Bank M-Connecting the dots...

Bank M-Connecting the dots...

Lakini asingeweza kufanya hivyo bila ya vigogo ambao ni watanzania wenzetu walikuwa mastermind waku injinia mchezo mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app

Misasa, kidogo nikuchanganye na mwanaJF "MISULI", nikastuka sana kwa jamaa huyo kuandika kama ulivyoandika hapo, na kunipa mimi 'like'!

Kwa bahati mbaya, hao "vigogo, ambao ni waTanzania wenzetu" hata kama walishastaafu, wamejizalisha kama virusi ndani ya CCM ya sasa.

Watu wanasubiri tu zamu zao zifike ili na wao wapige! Ndio maana ndani ya CCM humsikii kiongozi yeyote akihoji mambo kama haya.
 
Kwa bahati mbaya, hao "vigogo, ambao ni waTanzania wenzetu" hata kama walishastaafu, wamejizalisha kama virusi ndani ya CCM ya sasa.
Fikiria anaingia kiongozi na ingawa tunajua fika kuwa alikuwa sehemu ya uongozi uliopita, yeye kwa makusudi anajitambulisha kama mkombozi. Cha ajabu na kwa kutambua unafiki na ujinga wetu haombi radhi kwa ushiriki wake na badala yake kwa ujasiri anaapa kuwalinda hao hao viongozi waliotufikisha hapo na sisi kama mazuzu tunapiga vigelegele.
Watu wanasubiri tu zamu zao zifike ili na wao wapige!
Ni kama vile watu wale ndani ya chama kilie kile katika mfumo ule ule wanapeana zamu...wewe sasa pumzika na ulale usingizi mwororo bila wasi wasi kwani ninaapa kukulinda dhidi ya kelele kutoka upinzani.
Ndio maana ndani ya CCM humsikii kiongozi yeyote akihoji mambo kama haya.
Badala yake wanawageuzia kibao wazalendo wa kweli ambao hawakunyamaza taifa lilipokuwa linatafunwa bila huruma na kuwaita wasaliti. Mioyoni wanafoka "hawa wanathubutuje kutunyooshea vidole wakati sisi ndio wenye nchi na hata tukila kama nzige bila kunawa si tunakula vyetu? Kwa kweli inashangaza, inasikitisha, inaudhi na inakasirisha.
 
The leaders who were also busy grabbing all possible opportunities are old and some are out of favour.

You must be kidding!

Show me five of the new generation, ney, show me two, in that moribund party who you think when time allows, will not be grabbing like the old generation if not worse!

JPM is working hard....in order to change the system, he needs longer time and loyal and supportive aides. Is that the status quo? It is a topic of its own to debate.

If he is working hard to change the system as you state, he must be doing it the wrong way in many aspects.

For starters, those few billions in the Bush International Airport would have been of better use developing agriculture in that area.

And, if he is indeed 'changing the system' as you suggest, if I were you I would have suggested to him stay away from the well known culprits of the game; the likes of RA, and now the re-invented new kid on the block Mr Richmond

All that, and not beginning to touch on his revulsive style of governance; much can be debated about your optimism.
 
Eenh, wewe fikiria Mag3. Mtu ananogewa sana mpaka anatamba kwamba "CCM itatawala milele", kana kwamba chama hicho kimewafanyia waTanzania mema mengi, kiasi kwamba waTanzania hao hawawezi kuachana nacho wakitaka kufanya hivyo!

Maana yake ni kuwa hawawezi kuwa na 'utashi' wa kuachana na CCM. Anaona polisi wapo kuhakikisha CCM iendelee.

Kiongozi wa nchi, unakuwa na mawazo ya aina hii?
 
Hilo swali hata mimi huwa najiuliza sana pale ninapoitafakari legacy ya yule mzee wetu!

Tujikumbushe ni nini maana ya kuwa na vyama vingi vya siasa nchini. CCM hawakutaka, lakini ikawalazimu wakubali kwa shurti. Tendo hili lilikuwa na maana gani kama halikulenga hayo tunayodai angetufanyia?

Ni miaka mingapi tokea wakati huo hadi sasa, bado tunadai tu tungefanyiwa? Huku sio kulemaa kwa ajabu sana jameni!

