Bar ya Lady Jaydee kufungwa, mwenyewe afunguka

Bar ya Lady Jaydee kufungwa, mwenyewe afunguka

Inamaana b4 hajaanza kutangaza alikua msele w feri duuuh wa2 wametoka mbali sana.......kwani alikua anaishi wapi mpka afuate msuba feri c mtaani kwao

Muraaaa!!.... Mtaan kwao? Mtaa upi??.. Kuvuta umevuta pa kuraraa jeee???@tweenty4seven
 
Hahaaa mi namsemea huyu mangi mana mambo aliyokua anafanya n hatari mana hiyo meza yao walikua mchicha mwiba 4....yani acha 2 kweli kino kuna majanga

Huku kwetu majanga...kumeoza.
Haijulikani Weekends wala weekdays.
 
hhhahaawwa huko migo na kino ngoma draww
best njoo mabwe pande au kwetu chanika ukishindwa kibadaa

Mhhhh....huko sikuwezi.
Mwaka mmoja niliwahi ishi Boko....vigodoro kila siku.
Nikasema hebuuuu.....
 
Hahahaaaa nkiwa jijini ndio mitaa yangu hpo uhurupeak mana washkaji ndio wadau w hpo

Ukija tena tuonane.
Mie nyumba ya tatu toka Mango garden....ndio naishi.
Ila kunipata sasa, maana kutwa tuko mabarabarani utadhani wakata maji wa Dawasco.
 
Mngemtia nakosi...mie nisingekubali.
Mango garden wameniruhusu kuingia juzijuzi tu hapa...nilianzisha mtiti almanusura tuuze nchi.
Hivi vidada dada vya kuja vinajifanya vinajua sana kuliko sie wazawa.

tulikua coco beach afu ye ndo alisponsa uwepo wetu pale ....
tulinywea akaanza kumsagia yule dada
nkafika kuhadithia ndio naambiwa wale walikua wwapenzi choclate
 
Mbona huyo Flora nasikia alishawahi liwa tigo?
sema alikuwa hampendi.

Huo utamu mtu akishaanza haachi ckuzi imekua kawaida 2 ukimpa mdada mechi vizuri halafu ajue wewe mcharo.....unatunukiwa 2 huo mlango kwa raha zako
 
Mhhhh....huko sikuwezi.
Mwaka mmoja niliwahi ishi Boko....vigodoro kila siku.
Nikasema hebuuuu.....

hhhahaas best mwanzoni nilipatw shiida mimi kutoka kino
nilikua sina raha kutwa kutoroka kuja kino
bas ngosha siku moja akajua alichonifanya mpk leo kinondoni napita kwenda tmj
nyege mshindo zote kwishaaa
 
Ukija tena tuonane.
Mie nyumba ya tatu toka Mango garden....ndio naishi.
Ila kunipata sasa, maana kutwa tuko mabarabarani utadhani wakata maji wa Dawasco.

Hahaaa unakaa jirani n mango umekua kaunta nini....nakuja hpo sana kwenye kona wanapikaga chips unateremka n hicho kinjia washkaji wanakaa hpo wazee w gomba,yani kila mda defender lazma itie timu kuvuta hela
 
Si wanaitanaga mahawara hao? Hapo hakuna cha kuuliza.
Ila Salama nilikua nampenda sana.Tokea nisikie issue yake ya usagaji tena kidogo avunje ndoa ya mtoto wa Kigogo hapa mjini nilimchukia.

Nani kinje? USinikumbushe mie ahahah jamani umbea mtamuuu asikwambie mtu.
 
Kweli kuna watu wazito sijapata kuona.Sasa ile sheria ikishaanza kufanya kazi utaambulia kitu kweli?
Maana utakua ni mwendo wa mafumbo tu....

Ndio maana nataka nitengeneze dictionary ya wambea ili tuanze kutumia misamiati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom