Bank ya Posta nashindwa kutoa hela kisa haipatikani

Ni kweli mtu anaetunzia pesa zake benki ya posta, atakuwa ana agenda yake nyingine. Pengine ni mtumishi wa hapo.
Mie huwa ninaitumia kama kibubu yaani nikipata 50,000 ama hela ambayo nimeikota flani naitupia pale ala nikifulia kabisa naingia kule nakuta kuna 180,000 ama 300,000 nachomoa fifty alafu naendelea na maisha
 
Je leo umeenda kujaribu kutoa? Au nenda kajaribu kwenye ATM ya Posta moja kwa moja siyo zile wanazoshea UMOJA
Ushauri mzuri...pia ATM za TPB zinapokea card hata kama umekosea kuingiza maana card zingine hazina kile kialama cha shaba hivyo hata ukigeuza inapokea na inakubali mpaka hatua ya password na ukibonyeza kutoa inakuja receipt ya mhamala umegoma ...wakati mwingine acheck maelekezo ya namna ya kuingiza card pia (mara nyingi huwa nakutana nayo hii maana nina account yangu ambayo siitumii sana hivyo nikifika kwenye ATM huwa nageuza mpaka niangalie maelekezo maana card haionyeshi tofauti na card zingine)
 
Ushauri mzuri...pia ATM za TPB zinapokea card hata kama umekosea kuingiza maana card zingine hazina kile kialama cha shaba hivyo hata ukigeuza inapokea na inakubali mpaka hatua ya password na ukibonyeza kutoa inakuja receipt ya mhamala umegoma ...wakati mwingine acheck maelekezo ya namna ya kuingiza card pia (mara nyingi huwa nakutana nayo hii maana nina account yangu ambayo siitumii sana hivyo nikifika kwenye ATM huwa nageuza mpaka niangalie maelekezo maana card haionyeshi tofauti na card zingine)
Mie huwa ninaitumia kama kibubu yaani nikipata 50,000 ama hela ambayo nimeikota flani naitupia pale ala nikifulia kabisa naingia kule nakuta kuna 180,000 ama 300,000 nachomoa fifty alafu naendelea na maisha
jodoki uko vizuri.... Acha na mimi nianze kufanya kama wewe.
 
Uzalendo kwanza,hii benki nakwambia will be the best benk in Tanzania,kama ni mtu wa kufuatilia taarifa za kibenki hapa Tanzania utagundua ni benki ambayo inafanya vizuri bila ya kuwa na boost kama hizo Benki mnazosifia,CRDB inamkopo Mkubwa ndio inatambia kwa sasa ilikuwa inategemea fedha za serikali,NMB boost inatoka ile Benki ya kiholanzi,na nyingine zilizo juu yake zote ni boost tu ndio zina ishi,kutokana na inteligesia yangu Hawa jamaa wanatakiwa kutoa taarifa wanapoboresha huduma zao ndio kitu ambacho hawakifanyi,Leo toka asubuhii nimetumia ATM zao na nimepata Huduma,ni sawa na kuanzia juzi nani alipata huduma ya LUKU?watu tumehangaika sijasikia kama walikuwa wanahamisha mitambo yao toka jengo lao lililopo barabarani.Watanzania wenzangu kabla hatuja lalamika ni lazima tutafute taarifa inawezekana walitangaza sisi hatukusikia.Sitetei uzembe ila natoa rai,tuulize kwanza kabla ya kulalamika,Benki ya TPB toeni Matangazo ya kutosha mnapo upgrade system zenu kwa ajili ya huduma kwa muda mrefu watu waelewe.Binafsi nikisoma balance sheet yenu hata Benki zenye majina makubwa haziwafikii na hakuna hata Benki moja ya serikali inayowafikia.Ni mimi Mteja mtiifu na mfuatiliaji uchumi wa taasisi za fedha Tanzania.
Umenena mkuu..... Ukiangalia Kwa mwaka huu mabenki mengi yamepiga hasara na kuporomoka Kwa faida ikiwemo CRDB na NMB lakini hawa jamaa balance sheet zinapendeza kila kukicha maana yake ni kwamba wako vizuri na wana wateja wengi Kwa sasa.....Ila Pia kama ulivyo sema UZALENDO KWANZA.... hii ni benki halisi ya kitanzania kwani hisa zake zoote 100% ni za serikali..... Tupende vya kwetu.
 
Mkuu safi nipo Woodmed ni katikati ya Johannesburg na Pretoria... ilipo mall of Africa najiandaa kusalimia bongo tarehe za karibuni na kurudi Jan mwishoni...
Karibu Sana hope utarudi homu salama manake huko nasikia ukitoka nje ya nyumba tu Ni mwendo was kujiami kuwa mwangalifu Na kukwepa risasi
 
Karibu Sana hope utarudi homu salama manake huko nasikia ukitoka nje ya nyumba tu Ni mwendo was kujiami kuwa mwangalifu Na kukwepa risasi
Mkuu yapo maeneo ni hatari kama Tembisa,Alexander, Soweto ya watu wa kipato cha chini na baadhi ya maeneo machache huku ni heshima hakuna kutekana hovyo kila mtu ana mkwaju na hutishii Bongo watu wana Noah wanakuteka duu...nisiseme mengi huku watekaji muda mwingine wakiyakanyaga wanatekwa wao Mimi nakua sina hofu SA kwa sababu ukipiga risasi utakamatwa tuu iwe Leo au kesho sio bongo wanataka kumhoji aliepigwa au hawajui muuaji miaka nenda miaka rudi...matukio yapo wanadakwa sana
 
Back
Top Bottom