Bank M-Connecting the dots...

Bank M-Connecting the dots...

Information, posted on the Bank M website before it (the website) went off yesterday, showed that the bank is owned by 15 individuals/companies. Here are the shareholders and their shareholding percentages in brackets

1. Vimal Mehta (16.03 pc)
2. Equity & Allied Limited (12.17pc)
3. Sean Patrick Breslin (11.63pc)
4. Africarriers Limited (11pc)
5. Sanjeev (10.53pc)
6. Noble Azania Investment Limited (7.3pc)
7. Khaskar Nair (7.09pc)
8. Sumaria Properties Limited (4.87pc)
9. Simon & Roisin Gregory (4.45pc).
10. Pride Tanzania Limited (3.46pc)
11. Ramesh Patel (3.26pc)
12. Gissings Directors Pension Scheme (2.47pc)
13. Shiva Sanjeev Kumar (1.42pc)
14. Caitrin Breslin (0.90pc).
 
Chini ni listi ya makampuni yaliyochota pesa za EPA na majina ya wamiliki wake ambapo jina la mwanzilishi wa Bank M Vimal Mehta limetokea mara nyingi!

Juzi RA alikuwa ikulu, lakini RA alishiriki kikamilifu kwenye issue ya EPA kwa kupitia kampuni ya KAGODA! Na Vimal Mehta ambaye ni mojawapo wa waanzilishi wa Bank M, ni marafiki wote na kina RA.

Listi kamili...

1.
COMPANY NAME: B.V Holdings Ltd


Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


2.
COMPANY NAME: V & B Associates Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


3.
COMPANY NAME: Navy Cut Tobacco Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


4.
COMPANY NAME: New Mattalan Mining Company Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


5.
COMPANY NAME: Bora Hotel and Apartments Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


6.
COMPANY NAME: Noble Apartments Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


7.
COMPANY NAME: Noble Azania Industries

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


8.
COMPANY NAME: Ocean Side Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


9.
COMPANY NAME: Bencon Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


10.
COMPANY NAME: Ndovu Soaps Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


11.
COMPANY NAME: Bina Resorts Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


12.
COMPANY NAME: Venus Hotels Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


13.
COMPANY NAME: Njake Hotels Ltd

Shareholders and Directors: Japhet Laiyandumi Lea, Anna Japhet Lema, Abel Japhet Lema, Derick Japhet Lema and Bernard Japhet Lema

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


14.
COMPANY NAME: Money Planners and Consultants Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


15.
COMPANY NAME: Excellent Services Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


16.
COMPANY NAME: Mibale Farms Ltd

Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta

Related Company: Noble Azania Investments

Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road

Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula


17.
COMPANY NAME: Liquidity Services Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


18.
COMPANY NAME: Meregesi Law Chambers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


19.
COMPANY NAME: Clayton Marketing Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


20.
COMPANY NAME: M/s Rashtas Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?



21.
COMPANY NAME: Kiloloma and Brothers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


22.
COMPANY NAME: Kiloloma and Brothers

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


23.
COMPANY NAME: G & T International

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


24.
COMPANY NAME: Kernel Ltd

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


25.
COMPANY NAME: Proin Estate Agents

Shareholders and Directors: Johnson Lukaza and Maregesi

Related Company: Proin Properties/Kernel

Office Location: Plot 73 Kinondoni Road

Residence Address: ?


26.
COMPANY NAME: Changanyikeni Residential Complex

Shareholders and Directors: Samson Mapunda & Jason Van De Merwe

Related Company: Samson Mapunda/ F.K Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Plot No. 397 Sinza New Intl. School


27.
COMPANY NAME: Executive Solutions Ltd

Shareholders and Directors: Aggrey Marealle & Duncan Stevens

Related Company: Duncan Stevens/F.K. Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Ocean Road


28.
COMPANY NAME: Executive Solutions Ltd

Shareholders and Directors: Aggrey Marealle & Duncan Stevens

Related Company: Duncan Stevens/F.K. Law Chambers

Office Location: F.K. Law Chambers - Ocean Road

Residence Address: Ocean Road


29.
COMPANY NAME: Kagoda Agriculture

Shareholders and Directors: Rostam Aziz

Related Company: Caspian Ltd

Office Location: Plot 77, Nyerere Road (Kipawa Industrial Area)

Residence Address: ?
 
