Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Mie huwa ninaitumia kama kibubu yaani nikipata 50,000 ama hela ambayo nimeikota flani naitupia pale ala nikifulia kabisa naingia kule nakuta kuna 180,000 ama 300,000 nachomoa fifty alafu naendelea na maishaNi kweli mtu anaetunzia pesa zake benki ya posta, atakuwa ana agenda yake nyingine. Pengine ni mtumishi wa hapo.