Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,682
Nadhani hiyo ndio sumu inayoongelewa, kushindwana ndani ya ndoa sio ajabu ila yeye kama mfanya biashara alipaswa kuwa na akili ya kibiashara zaidi...ipo mifano mingi ya watu kuhitilafiana kimapenzi na kubaki kama business partners....
Hata clouds wangesaidia biashara zake za bar na muziki (band), kuendekeza chuki nao kunamfaidi nini ?
CHUKI HUISHA BANA na watu ku move on.
Mambo mengine ni rahisi sana kuyaongea ila kuyatenda ni shida.
Kumnyenyekea mtu ni kipaji.
Wakati mwingine ni bora kufuata yako yakikushinda utajua mbele ya safari!