Information, posted on the Bank M website before it (the website) went off yesterday, showed that the bank is owned by 15 individuals/companies. Here are the shareholders and their shareholding percentages in brackets

1. Vimal Mehta (16.03 pc)
2. Equity & Allied Limited (12.17pc)
3. Sean Patrick Breslin (11.63pc)
4. Africarriers Limited (11pc)
5. Sanjeev (10.53pc)
6. Noble Azania Investment Limited (7.3pc)
7. Khaskar Nair (7.09pc)
8. Sumaria Properties Limited (4.87pc)
9. Simon & Roisin Gregory (4.45pc).
10. Pride Tanzania Limited (3.46pc)
11. Ramesh Patel (3.26pc)
12. Gissings Directors Pension Scheme (2.47pc)
13. Shiva Sanjeev Kumar (1.42pc)
14. Caitrin Breslin (0.90pc).
Vimal Mehta mwanzilishi wa Bank M, ndiye kinara wa makapuni yote yaliyochotewa pesa RA akiwemo.
 
Lakunda halina ubani
Halafu Bank M matatizo yake yamesababishwa na hao wahindi kuchukuwa mikopo mikubwa (bilioni 618), na kuacha kulipa...

By Alex Malanga

Dar es Salaam — Clients, including shareholders of Bank M, received loans amounting to Sh618 billion, which ultimately saw the once shining financial entity going under.

Bank M, which had operated profitably for nine of the 11 years of its existence in the country, abruptly started facing serious liquidity challenges last year, prompting the Bank of Tanzania (BoT) to put it under its administration last August.

Signs that Bank M would go under started showing early last year whereby as of June 30, 2018, its total loans had surpassed the deposits by 32.7 per cent.

It held Sh422.7 billion in customers' deposits as of June 30, 2018 compared to Sh628.4 billion that it had issued out in loans, advances and overdrafts, its financial statements showed.

As a result, Bank M ended up having more liabilities meaning it was required to pay out more than what it actually could collect from its debtors.

With the failure to honour its obligations through customer payments and withdrawals, some banks and customers started panicking.

And, speaking in Dar es Salaam yesterday, Bank M's statutory manager Sadati Musa said the total loan reached a point where the lender could no longer sustain its operations
 
MMI Steel.. Estim Construction....not sure about Nyanza Road Works.
Who owns Shanta Gold Mine in Chunya?
Kuna watu hawawezekani
Ketan Patel ndiye mwanzilishi wa Shanta Gold Mine. Now listed as a “none executive Director” ni mzaliwa wa Kenya, kasoma Uingereza na ana passport ya huko. Pia ni managing director wa Sea Cliffs and white sands hotel Dar es Salaam.

Mr Patel was a founder of Shanta Mining Company Limited (now a subsidiary of Shanta Gold) in 2001 and is a member of the Audit and Sustainability committees, chairing the Sustainability committee. He has worked extensively in trading organisations in the UK and since 1986 has traded agrocommodities internationally. Mr Patel has extensive commercial interests in Tanzania and is a senior director of Export Holdings (Pty) Ltd and Managing Director of the Sea Cliff and White Sands Hotel in Dar es Salaam.
 
Kuna ile thread ya kuhusu uamuzi wa Mashauri kuwa wa kisiasa hii ingefaa!
Je, uamuzi wa Jaji Rumanyika unathibitisha kuwa Mbowe alikuwa mfungwa wa kisiasa? - JamiiForums

JMushi, pole sana!

Hii inaonyesha umakini wetu ulivyo. Na aliyoweka hapo juu unayemjibu na wengine wengi waliochangia kivyao nje ya mada, inaonyesha ni kiasi gani cha umakini tulicho nacho waTanzania.

Mada iliyopo hapa kama ilivyowasilishwa nadhani inatuwia ngumu kuielewa wengi wetu pamoja na umhimu mkubwa iinaoubeba.

Mimi nimeisoma kwa taabu sana, kwa sababu sio eneo nililonalo uzoefu; kwa mfano, jinsi ya ujanja wa "Ununuzi wa Deni" la taifa kuwa kilio chetu!
Lakini pamoja na ugumu wa kuisoma taarifa hii, najikuta mwili ukisisimka jinsi tulivyoingizwa chakana na hawa wajanja. Najikuta najiuliza, je huko serikalini hapakuwa na wajuvi wa mambo haya?

Halafu, leo akina Lissu wanaitwa "wasaliti"; kweli kuna usaliti wa kuzidi haya yanayoelezewa kwenye taarifa hii? Tumetoka EPA, tumeingia Richmond na maEscrow! Hawa "wazalendo" wetu wa CCM, ndio tuwategemee kwa haya yanayoendelea kuibuka kila kukicha?

Inasikitisha sana.

Ngoja nikaisome tena hii taarifa mara ya pili, labda nitapata uelewa mpana zaidi.
 
Kampuni zote zinazotajwa kuhusika na EPA, CCM kwa namna moja ama nyingine ilifaidika sana na biashara zao na ndio waliokuwa wakiandikiwa barua CCM ilipohitaji michango. Ni kwa sababu kama hizi, CCM ilipinga sana ujio wa vyama vingi na walitumia kila hila kuzuia mageuzi hadi pale baba wa taifa, Julius Kambarage Nyerere, alipoingilia kati kwa kuonya kuwa mageuzi hayazuiliki.

Hizi nguvu zinazotumika kuturudisha tulikotoka, sababu kubwa ni kuzuia ufukuaji wa makaburi chama kingine kikishinda uchaguzi na kuunda serikali. Wako tayari kutesa, kuteka na hata kuua ili kulinda uovu wao ambao umekuwa kama sera na sehemu ya maisha yao. Kwa kujimilikisha hatma ya taifa hili, hawaoni hasara wanaoishababishia taifa hili wakiamini wanavyovitafuna ni vya kwao.
 
JMushi, pole sana!

Hii inaonyesha umakini wetu ulivyo. Na aliyoweka hapo juu unayemjibu na wengine wengi waliochangia kivyao nje ya mada, inaonyesha ni kiasi gani cha umakini tulicho nacho waTanzania.

Mada iliyopo hapa kama ilivyowasilishwa nadhani inatuwia ngumu kuielewa wengi wetu pamoja na umhimu mkubwa iinaoubeba.

Mimi nimeisoma kwa taabu sana, kwa sababu sio eneo nililonalo uzoefu; kwa mfano, jinsi ya ujanja wa "Ununuzi wa Deni" la taifa kuwa kilio chetu!
Lakini pamoja na ugumu wa kuisoma taarifa hii, najikuta mwili ukisisimka jinsi tulivyoingizwa chakana na hawa wajanja. Najikuta najiuliza, je huko serikalini hapakuwa na wajuvi wa mambo haya?

Halafu, leo akina Lissu wanaitwa "wasaliti"; kweli kuna usaliti wa kuzidi haya yanayoelezewa kwenye taarifa hii? Tumetoka EPA, tumeingia Richmond na maEscrow! Hawa "wazalendo" wetu wa CCM, ndio tuwategemee kwa haya yanayoendelea kuibuka kila kukicha?

Inasikitisha sana.

Ngoja nikaisome tena hii taarifa mara ya pili, labda nitapata uelewa mpana zaidi.
Mkuu usipite bandiko hata moja kwasababu ni mtiririko mmoja! Ni kama unasoma novel hivi. But it’s real!
 
Kampuni zote zinazotajwa kuhusika na EPA, CCM kwa namna moja ama nyingine ilifaidika sana na biashara zao na ndio waliokuwa wakiandikiwa barua CCM ilipohitaji michango. Ni kwa sababu kama hizi, CCM ilipinga sana ujio wa vyama vingi na walitumia kila hila kuzuia mageuzi hadi pale baba wa taifa, Julius Kambarage Nyerere, alipoingilia kati kwa kuonya kuwa mageuzi hayazuiliki.

