Una hamu na sumu?
Hahahaha! Ukome na ukomae kuna watu huwa hawatajwi lol.sirudii tena kukutaja.
hivi kumbe kweli kuna majini mapembe na huwa yanasikia?
Nikae na nani jamani, naogopa.
sirudii tena kukutaja.
hivi kumbe kweli kuna majini mapembe na huwa yanasikia?
Nikae na nani jamani, naogopa.
Hahahaha! Ukome na ukomae kuna watu huwa hawatajwi lol.
Una nini wewe?
Hahahaha! Ukome na ukomae kuna watu huwa hawatajwi lol.
Uwiiiiiiiiiii..Una nini wewe?
Mimi watu wote wakipigwa ban nitavumilia lakini wakikupiga ban wewe kipipi hakyanani hapo ndio JF watajua kama niliwahi kufanya kazi maikrosoft ofisTwisheni tunaanza lini? Alafu.....hivi na Roulette huwa anagawa ban?
Hahahaha! Mapembe nae kaja lol... Siamini! Baba watoto sijamuona kabisa leo..ngoja nimtafute baba watoto nikae naye.
Hivi umemuona leo?
Mimi watu wote wakipigwa ban nitavumilia lakini wakikupiga ban wewe kipipi hakyanani hapo ndio JF watajua kama niliwahi kufanya kazi maikrosoft ofis
Hivi, ninaota au ni kweli yanatokea?
Naomba mtu aniamshe kwenye hii nightmare.
Naombeni msaada wana jamvi, leo nitakuwa nimegusa majani mabaya sana.
Ban kwa kila ANAYESTAHILI. . .
Go mods!!!
Jumatatu sa mbili kamili nikukute pale chini ya mti... Uje na kaunta 4 ...Twisheni tunaanza lini? Alafu.....hivi na Roulette huwa anagawa ban?
Hahahaha! Mapembe nae kaja lol... Siamini! Baba watoto sijamuona kabisa leo..
Mh....Mimi watu wote wakipigwa ban nitavumilia lakini wakikupiga ban wewe kipipi hakyanani hapo ndio JF watajua kama niliwahi kufanya kazi maikrosoft ofis