Sasa tutaweza nini kama uwezo wetu ni wa kutegemea kufanyiwa? Vyama vyote hivi vya siasa vilivyokwisha anzishwa tokea wakati huo, na viongozi wote hawa ndani ya vyama hivyo, na wengine waTanzania wote waliopo nje ya vyama vya siasa, tumeshindwa kabisa kurekebisha mambo yawe kama tunavyotaka, na badala yake tunabaki kumlalamikia kiongozi mmoja tu ambaye sasa hatunaye tena. Je, angekuwa bado yupo, si pengine hata angewekwa ndani kama anakiherehere?

Yeye alionya, kwa yale aliyoyaona yakitokea wakati huo. Kwa nini tusingemsikiliza na kuanza kudai mabadiliko sisi wenyewe!

Na kwa kuwa sasa hayupo, tukae tu tukiendelea kulialia na kulaumu?
 
Hili suala la Bank M limedhihirisha udhaifu mkubwa sana wa serikali ya ccm ambao sidhani kama mtu mmoja anaweza kuufuta zaidi ya usanii tu inapotokea wanagombana wenyewe kwa wenyewe!

Hii benki M pamoja na kuhusiana na ufisadi wa EPA, pia imekuwa “ikibebwa” sana na serikali za ccm. Na hivyo kutumia jasho letu sisi walipa kodi! Hata hizo pesa za ufisadi ziliondolewa huko ndo maana! Na mambo mengi sana yamefanyika ili kuificha hiyo connection toka kipindi kile. Kwa mfano Sasa hivi hao jamaa wanaendelea na ma biashara yao makubwa, lakini ukijaribu kutafuta connection yao na EPA au hata bank M, wamefuta! Hata ile mijadala iliyokuwa ikionyesha hizo connections hadi na Mkapa siioni! Hata habari zilizokuwa zikizungumzia hilo! Thread za Jf za namna hiyo, zimegeuka kuwa pdf files zisizo na kitu. Links zimegeuka “a bridge to nowhere”

Like “poof” they disappeared in thin air!
Wahindi sijui huwa wana nn!! Kila nchi wakiwepo lazima wajihusishe na hizi dili za upigaji serikalini same to familia ya gupta south africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyu V.G Chavda yumo nchini? Mwaka 2007 alirudi kinyemela!

Nov 19, 2007
#1

Fresh controversy erupts over current immigration status of notorious businessman deported in 1996

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

CONFUSION surrounds the current immigration status of controversial businessman Vidyadhar Girdharlal Chavda, who was kicked out of the country in the 1990s following his alleged involvement in massive funds misuse at the Bank of Tanzania.

The Indian national better known as V.G. Chavda was declared a prohibited immigrant (PI) and deported in 1996 after being implicated in various improprieties linked to the erstwhile debt conversion programme (DCP) - much similar to the present-day BoT external payment arrears (EPA) scandal.

Official government records show that Chavda was heavily incriminated in the course of a parliamentary probe into the allegations of widespread fraud and embezzlement of hundreds of millions of shillings under DCP auspices.

The report of the 1994 parliamentary probe team, chaired by then legislator Edward Oyombe Ayilla, recommended that Chavda should be prosecuted in court, declared persona non grata, and expelled from the country.

But according to sources familiar with the case, after his 1996 deportation V.G Chavda briefly returned to Tanzania in September 1997, and again re-entered the country in March 2002.

It is understood that the prominent businessman was allowed back into the country on the basis of his being required to testify in judicial proceedings in local courts.

However, records also show that when Chavda was initially deported, government authorities stated clearly that his physical presence would not be necessary for the court cases, and instead he could be represented by private lawyers or even his wife.

It has further been learnt that in 2003, the High Court in Dar es Salaam issued another order for Chavda to leave the country latest by March 10, 2006.

He then rushed back to court to seek an injunction to stop the Immigration department from expelling him to his home country of India.

And in 2004, the then Jaji Kiongozi Hamisi Msumi, issued a ruling that directed the Immigration department to issue Chavda with ’’the relevant immigration document which will entitle the applicant (Chavda) to legally stay in Tanzania until the cases filed against him are completed, or for an aggregate period of two years, which ever precedes the other.’’

According to Msumi’s ruling, the two-year period was supposed to end on March 11, 2006, after which Chavda would have no legal status to stay in Tanzania whether the cases against him were concluded or not.

