Bank M-Connecting the dots...

Bank M-Connecting the dots...

umeongea kwa uchungu sana mkuu Mag3...........


mimi siachi kumlaumu mzee nyerere kwa haya, alikua na uwezo kabisa wa kuua ccm lkn kwann alishindwa??


kwann aliacha katiba ya chama ndio iongoze nchi? maana katiba yetu ni katiba ya ccm ile wala sio ya taifa.........


yule mzee sitaki hata kumkumbuka kwa mazuri yake,,,,, na hii ccm tutakufa tutaiacha!..... nchi haina usalama kabisa kisa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo swali hata mimi huwa najiuliza sana pale ninapoitafakari legacy ya yule mzee wetu!
 
Ukishangaa ya Musa, je ya Farao? Juzi tumemuona RA kwenye sherehe ya kumpokea Lowassa siyo? KAGODA, iliyochotewa mabilioni kwenye EPA mwezi Octoba mwaka 2005, iliasisiwa na RA/Manji lakini wanufaika walikuwa ni pamoja na CCM. KAGODA na CCM walikuwa ni kama pete na kidole.

CCM haijawahi kuadhibiwa pamoja na baraka na ushiriki wake katika ufisadi. Ufisadi mkubwa wa CCM kama chama ni ule wa kuwadhulumu Watanzania mali zao kama majengo, makampuni, shule, viwanja vya michezo na mengine mengi tu. Amini usiamini adui nambari wani wa taifa hili ni CCM.
Dah! Mkuu hadi hasira inanipanda! Ngoja nikapate kikombe cha chai kwanza nitulize mawazo.
 
kwamba hata thread za hapa JF wamefuta???

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna file ambazo links zimegeuka pdf, Sasa si nikaiobenyeza ili nipakuwe? Lakini kila ni nikibonyeza najikuta badala ya kufungua hilo faini la pdf, najikuta nimetokea kwenye nani Page ya JF. Ntakuwekea link uone mwenyewe! Sijajaribu kufungua kwenye computer natumia simu.
 
Perfect.

Kwa hiyo Chavda wetu alinunua deni kwa 2.5 millioni, jamaa akaenda kuvuna mabilioni toka kwa mdaiwa ambaye ni serikali yetu!

Nimekupata barabara na kila kitu sasa kimefunguka vyema.
Haya tuendelee!
Lakini asingeweza kufanya hivyo bila ya vigogo ambao ni watanzania wenzetu walikuwa mastermind waku injinia mchezo mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think some of these things surface in a good faith. For people to know. For people to think. And come up with solutions that same things will never happen again.
As a nation, if we stay put or stagnant, we could close in our world and forget about it. Life is short and our time is limited.
Our leaders should clean up the mess some few people, for so long have created. We can't attain our proper poaition in the world if the same people who still and work on annihilating the nation still enjoy the status of VIP.
There is a spanish say....al maestro cuchillada...To the master goes the knife....We have the master and he has the knife... lets wait and see how the knife is going to be put on use this time!
Very well said. Let’s wait and see!

Unajuwa kuna watu wanadhani hii tamthiliya! This is some real and serious issues!
 
Ahsante Mag3, kwa video hiyo.

Mjadala huu umetoa fursa kama mfano mzuri kwa yeyote anayetaka kujua hali halisi tuliyoifikia kama taifa.
Ni kiasi cha kusoma tu kwa utulivu na kuelewa yaliyosemwa humu.

Sijaona sehemu yoyote ndani ya mjadala huu hoja yenye utetezi juu ya yaliyofanyika, kwamba yalifanywa kwa manufaa ya taifa.
Vijana wengi sana ambao naskia wanajiita “wazalendo wa ccm”, wameshtushwa na kupigwa na butwaa! Pengine wakijiuliza msaliti haswa wa Taifa hili ni nani?
 