Hizi nguvu zinazotumika kuturudisha tulikotoka, sababu kubwa ni kuzuia ufukuaji wa makaburi chama kingine kikishinda uchaguzi na kuunda serikali. Wako tayari kutesa, kuteka na hata kuua ili kulinda uovu wao ambao umekuwa kama sera na sehemu ya maisha yao. Kwa kujimilikisha hatma ya taifa hili, hawaoni hasara wanaoishababishia taifa hili wakiamini wanavyovitafuna ni vya kwao.
Kwa mfano nilijiuliza sana kuhusu kitendo cha RA! Halafu kama siyo kumdaka mdogo wake yule Akram, basi wasingempata. Sasa sijui wana makubaliano gani? Maana hakuna mahali king maker hayumo! Hata hii Bank M mzizi wake ni ufisadi! Hata hivi ilivyofilisika ni baada ya wao kuchukuwa mkopo wa zaidi ya bilioni 600 na kushindwa kulipa.

Kama ulivyosema, nakubaliana na wewe kabisa kuwa wasiwasi mkubwa wa ccm ni kuwa held accountable!

Halafu wanaleta cheap politics, mara sijui chadema ni mafisadi! Daah!
 
Mkuu Kalamu1 , utaratibu wa kununuwa madeni upo. Ebu kwa kuanzia, tizama hii tafsiri rahisi kutoka Investopedia...

DEFINITION of Debt Buyer. A debt buyer is a company that purchases debt from creditors at a discount. Debt buyers, such as a collection agencies or a private debt collection law firm, buys delinquent or charged-off debt at a fraction of the debt's face value.Jan 23, 2018

Debt buyers make money by acquiring debts cheaply, and then trying to collect from the debtors. Even if the debt buyercollects only a fraction of the amount owed on a debt it buys—say, two or three times what it paid for the debt—it still makes a significant profit.
 
Mkuu Kalamu1 , nia ya kununua madeni ni kutengeneza profit, na kwa madai yao, pesa hizo walisema zitatumika kwenye miradi mbali mbali waliyoiorodhesha! Mfano mashamba na makampuni. Hata Rostam Aziz alifunguwa kampuni ya kilimo iliyoitwa Kagoda.

Pesa hizo zilikuwa zimetengwa kwa akili ya kulipa madeni ya nje kama sikosei! Kwahiyo hayo makampuni na hao watu walichota hizo pesa kwa kigezo cha kununua madeni!

Ni kamba tu na utapeli wa kuzichota pesa za walipa kodi(ambapo kuna wakati eti walithubutu kusema pesa za EPA si za wananchi)

Mkuu ni bora hata wangewekeza kwa wananchi basi. Sasa bank M hizo pesa waliziweka humo zilipotolewa. Hata ule utaratibu wa Jk wa kusema zirudishwe sijui utaratibu wake umefikia wapi.
 
JMushi, pole sana!

Hii inaonyesha umakini wetu ulivyo. Na aliyoweka hapo juu unayemjibu na wengine wengi waliochangia kivyao nje ya mada, inaonyesha ni kiasi gani cha umakini tulicho nacho waTanzania.

Mada iliyopo hapa kama ilivyowasilishwa nadhani inatuwia ngumu kuielewa wengi wetu pamoja na umhimu mkubwa iinaoubeba.

Mimi nimeisoma kwa taabu sana, kwa sababu sio eneo nililonalo uzoefu; kwa mfano, jinsi ya ujanja wa "Ununuzi wa Deni" la taifa kuwa kilio chetu!
Lakini pamoja na ugumu wa kuisoma taarifa hii, najikuta mwili ukisisimka jinsi tulivyoingizwa chakana na hawa wajanja. Najikuta najiuliza, je huko serikalini hapakuwa na wajuvi wa mambo haya?

Halafu, leo akina Lissu wanaitwa "wasaliti"; kweli kuna usaliti wa kuzidi haya yanayoelezewa kwenye taarifa hii? Tumetoka EPA, tumeingia Richmond na maEscrow! Hawa "wazalendo" wetu wa CCM, ndio tuwategemee kwa haya yanayoendelea kuibuka kila kukicha?

Inasikitisha sana.

Ngoja nikaisome tena hii taarifa mara ya pili, labda nitapata uelewa mpana zaidi.
Kalamu1, ni kweli wengine tunachombeza tu lakini tupo na tunafuatilia sana ila kuna kitu nakuomba usikisahau, brains behind all this plunder ni Watanzania wenzetu. Majina ya Watanzania hao huwezi kuyakuta katika orodha ama ya wamiliki au ya wenye hisa lakini ni wanufaika wakubwa katika biashara hizi kupitia kivuli cha CCM. Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa rasmi 1992 kama kuna kauli ya viongozi wa CCM ambayo haijabadilika ni hii, CCM itatawala milele! Tuendelee kufuatilia...
 
Kalamu1, ni kweli wengine tunachombeza tu lakini tupo na tunafuatilia sana ila kuna kitu nakuomba usikisahau, brains behind all this plunder ni Watanzania wenzetu. Majina ya Watanzania hao huwezi kuyakuta katika orodha ama ya wamiliki au ya wenye hisa lakini ni wanufaika wakubwa katika biashara hizi kupitia kivuli cha CCM. Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa rasmi 1992 kama kuna kauli ya viongozi wa CCM ambayo haijabadilika ni hii, CCM itatawala milele! Tuendelee kufuatilia...
Hata huyo jamaa watazuga tu watavuta mkwanja, watu watalishwa pilau, watapiga Makofi na vigelegele!

Hiyo benki ilifunguliwa kama kanyaboya tu. Lakini hao wahindi na huyu aliyekamatwa, wameendelea kuchukuwa mikopo ambayo hawakuitumia benki kama ilivyokuwa nia ya kuombea mkopo.

Dar es Salaam. The former CEO of Bank M (Tanzania), Mr Sanjeev Kumar Purushothaman, 63, appeared before the Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday facing 29 counts of money laundering, forgery and obtaining cash through false pretence amounting to Sh6 billion.

Reading the charge sheet before Senior Resident Magistrate Huruma Shaidi, senior state attorney Paul Kadushi, who was being assisted by Mr Wankyo Simoni, said the accused, popularly known as P Sanjeev Kumar, stands accused of 29 counts under Criminal Case Number 73 of 2019.

It was claimed in court that on March 10, 2010 in Dar es Salaam, Mr Kumar, an Indian national, forged documents which were then submitted to Bank M purporting that he be paid $15,000 as payment for business operations.

On counts three to 16, the accused is alleged to have obtained a total of Sh6 billion on the pretext that the money was meant for Bank M’s operations.

It was alleged that between January 8 and June 30, 2015, the accused obtained cash amounting to Sh1.107 billion, claiming that the money was meant for Bank M’s business operations.

Similarly, he is alleged to have obtained Sh793 million between January 3 and June 28, 2014, alleging that the money was for Bank M’s operations. Between July 4, 2013 and December 23, 2013, the accused is alleged to have obtained Sh686.855 million on false pretences.
In line with the obtained cash, the state charged in court yesterday that under charges 17 and 29, P Sanjeev Kumar is alleged to have laundered a total of Sh6 billion, while knowing that the money was acquired through false pretences.
The accused, through lawyers Husdon Ndusyepo and Benedict Ishabakaki, denied the charges. They asked the court to send their client to a remand prison where his relatives will find it easy to visit him. They also said the accused was diabetic.


Senior state attorney Kadushi told the court that investigations into the case were still ongoing and since medical services were being offered to all inmates, the defendant’s side had nothing to worry about.

The Senior Resident Magistrate said under Tanzania’s laws, money laundering cases are not bailable. The accused was thus remanded until March 21 this year when the case comes up for mention.

The charging of Mr Kumar comes barely two months after the Bank of Tanzania (BoT) transferred assets and liabilities of Bank M to Azania Bank.

That came several months after the BoT took over the management of the bank, in August, 2018, saying it had critical liquidity problems and was unable to meet its financial obligations.
 
Mods please musiiunge hii for now kwasababu msingi wa threads nyingine ni maswali kuhusu chanzo cha Bank M. Na nyingine kuhusu kukamatwa kwa mkuu wake kwa kosa la utakatishaji! Ripoti hii hapo chini, inaonyesha chanzo cha benki hiyo ambayo kama wengi mtakumbuka, ilitumika kuzituliza zile pesa za EPA! Na ilikuwa ya vigogo! Je kukamatwa kwa mkuu wake Sanjeev Kumar, ni kufukua makaburi? Nini maoni yako? Maana ukweli ni kwamba pesa ya EPA ilikuwa ya uchaguzi kuisaidia ccm. Na Sasa hivi ni wazi Maghufuli ana hali mbaya ndani ya chama haswa kuhusiana na pamoja na mengine, pesa za kampeni!

Wanajamvi, Let’s connect the dots...

...kuna gazeti liliandika ripoti enzi hizo...

MWAKA 1994, kiasi cha miaka 15 iliyopita, mfanyabiashara V.G Chavda na kundi la washirika wake Jeetu Patel na Subash Patel, ambao pembetatu yao ya majonzi KULIKONI linaifichua leo, waliweza 'kupanda' milioni 2.5 tu na 'kujivunia' mamilioni kutoka Serikali ya Tanzania, katika kisa cha ufisadi wa aina yake unaoweza kufananishwa na sakata la DECI lakini mkasa wenye majonzi na machozi kwa Watanzania.

Watanzania wote wanakumbuka jinsi miaka ya 1990 uchumi wa Taifa ulivyoanguka-shilingi ikashuka thamani na bei za bidhaa zikawa juu lakini sasa imefichuka sababu mojawapo ya hali hiyo ni matendo ya wanamtandao wa pembetatu hii ya wafanyabiashara na sasa wafadhili wa wanasiasa wetu-Jeetu Patel, Subash Patel na V.G Chavda

Sakata hilo na mkasa wenye majonzi kwa Tanzania linaweza kuelezwa vyema kuanzia miaka ya 1970 pale Chavda, raia wa India na mhitimu wa shahada ya pili kutoka Chuo Kikuu cha Massachusets, Marekani alipoingia nchini, kwa lengo adhimu-kujaribu bahati yake katika nchi hii ya amani.

Chavda ambaye baadaye aliachana na kazi yake ya utaalamu wa uhandisi na kuanza shughuli zake binafsi huku akiombewa kibali kwa nguvu za Ikulu kwa kuelezwa kuwa atakuwa akifanya kazi nzito nzito za Serikali na mashirika ya umma, baadaye alijisifu kuwa pamoja na kuingia nchini akiwa kama ombaomba, elimu yake na kusafiri sana kwake 'duniani' kulimpa uwezo wa kuyaona mambo ambayo wengi hawakuweza kuyaona.

Moja ya vipawa alivyojaliwa vya kuona mambo kikajifunua kupitia mpango wa Serikali wa Kuyabadilisha Madeni (Debt Conversion Program), DCP, ambapo Chavda akiwa mwasisi wa nadharia hiyo ya kiuchumi iliyopingwa na wachumi wengi wa Benki ya Dunia na IMF, aliishawishi Serikali ya Tanzania kuyauza madeni yake kwa wawekezaji wa ndani na nje ili wawekeze katika sekta ambazo zingezalisha na kuuza nje ili kuliongezea Taifa mapato ya fedha za kigeni.

Lakini ni ushauri huo kutoka kwa msomi huyo wa Massachusets, kama ilivyokuja kutokea katika sakata la EPA mwaka 2005 (ambapo nako ushauri wa mchumi mmoja mahiri ulizua balaa lote), nako mwaka 1993 Serikali ya Tanzania ilipojikuta ikiuzamisha zaidi uchumi wa nchi hii uliokuwa tayari katikati ya matatizo mambo yalianza kama hivyo.

Haikujulikana kama Chavda, Jeetu Patel na Subash Patel walifahamiana kabla ya kukutana Dar es Salaam au la, lakini kilicho dhahiri mpaka sasa na ambacho Kamati Ndogo ya Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi iliyochunguza sakata hilo mwaka 1994, ikiwa chini ya aliyekuwa mbunge wa Rorya, Edward Ayombe Ayila, watatu hao waliielekeza Serikali ya Tanzania katika mchezo wa DECI-kupanda na kuvuna, bila yenyewe

Alianza Chavda kwa 'kupanda' mbegu zake katika kile Kamati hiyo ilichobaini kuwa ni kiasi kidogo cha milioni 2.5/- tu akinunua moja ya madeni hayo na kuasisi mzunguko mkubwa wa aina ya DECI ambapo baadaye jumla ya kampuni 82 (nyingi mpaka sasa wamiliki wake hawajafahamika) nazo 'zikapanda' kiasi cha bilioni 3 tu na kujivunia Serikalini zaidi ya bilioni 50/- ambazo Serikali ililazimika kuzilipa kwa kuchapisha noti mpya hali iliyougharimu uchumi wa Taifa!

Akieleza kuwa fedha hizo angezitumia kuwekeza kwenye miradi ya kilimo kwenye mashamba ya mkonge kupitia kampuni zake za alizozisajili haraka haraka za Tanfarms Ltd, Makinyumbi Estates Ltd, Centrepoint Investments Ltd na Arusha Farms, Chavda kwanza alianza 'kupanda' kwa kuyanunua mashamba hayo kutoka Serikalini kwa jumla ya milioni 15/- tu (ambazo zililipwa kwa awamu saba) vikiwemo vyote vilivyokuwa ndani ya mashamba hayo zikiwemo mashine mbalimbali na majengo!

Kisha baada ya kuyanunua kwa bei hiyo chee, Serikali ikamlipa Chavda fidia ya milioni 100/- kwa kupitisha tu baadhi ya nguzo za umeme na barabara katika kijisehemu tu cha mashamba hayo.


Baada ya kumiliki mashamba hayo ndipo 'upandaji' na 'uvunaji' ukaanza rasmi, akianza kwa kuchota 916,755,147.60/- mwaka 1990 kutoka Benki ya Ushirika na Maendeleo Vijijini wakati huo (CRDB) ikiwa ni mkopo kwa ajili ya kununulia mitambo tu ya kuwekeza katika mashamba hayo. Mkopo ambao hadi Chavda anatimuliwa nchini mwaka 1994 haukuwa umelipwa hata senti!

Baada ya kutokulipa hata senti Kutoka mkopo huo, Chavda akaingia katika DCP (fedha ambazo kwa sasa ndio zimewekwa katika akaunti ya EPA) ambako ikichukuliwa yeye ndiye aliyeasisi mkakati huo kupitia kwa mwanasheria wake Nimrodi Mkono, alinunua deni la milioni 2.5/- tu na kuingiziwa jumla ya milioni 661/- ambazo tofauti na masharti ya malipo hayo-kuwekeza kwenye kuboresha kilimo cha mkonge kwa kupanda mazao mapya na kuyahudumia hadi yatakapouzwa nje ya nchi na kulipatia Taifa fedha za kigeni, lakini badala yake Chavda akaingia katika pembetatu ya aina yake na washirika wake, Subash Patel na Jeetu Patel.

Badala ya kuwekeza katika mashamba ya mkonge Chavda akawalipa Subash na Jeetu malipo tata kwa madai kuwa walimpa huduma mbalimbali ambazo hata hivyo ushahidi wao haujapatikana mpaka sasa.


Kwa mfano Subash ambaye naye baadaye 'akapanda' moja kwa moja kwenye mpango huo na kuvuna jumla ya bilioni 6. 98/- (kupitia kampuni zake za Deco Arts, Hotel Sea Cliff, M.M Motors na M.M Garage) ambazo haijajulikana alizifanyia nini, bado alinufaika kutoka fedha alizolipwa 'kaka' yake (Chavda) kwa kuingiziwa malipo tata ya jumla ya 515,995,375/- kati ya milioni 661/- alizolipwa Chavda.
Naye Jeetu Patel kupitia kampuni zake za Azania, Agricultural Enterprises, Liberty Leather Shoe Ltd, Azania Eximco na kadhalika, alithibitisha kupokea 82,295,000/- vyote vikithibitika kuwa ni uongo kwa mujibu wa wachunguzi wa Serikali.

Malipo hayo ingawa Chavda alidai kuwa ni ya vifaa na utaalamu ambao Subash na Jeetu walizipa kampuni zake za mkonge, wote watatu walishindwa kuonesha ushahidi mbele ya kamati hiyo ya Bunge walipotakiwa kuthibitisha kwa nyaraka huduma au biashara waliyoifanya na badala yake wakaikacha Kamati hiyo kwa visingizio vya kisheria katika barua zao mbili ambazo mfululizo wa maelezo ya kutotaka kuhojiwa ulikuwa ukifanana kama vile umeandikwa kutoka ofisi moja na mtu mmoja.

Subash Patel na Jeetu Patel wamejipatia jumla ya 661,274,660/-. Fedha hizi wamezipata bure bila kutoa huduma yoyote. Wala hawakuzilipia fedha hizo kodi ya mapato. V.G Chavda ameifanya Tanzania kama ni shamba lake la kuchuma. Watanzania ni vibarua wake. Ama kweli wajinga ndio waliwao..., imehitimisha sehemu ya ripoti hiyo ya Apiyo ikimnukuu aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wakati huo Augustine Lyatonga Mremba ambaye naye alilivalia njuga sakata hilo na kufanya uchunguzi wake uliobaini makubwa.

...mpango huo wa Chavda uliozinufaisha kampuni 82 nyingi zikiwa wamiliki wake hawajulikani, Serikali ilitikisika mno hali iliyosababisha athari kubwa katika uchumi wa Taifa ambao ulielezwa hivi kwa maneno ya Kamati yenyewe.

Kwa kipindi hicho cha miaka miwili na nusu ambacho programu hiyo iliendeshwa jumla ya kampuni 82 zilipata vibali vya kununua madeni yenye thamani ya jumla ya bilioni 3.038/- nazo zikalipwa na serikali Bilioni 50.877/- sawa na asilimia 18.02% ya bajeti ya matumizi ya kawaida.



Hii ina maana kuwa Serikali ililazimika kuchapisha fedha kiasi cha Tshs. Bilioni 48 kufidia pengo! Inakadiriwa kuwa hadi Serikali ilipoamua kusimamisha programu ya DCP, Juni 30, 1993, madeni hayo yalishaliathiri Taifa kwa kuongeza mfumuko wa bei kwa asilimia 15 huku madeni hayo yakiwafaidisha wafanyabiashara wachache.
View attachment 1040887
Hakika kunahitajika uthubutu na utashi wa kisiasa wa viongozi kuyageuza majabali ya uchumi katika nchi tegemezi.

Ila ukweli unaojidhirisha, katika Awamu hii ya Utawala, hakuna jiwe ambalo litaachwa jinsi lilivyo, lazima litageuzwa au kuchimbuliwa kuona kilichofunikwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila all in all kuna watu wengine tukifikiria nitampataje Mwajuma, leo nikanywe bia wapi, Rose nikamgegede Lodge gani wao wanaumiza vichwa kuvuna pesa ambayo wapuuzi (maskini walipa kodi) wanalipa serikalini..

Ndio maana kuna ule msemo, Rich people don't pay tax, maana atalipa million 100 ila atakuja kuvuna Billion 5.

Honestly siumizwi na uwizi wa aina hii.. Acha wenye kuangaisha vichwa watuibie
Pale inaposemwa hadharani nchi hii ni tajiri, au kuna watu wataonja maisha ya kishetani, sasa semi hizi zinadhihirika kuwa na mashiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom