Kumbe siku hiyo na wewe ulikuwepo? Mimi ndio nilifika nataka kutoa pesa nikamtajia kiasi nachotoa. Akazitoa azihesabu, alichokikuta ni siri ya wengi.
Halafu kalikuwa kabishi sana tunakaambia piga simu customer care waambie umekosea namba, kakaanza kutuuliza "mnanifundisha kazi?" Utadhani polisi. Basi bwana kakasema MIMI NI WAKALA NIMEMTUMIA MTU PESA LAKINI AMENIPA KIASI PUNGUFU, BADALA YA LAKI SITA AMENIPA LAKO NA NUSU. Voda wakamwambia MUONGOZO UNAMKUTAKA KUHAKIKI KIASI KABLA YA KUMUHUDUMIA MTEJA, ASANTE. Nilicheka kama mazuri vile, hii ilikuwa Mwanza mwaka 2015 hv