UPO ila hawawezi kufanya lolote mpaka wampe taarifa SPONSOR (Rais) ndiye aamue nini kifanyike. Katiba ndivyo inavyoelekeza hata ile sheria iliyounda TISS ya mwaka 1996 kipindi cha Mkapa. Marais wenyewe sasa!!!
just eliminate him.........


sidhan kama tiss wanashindwa kum-eliminate mtu msumbufu sumbufu.......


sioni kama kuna willing upande wao, ila wakiamua wanamtoa kimya kimya akakutane na ndugu zake huko ahera!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
just eliminate him.........


sidhan kama tiss wanashindwa kum-eliminate mtu msumbufu sumbufu.......


sioni kama kuna willing upande wao, ila wakiamua wanamtoa kimya kimya akakutane na ndugu zake huko ahera!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahisi kama unavyoandika hapo kuna kiapo kinachowaongoza na hata Sponsor mwenyewe anachagua DG anayemuamini. Agencies zetu sio sawa na za nchi zingine mfano za dunia ya kwanza. Tuongelee uhalisia.
 
Sio rahisi kama unavyoandika hapo kuna kiapo kinachowaongoza na hata Sponsor mwenyewe anachagua DG anayemuamini. Agencies zetu sio sawa na za nchi zingine mfano za dunia ya kwanza. Tuongelee uhalisia.
naelewa sana, ndio maana hupenda DG wa tiss anayemwamini na kule CDF anaemwamini pia........


hapo niliongea kwa ku-generalize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini asingeweza kufanya hivyo bila ya vigogo ambao ni watanzania wenzetu walikuwa mastermind waku injinia mchezo mzima.
Fikiria Mwanasheria Mkuu wa Serikali anafunguliwa akaunti huko nje na kuwekewa dola za Marekani 1,000,000 (Tsh. 2,400,000,000/=!) na mwingine Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UMMA naye kawekewa USD 500,000 (Tsh. 1,200,000,000/=!) Nchi ya vijisenti na hela ya mboga! Halafu tunajiita nchi masikini!
 
Fikiria Mwanasheria Mkuu wa Serikali anafunguliwa akaunti huko nje na kuwekewa dola za Marekani 1,000,000 (Tsh. 2,400,000,000/=!) na mwingine Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UMMA naye kawekewa USD 500,000 (Tsh. 1,200,000,000/=!) Nchi ya vijisenti na hela ya mboga! Halafu tunajiita nchi masikini!
Dah!! Kwa wakati huo pesa ilikuwa nyingi sana na hilo dili moja tu,unafikiri wamepiga mangapi?

Kwa mfano AG ame tenure muda gani kweny ofisi ya AG?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna file ambazo links zimegeuka pdf, Sasa si nikaiobenyeza ili nipakuwe? Lakini kila ni nikibonyeza najikuta badala ya kufungua hilo faini la pdf, najikuta nimetokea kwenye nani Page ya JF. Ntakuwekea link uone mwenyewe! Sijajaribu kufungua kwenye computer natumia simu.

From my archive...... Nataka ku-upload a pdf file lakini sioni hio option. Any help?

Update: Nimeweza
 

Attachments

There are several things which have changed between 1990s and now.
The world is looking at all the details about the way we do our undertakings.
Sir Chande and some few smart friends, who were calm, but obsevants of the first phase, have also gone. The influence of Sir is not to be underestimated.
The leaders who were also busy grabbing all possible opportunities are old and some are out of favour.
JPM is working hard....in order to change the system, he needs longer time and loyal and supportive aides. Is that the status quo? It is a topic of its own to debate.
And as Tanzanians, we should also hate the easy ways of making money. We have promoted the culture of living by making illegal deals. We take those who live in that way as the role model of our society. At the end, we are responsible for our own destination.
And last, how do we use the changes that have happened to make tomorrow look better? Have we given up our future to these forces of destruction? Watanzania wenzetu ndio wanafanya haya. Mtu anatoka India, anakuja kuiba na bado tunampa status ya kuwa mtanzania? Hatuna aibu?
Tunahangaika na wale waliokimbia vita huko maskini, ambao hawana lolote la kuchangia, tunawaacha hawa wanaotoka India for a special mission...kuhujumu watanzania. Lets change and become accountable. Imetosha. Tunajiaibisha
 
Back
Top Bottom