Independent legal experts contacted by THISDAY now describe Chavda’s latest reported re-entry into the country as a clear violation of the Immigration Act of 1995, which prohibits any person declared a prohibited immigrant from being granted a permit to enter Tanzania.

Noting that the law also states that ’’entry to Tanzania by a foreigner is only possible either by the non-citizen holding a residence permit or visitor’s pass,’’ the legal experts said they were quite baffled as to how Chavda was able to return to the country despite being officially deported.

When contacted in Dar es Salaam, Immigration Services authorities could also not immediately explain the cloud of mystery surrounding Chavda’s current immigration status.

A spokesman for the department, Abdi Ijimbo, requested more time to come up with a comprehensive statement when asked by THISDAY to comment on the matter.

Source: ThisDay
Chief....hyu mhindi bila shaka alikuja kusikilizia mgao wake na hao kina patel, it seems hao wahindi wenzake walimdhulum baada ya kuwa deported ..hizo vurugu zote za kuomba mahakamani aendelee kuwepo tanzania bila shaka kuna kitu muhimu alikuwa anafuatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishangaa ya Musa, je ya Farao? Juzi tumemuona RA kwenye sherehe ya kumpokea Lowassa siyo? KAGODA, iliyochotewa mabilioni kwenye EPA mwezi Octoba mwaka 2005, iliasisiwa na RA/Manji lakini wanufaika walikuwa ni pamoja na CCM. KAGODA na CCM walikuwa ni kama pete na kidole.

CCM haijawahi kuadhibiwa pamoja na baraka na ushiriki wake katika ufisadi. Ufisadi mkubwa wa CCM kama chama ni ule wa kuwadhulumu Watanzania mali zao kama majengo, makampuni, shule, viwanja vya michezo na mengine mengi tu. Amini usiamini adui nambari wani wa taifa hili ni CCM.
Kuna somo kubwa sana hapa boss. Sidhani kama nitaweza kuiamini tena serikai ya ccm. RA huyu huyu?
 
Eenh, wewe fikiria Mag3. Mtu ananogewa sana mpaka anatamba kwamba "CCM itatawala milele", kana kwamba chama hicho kimewafanyia waTanzania mema mengi, kiasi kwamba waTanzania hao hawawezi kuachana nacho wakitaka kufanya hivyo!

Maana yake ni kuwa hawawezi kuwa na 'utashi' wa kuachana na CCM. Anaona polisi wapo kuhakikisha CCM iendelee.

Kiongozi wa nchi, unakuwa na mawazo ya aina hii?
Umeshasikia ule usemi wa "muwamba Ngoma huvutia kwake" ? Ulitaka aseme CCM itatawala milele ikishirikiana na wapinzani?

Wapinzani ni wepesi sana.. untrustworthy pricks, watu wasiokua na mwelekeo wala mipango and very easy to infiltrate. Since 2015 I was just waiting to see that perplexed look you had on your face pale mlipohisi mmesalitiwa Kwa Lowasa kurudi kwao. Keep on Hallucinating my beloved brethren
 
To you what is the most ancient chronology event between the ancient Egypt (Egyptology) and Jesus's stuff?

Do you even know why your calendar reads like the way it looks today? Do you think the whole world is scammed?

To me this is quite a low argument and deserves no consideration from me because of it's discourse and strength but also this is not an appropriate forum for it.

Note, go read the red sea scrolls at least for beginning.
I know all about the dead sea scrolls,in fact they are against everything in the bible,..by the way the truth is never determined by vote..the whole religion thang is a fabricated story..jesus never walked on water,mohamed never splitted the moon..and don't forget,snakes do not talk,your adam and eve little childish bedtime story is laughable
 
I know all about the dead sea scrolls,in fact they are against everything in the bible,..by the way the truth is never determined by vote..the whole religion thang is a fabricated story..jesus never walked on water,mohamed never splitted the moon..and don't forget,snakes do not talk,your adam and eve little childish bedtime story is laughable
At least now you argue like an adult.
Good for you.
 
Hivi yule Mashauri ni wa kutoka kabila gani na CV yake ikoje haswa? maana wengine tumemjua baada ya kuji konk konk master
Msukuma kama sikosei. CV sina haja ya kuiona, matendo yake ni tosha kumfahamu.
 
Back
Top Bottom