Bans

Lawyer. . .Loya. . .Lowya. . .
Ooops! nilikosea spelling, sore, hali yako honey?
Jana nilikuota tunalishana parachichi, nikaamka nikalia kama zoba. Lizzy utaniuwa jamani
 
hahahah.....we wape tu hamu ya kunipiga ban wapate kushuhudia huo mkwala wako!!
Tayari nimewasiliana nao na wameogopa, wamesema wewe hata ukitukana hautopigwa ban. Sasa uko free kuwatukana kongosho, sweetlady n.k. unaweza ukaanza hata kwenye sredi hii hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…