angalau they will be treated with respect na human dignity hata kama ni masikini lkn hawaendi kwa ummah wenzao saudi arabia ..
Mkuu, hivi Ukiristo upi unazungumzia? Huu wa hapa Afrika ya matapeli? Ambao waaumini wanahangaika ila pesa zao wanazimalizia kwenye majumba ya ibada?

Wenye kuthamini lishe ya Mchungaji, Padre, Nabii, na Maaskofu ila ikitokea hata mtoto wa jirani anaumwa, anakaa mbali mita 1000?

Ukiristo upi unaowazungumzia mkuu?
 
Hili ni bala la laana kweli
Chukulia mfano unafanya kazi sehemu fulani na kila siku bosi wako
Ana kuchukulia mbugila mbugila
Sasa itokee siku aje agundue kumbe umejiwekeza kwa jambo fulani pengine umefungua hata ka biashara kako aloooo atakuchukia atahisi umemuibia
Na kazi unaweza kufukuzwa

Na hii na kwasababu anahisi hupaswi
Kufanana nae wala kua juu yake
Ni hatari sana
 
Tajiri usimuombe pesa bali mpelekee fursa ya kutengeneza pesa, peleka wazo lako la mradi share naye faida utaona kama hujatoboa, roho mbaya kwanza inaanza na sisi wenye shida wengi wanakopa kisha hawalipi na halafu tena kwanini sisi tunajiona kuwa tuna haki ya kusaidiwa?
Hivi wewe, ulishaandika proposal ukapeleka kwa individual person or company hapa Afrika, alafu wakazingatia na wewe ukanufaika?

Kama wakikupendelea utakuwa mtumwa wake au mtumwa wa Kampuni vinginevyo atachukua atakukatisha tamaa alafu ana implement kimya kimya. Wewe unabaki huna pa kwenda. Hiyo ndio Afrika.
 
Mkuu, hivi Ukiristo upi unazungumzia? Huu wa hapa Afrika ya matapeli? Ambao waaumini wanahangaika ila pesa zao wanazimalizia kwenye majumba ya ibada?

Wenye kuthamini lishe ya Mchungaji, Padre, Nabii, na Maaskofu ila ikitokea hata mtoto wa jirani anaumwa, anakaa mbali mita 1000?

Ukiristo upi unaowazungumzia mkuu?

usichanganye mambo, afrika Christians ni wachache sana, wengi wao ni mila mila na muslims, nchi pekee iliyokuwa Christian bara lote ilikuwa south afrika kabla ya communist anc kuchukuwa na leo hii siyo Christian tena ...
 
MAAJABU YA BARA LA AFRIKA.

"Tajiri yuko tayari kutoa mamilioni kufadhili sherehe yako ya kijinga, lakini ukimwomba TZS 500,000 ya mtaji, anapata 'stroke' ya ghafla.

Ni hapa pekee ambapo unaweza kuwa 'Most Wanted' (unatafutwa sana), si kwa sababu wewe ni jambazi, bali kwa sababu CV zako zimejaa kila ofisi hadi walinzi wanakujua kwa jina. Unasubiri 'fursa' kwa miaka 20 mpaka mvi zinaanza kuandika CV kichwani mwako, huku bado ukiwa umebeba bahasha ya kaki!"— Alloyce, P.R.​
Hapo cha kufanya ni wewe kutafuta hizo pesa nyingi ili wewe ndo ukawe tajiri wa kwanza kugawa mitaji kwa watu.

Inaonekana wewe unapenda sana vya kupewa
 
Hapo cha kufanya ni wewe kutafuta hizo pesa nyingi ili wewe ndo ukawe tajiri wa kwanza kugawa mitaji kwa watu.

Inaonekana wewe unapenda sana vya kupewa
Changamoto, unasoma na huelewi cha kujibu. Kuna mambo ukitaka kujibu inatakiwa utulize akili.
 
Hivi wewe, ulishaandika proposal ukapeleka kwa individual person or company hapa Afrika, alafu wakazingatia na wewe ukanufaika?

Kama wakikupendelea utakuwa mtumwa wake au mtumwa wa Kampuni vinginevyo atachukua atakukatisha tamaa alafu ana implement kimya kimya. Wewe unabaki huna pa kwenda. Hiyo ndio Afrika.
Sijawahi, kwani kama nikitaka mkopo huwa naenda benki. Sidhani hata matajiri wa Europe au America huwa wanatoa mikopo kirahisi hivyo.
 
Hii inaumiza sana, ila watu wanaanza kubadilika taratibu. Kuna koo sasa hivi mtu akilazwa ndani ya siku kadhaa wanajichangisha na kutoa msaada kwa mgonjwa.
Ni vyema , hao wanajitambua. Na nakubali watu wanazidi kubadilika.
 
Ambacho kinanishangaza pia ni pale mgonjwa anaumwa akihitaji matibabu, akishafariki kwa kukosa huduma kwa wakati, ndipo utashangaa watu wanavyo gharamikia msiba, mwingine atasema chakula juu yangu, mwingine vinywaji, mwingine usafiri... kila mmoja akijitia ana uchungu sana na marehemu... mwingine atajaza gari lake mafuta hata ya milioni kisa tu asindikize msiba kijijini kwa marehemu...

Kuna mzee alifariki wakati yupo hoi anaumwa familia ilipitia nyakati ngumu kiuchumi mpka pesa ya kuendelea kumtibia ilikosekana maana ugonjwa aliokua nao watu wa bima walikataa kumchangia japo mwanzo walimchangia ila baadae walisitisha

Mzee akarudishwa nyumbani huku familia imeishiwa basi baada ya mda mzee yule akafariki 😢

Ajabu sasa baada ya taarifa za msiba kila mtu alikua shock kumbe mzee ana ndugu wa kumwaga wenye pesa

Kila baada ya mda fulani inatinga gari hapo viroba vya mchele vinashushwa sijui viroba vya sukari mazagazaga kama yote🙌 aisee😢

Kuna watu wanajizima data kabisaaa, mtu aumwe ushindwe kumsaidia akiwa anaumwa, anafariki unakuja na gari la hadhi kinoma na vitu kama gunia la mchele/ viroba vya sukari, ivi uyo mtu anapata wapi ujasiri wote huo ilihal unakuta alipewa na taarifa kuna mgonjwa, sijui ni shida ya akili !

Hata mimi nashindwa kuelewa
Lakini tukisema ni shida ya akili ni uongo uliotukuka mimi naona
Ni ubinafsi
Roho mbaya
Kukosa huruma
Kutokua na upendo
Nashauri kama mtu aliuchuna wakati kama huo wa kuuguza basi hata ikitokea msiba hakuna haja ya mbwembwe zote hizo

Unakufa kukosa drip ya maji ya elf 20, kwenye msiba wako ndugu wanakoga bia, mapilau mabiriani, kukuzika kwa heshima zote

siyo afrika tu bali ni all non-Christian world kuna mambo ya kishetani, ukienda india ndio utashangaa ya kina ambani ambaye anafanya harusi ya mamilioni usd harusi (harusi peke yake 400 million usd vs mgodi wote wa dhahabu buzwagi thamani yake ilikuwa ni 300 million usd )huku kazungukwa na slums na mafukara wasio weza hata kupata mlo mmoja, tena mbaya zaidi ni watoto.

ukiondoa Christian world sehemu yote ya dunia iliyobakia ni ushetani, mateso na vilio kila mahali, ndiyo maana all poor muslims wanakimbilia Christian world kuishi kwa maana wanajua angalau they will be treated with respect na human dignity hata kama ni masikini lkn hawaendi kwa ummah wenzao saudi arabia ...

MAAJABU MENGINE NI KUWA MASIKINI KUPENDA KUOMBAOMBA PESA KWA MATAJIRI NA WAKINYIMWA WANALALAMIKA KAMA VILE WALICHANGIA KUUPATA UTAJIRI HUO.
WATU wengi huweka siri walitumwa wengine hali zao za uchumi siri
 
Back
Top Bottom