Bar ya Lady Jaydee kufungwa, mwenyewe afunguka

Bar ya Lady Jaydee kufungwa, mwenyewe afunguka

Mngemtia nakosi...mie nisingekubali.
Mango garden wameniruhusu kuingia juzijuzi tu hapa...nilianzisha mtiti almanusura tuuze nchi.
Hivi vidada dada vya kuja vinajifanya vinajua sana kuliko sie wazawa.

Nipo aisee mishe tu. Duuuh huo mtiti sababu nini au Prado? Na Jana nmemkuta katimba kipasnaa kama mfanyakazi wa benki cjui alitokea kwako kukuletea juisi
 
Hahahaaaa nkiwa jijini ndio mitaa yangu hpo uhurupeak mana washkaji ndio wadau w hpo

Uhuru pik pamechoka toka jamaa afe pia yule Jirani yake ndo kafunga na kauza kwa msukuma flani hivi ambae sasa anauza kila kitu ameshindwa biashara. Njoo MK mwambie Madame B akuletee tucheze sebene la kizamani pale
 
Last edited by a moderator:
Nipo aisee mishe tu. Duuuh huo mtiti sababu nini au Prado? Na Jana nmemkuta katimba kipasnaa kama mfanyakazi wa benki cjui alitokea kwako kukuletea juisi

Mwanaume utasutwa mjini hapa.
Yaani yaonekana mume mwenzio anakunyima sana usingizi.
Nawe nunua Prado mfanane....tuache jamani....tushapendana hivooooooo.
 
Uhuru pik pamechoka toka jamaa afe pia yule Jirani yake ndo kafunga na kauza kwa msukuma flani hivi ambae sasa anauza kila kitu ameshindwa biashara. Njoo MK mwambie Madame B akuletee tucheze sebene la kizamani pale

Afu tangu uanze kule umekua mbahiliiiii.....ndo mana nakuchukia.
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama una mopao kwann nikuongezee. Pia toka uende kwa yule umenitoooooka cjui kwann

Kila siku mnaambiwa humu JF.
kama una mwanamke mzuri kama mimi usimtambulishe kwa rafiki zako.
ona sasa yaliyokukuta.
Ila yote maisha, lakini maadam hamuoneani wivu, poa tu.

Najua wewe huna wivu kama yeye
 
Uhuru pik pamechoka toka jamaa afe pia yule Jirani yake ndo kafunga na kauza kwa msukuma flani hivi ambae sasa anauza kila kitu ameshindwa biashara. Njoo MK mwambie Madame B akuletee tucheze sebene la kizamani pale

Mkuu nkija ntakutafuta......kumbe mk imefufuka tena naikumbuka miaka hiyo ilikua y wahaya flani
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nkija ntakutafuta......kumbe mk imefufuka tena naikumbuka miaka hiyo ilikua y wahaya flani

Yeah ipo vzr tu muulize Madame B yaan kimtindo inakimbiza sema mitaa hyo kupata umbea dizain ya akina warumi inakuaga ngumu pale
 
Last edited by a moderator:
Lakini binamu mimi simlaumu Jide kwa hayo maana ulitaka amkumbatie Gardner biashara iende vizuri huku moyoni hana amani?
Au aendelee kuwakumbati clouds huku moyoni akijua kwamba ni wanafki na wanachuki nae?
Kwangu AMANI YA MOYO naipa kipaumbele kuliko chochote.Naamini Jide hatoshindwa atasimama tu.

Nadhani hiyo ndio sumu inayoongelewa, kushindwana ndani ya ndoa sio ajabu ila yeye kama mfanya biashara alipaswa kuwa na akili ya kibiashara zaidi...ipo mifano mingi ya watu kuhitilafiana kimapenzi na kubaki kama business partners....

Hata clouds wangesaidia biashara zake za bar na muziki (band), kuendekeza chuki nao kunamfaidi nini ?

CHUKI HUISHA BANA na watu ku move on.
 
We unafikiri nyuma ya pazia kuvunjika kwa ndoa ya Jide na Gadner ni nini?
Yaani ale mzungu tu maboga, matikiti ale mwafrika?
Afu aliyekwambia Jide hana mtoto nan?
Ana mtoto mkubwa tu....umbea(nasikia alizalishwa yuko sekondari)

Asijibebishe........

Yuko na mzungu siku hizi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom