Anataka kuvuruga MadaKwanini umtaje miongoni mwa waovu? Au majina ya waliotajwa ndo yamemekukuna?
Eti anafikiria negativity tu, we ulimtaja wa kazi gani? You are a disgrace to this country!
Ila all in all kuna watu wengine tukifikiria nitampataje Mwajuma, leo nikanywe bia wapi, Rose nikamgegede Lodge gani wao wanaumiza vichwa kuvuna pesa ambayo wapuuzi (maskini walipa kodi) wanalipa serikalini..
Ndio maana kuna ule msemo, Rich people don't pay tax, maana atalipa million 100 ila atakuja kuvuna Billion 5.
Honestly siumizwi na uwizi wa aina hii.. Acha wenye kuangaisha vichwa watuibie
Umeona eeh? Watu wake wameguswa! Hawa ni watu waliotubakisha watumwa kwenye nchi yetu wenyewe! Wanajidai ni wenzetu kisa wanaongea kiswahili! Wengine wakijadai ndiyo waliotuletea huo “ustaaraab wa kiswahili” nk.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeona eeh? Watu wake wameguswa! Hawa ni watu waliotubakisha watumwa kwenye nchi yetu wenyewe! Wanajidai ni wenzetu kisa wanaongea kiswahili! Wengine wakijadai ndiyo waliotuletea huo “ustaaraab wa kiswahili” nk.
Akae mbali kama hana hoja. Yeye ana wish discussion hapa ingekuwa ni Mtei! What a bitch?![emoji3]
Kisa cha kumtaja ni kipi? Tupe positivity zake( negativity) ulizozipingaDuh! Kwanini unafikiria negativity tu? Nani kaongelea "uovu"?
Ukifikiria sana lazima utapata hasira! Halafu Maghufuli ndo haipendi JF?Duuh....kwa maneno mengine wengi wetu tunahangaika na petty issues tunaacha mambo ya msingi.
Mgonjwa kwa mujibu wa taarifa zilizoko bungeniMkono yuko wapi siku hizi?
Hiyo DCP Ilianza miaka ya mwanzoni mwa tisini! Kuhusu miaka ya 70, ndiyo kipindi Chavda anahamia Tanzania.Hiv kumbe serikali " kupigwa " pesa ndefu haikuanza leo,duh ngachoka kabisaa!!
Talking abt 50 billions in 1990 is alot of money.
Mipango hii (kama mleta thread uko sahihi) kama ilikua inapangwa miaka ya 70 na Mwalim Nyerere akiwepo (mfano hiyo program ya DCP) ilikuaje ikawa inapita kirahis namna hii wakat wenyewe tunaaminishwa kuwa vijana wa zamani ( wazee wetu) eti ndio walikua wazalendo na uadilifu na walikua wasomi na wana akil kuliko sisi vijana wa sasa a.k.a .com ??
Yaan na elimu ya mkoloni kwel walikua wanapotisha mipango ya kipumbavu namna hii?? Sasa sisi tuliosoma elimu iliyochakachuliwa wana tarajia tufanye nin??
Halafu umuhimu wa taasisi za kiusalama kama tiss basi zilikua zina kazi gan na umuhimu wake uko wap? Maana tunaambiwa Tiss ya enzi hizo ilikuwa imejaa wazalendo kwel kwel wenye weledi wa hali ya juu wasiotanguliza maslah kama hawa vijana wa tiss-ccm wa leo!! Maana kama tunaaminishwa tiss ilikua na uwezo wa kupambana na vyombo vya kiintelijensia vya mataifa ya nje (enzi za ukombozi wa nchi za kusin mwa afrika) na wakawa na uwezo wa ku contain na kupata taarifa nyeti za nje Walishindwa vp kupata taarida hiz za ndani kuhusu ubadhirifu huu uliokuwa unafanywa dhidi ya serikal?
Oky tuseme walishindwa kuzuia basi hata kushauri baadhi ya maamuzi?
Kwel we have a long way to go.
Mkono ndiye alikuwa mwenyekiti wa wa Bank M wakati inaanzishwa, nadhani body of directors! Kuna mwana mama ambaye anaitwa Jacquelin Owise, yeye ndo alikuwa CEO!Mkono yuko wapi siku hizi?
Prove it by any first century writer/historianHow? You at least claimed god but Jesus is scientifically, historically proven beyond doubts existed.
Wahindi wa Tanzania wametuangusha. Katika kashfa karibu zote kubwa wanahusika.Baada ya azimio la Arusha kupitisha sheria ya marufuku ya viongozi wa serikali kujihusisha na biashara, viongozi wengi waliwatumia hawa wahindi "kuwashikia" mali zao, sio kama wahindi wote ni servants tu wa wakubwa behind the curtains lakini wengi ambao biashara zao na mitaji yao ina linkage na serikali ya awamu ya 2 na 3 ni vibaraka tu wa wakubwa.
Hawa jamaa wamegeuza Tanzania shamba la bibi. Kinachoshangaza bado wanapewa platforms za kuonyesha uwekezaji wao na jinsi walivyokuwa smart business people. Tanzania haiwezi kujengwa na uchumi wa kuiba au kudhulumiana, kama ule Sicily au Palermo Italy, ambako bila approval ya mafia bosses hakuna kinachiwezekana.Ketan Patel ndiye mwanzilishi wa Shanta Gold Mine. Now listed as a “none executive Director” ni mzaliwa wa Kenya, kasoma Uingereza na ana passport ya huko. Pia ni managing director wa Sea Cliffs and white sands hotel Dar es Salaam.
Mr Patel was a founder of Shanta Mining Company Limited (now a subsidiary of Shanta Gold) in 2001 and is a member of the Audit and Sustainability committees, chairing the Sustainability committee. He has worked extensively in trading organisations in the UK and since 1986 has traded agrocommodities internationally. Mr Patel has extensive commercial interests in Tanzania and is a senior director of Export Holdings (Pty) Ltd and Managing Director of the Sea Cliff and White Sands Hotel in Dar es Salaam.
Mbowe ilikuwa atolewe tu maana sababu za kumshikilia zilishaisha tar 1 march.Mbowe baada ya kupewa dhamana amekimbilia ofisini kukagua kama Lowasa ameondoka na pesa ya ruzuku .
Akili za MaCCM zimekaa sehemu ya kutolea taka.Mbowe baada ya kupewa dhamana amekimbilia ofisini kukagua kama Lowasa ameondoka na pesa ya ruzuku .
Mkuu Kalamu1 , nia ya kununua madeni ni kutengeneza profit, na kwa madai yao, pesa hizo walisema zitatumika kwenye miradi mbali mbali waliyoiorodhesha! Mfano mashamba na makampuni. Hata Rostam Aziz alifunguwa kampuni ya kilimo iliyoitwa Kagoda.
Pesa hizo zilikuwa zimetengwa kwa akili ya kulipa madeni ya nje kama sikosei! Kwahiyo hayo makampuni na hao watu walichota hizo pesa kwa kigezo cha kununua madeni!
Ni kamba tu na utapeli wa kuzichota pesa za walipa kodi(ambapo kuna wakati eti walithubutu kusema pesa za EPA si za wananchi)
Mkuu ni bora hata wangewekeza kwa wananchi basi. Sasa bank M hizo pesa waliziweka humo zilipotolewa. Hata ule utaratibu wa Jk wa kusema zirudishwe sijui utaratibu wake umefikia wapi.
Haaahaaaa...utatolewa kwenye mada sasa hivi ukaulizwa dini yako niniKwanini umtaje miongoni mwa waovu? Au majina ya waliotajwa ndo yamemekukuna?
Eti anafikiria negativity tu, we ulimtaja wa kazi gani? You are a disgrace to this country!
Hawa jamaaaa {Wahindi} hawawezi kuondoka apa nchini kwa sababu wanapata utajiri kwa urahisi sana, kuliko mataifa mengine wanayokaaa. Uwezi kwenda sehemu Kama Somalia. Kule ukileta ujanja unavamiwa na wahuni wanakuua. Lakini kwa Tanzania si rahisiDuh nakumbuka Chavda alitimuliwa 1990s,kumbe alirudi nchini kinyemela jmushi1
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Jacqueline was just an employee. You can rarely find a Tanzanian team formed by indians and us of this colour, working.Mkono ndiye alikuwa mwenyekiti wa wa Bank M wakati inaanzishwa, nadhani body of directors! Kuna mwana mama ambaye anaitwa Jacquelin Owise, yeye ndo alikuwa CEO!
Kuna namna wamejaribu kufuta alama zao lakini kumbukumbu bado ziko.
JMushi, pole sana!
Hii inaonyesha umakini wetu ulivyo. Na aliyoweka hapo juu unayemjibu na wengine wengi waliochangia kivyao nje ya mada, inaonyesha ni kiasi gani cha umakini tulicho nacho waTanzania.
Mada iliyopo hapa kama ilivyowasilishwa nadhani inatuwia ngumu kuielewa wengi wetu pamoja na umhimu mkubwa iinaoubeba.
Mimi nimeisoma kwa taabu sana, kwa sababu sio eneo nililonalo uzoefu; kwa mfano, jinsi ya ujanja wa "Ununuzi wa Deni" la taifa kuwa kilio chetu!
Lakini pamoja na ugumu wa kuisoma taarifa hii, najikuta mwili ukisisimka jinsi tulivyoingizwa chakana na hawa wajanja. Najikuta najiuliza, je huko serikalini hapakuwa na wajuvi wa mambo haya?
Halafu, leo akina Lissu wanaitwa "wasaliti"; kweli kuna usaliti wa kuzidi haya yanayoelezewa kwenye taarifa hii? Tumetoka EPA, tumeingia Richmond na maEscrow! Hawa "wazalendo" wetu wa CCM, ndio tuwategemee kwa haya yanayoendelea kuibuka kila kukicha?
Inasikitisha sana.
Ngoja nikaisome tena hii taarifa mara ya pili, labda nitapata uelewa mpana zaidi.