It is just like the fact that molecules are moving too and flor in a stone. To a common man that is a nonesense and "ushamba". You neither read nor listern and now you speak from your feelings, that's unfair to Thinkers
Vipi umeshajiunga mkuu.???Wanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.
Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.
Paskali, vipi ulishajiunga na hawa jamaa?Wanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.
Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.
Paskali, vipi ulishajiunga na hawa jamaa?
Vipi umeshajiunga mkuu.???
Haya mambo ya secret societies, kuna vitu hupaswi kuvisema, ili usiulizwe zaidi, lakini, ukisikia tuu kuwa namiliki vogue sport na nimejenga gorofa Mbezi Beach, then ujue tuu kuwa tayari. Kwa sasa usafiri wangu, ni bajaj, mwanzo nilikuwa natumia boda boda!.Mkuu
umeshajiunga nao ?
MkuuWanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.
Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.
Wewe hauko ktk Market Segment yao. Wao wame specialise kwa Corporate Customers...hilo liko wazi. Hiyo bank-M ni bank ya kishetani. Ingekuwa ni bank ya kawaida,tungewaone kujihangaisha kutafutatafuta wateja. Kwa miaka yangu minne niliyokuwa chuoni,karibu kila benki ilishawahi kufika kujitangaza pale ili kupata wateja. Hata siku moja sijaona maofisa wa benki hiyo.
mkuu ulifanikiwa kujiunga niingie huko ili niendane na hii kasi ya sasa ya kukua kwa uchumi wa viwonderWanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.
Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.
Wanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.
Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.
Nipe namba za freemasonsNimepata taarifa za ndani kutoka Bank M kwamba wamiliki ni mlengo wa Freemason. Mtoa taarifu aliambiwa wanataka damu ya watu.
Mmoja kati ya Wamiliki aliisha shika nafasi ya juu serikalini na pia kuna ushahidi kwamba ni mwanachama wa Rottery ambayo ni tawi la Freemason.
Napata corroboration zaidi kutokana na ushirikiano wa karibu kati ya Rottery na Bank M. Naddhan mtakumbuka kwamba walitangaza hapa Jf kwa pamoja kufanya mbio za ridhaa.
Andy Chande, ambaye anafahamika kuwa ni Freemason wa degree za juu ana uhusiano wa kaibu sana na mmoja wa wamiliki wa Bank M.